Afrika ndiyo kinara wa kufanya kazi ngumu lakini kisukari ni tishio je kazi ngumu sio mbadala wa mazoezi?

Afrika ndiyo kinara wa kufanya kazi ngumu lakini kisukari ni tishio je kazi ngumu sio mbadala wa mazoezi?

Riskytaker

JF-Expert Member
Joined
Mar 14, 2024
Posts
568
Reaction score
2,522
Afrika watu wanafanya kazi ngumu sana lakini bado kisukari ni tishio, nilikuwa Dodoma kukawa na upimaji wa Bure Cha kushangaza vijana below 40 wengi tu wana sukari.

Nikazama gugo kudadisi statistics zinatisha watu jamii ya black race wapo kwenye risky ya kupata kisukari ukilinganisha na wazungu.

Nikasikitika sana kwani nilijua kazi ngumu ni mbadala wa mazoezi.

Hizi data kwa picha zunainesha Tanzania ni namba 4 kwa wingi wa wa wagonjwa wa kisukari Africa.
 
Africa watu wanafanya kazi ngumu sana lakini bado kisukari ni tishio
Mkuu.

Sukari haisababishwi na kutofanya mazoezi au kufanya mazoezi. Uhusiano wa Sukari na mazoezi ni mdogo sana.

Sukari inaletwa sana na LifeStyle (ULAJI WA VYAKULA NA VINYWAJI). Kuna aina ya maisha ukiishi, hata kama unalala GYM bado Sukari unaweza ukapata. Na pia kuna sababu nyingine zinazoweza pelekea kupata sukari, ila sana ni MTINDO WA MAISHA.
 
Ulevi wa pombe
Ulaji holela wa vyakula
Ukosefu wa mazoezi

Ni vyanzo vya kisukari aina ya pili ambayo imekuwa ikisumbua jamii ya watu wa sasa kuliko aina ya kwanza ya kisukari...
 
Life style ndo inachangia hizo zingine zinaweza kuwa sababu za kijenetiki.

Unaweza kuwa hard worker Ila lifestyle ikakuangusha na hii ndo huwapata Africa.

MTU mweusi neno kiasi huwa halielewi

Kama ni kula anakomoa
Ngono anakomoa
Kila kitu anakomoa so hawezi kuwa safe .
 
Back
Top Bottom