Afrika sijaona timu ya kuifunga Yanga SC

Ndio maana haji manara alijisemea mashabiki wa yanga hamna akili timamu kwa huu uzezeta ulio andika unathibisha alicho ongea yule bwege alikua sahihi kabisa
Nadhani tuangalie rekodi namba hazidanganyi, Yanga imecheza mechi ngapi na kufungwa ngapi, fanya mechi 20 za mwisho jibu utalipata
 
nakazia AFL na klabu bingwa ni yanga tu
 
Vipi Azam?
 
Vipi Tabora United?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…