Juice world
JF-Expert Member
- Jun 7, 2022
- 1,982
- 2,706
- Thread starter
- #21
Wewe ni kolo shabiki vitumbua mzee wa kula Gori 5Hii ndio maana halisi ya shabiki maandazi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ni kolo shabiki vitumbua mzee wa kula Gori 5Hii ndio maana halisi ya shabiki maandazi.
Nadhani tuangalie rekodi namba hazidanganyi, Yanga imecheza mechi ngapi na kufungwa ngapi, fanya mechi 20 za mwisho jibu utalipataNdio maana haji manara alijisemea mashabiki wa yanga hamna akili timamu kwa huu uzezeta ulio andika unathibisha alicho ongea yule bwege alikua sahihi kabisa
Kwa hiyo uto haijawahi kupigwa 5G? Wewe kweli utopolo.Wewe ni kolo shabiki vitumbua mzee wa kula Gori 5
nakazia AFL na klabu bingwa ni yanga tuMimi sio shabiki wa Yanga ila nashabikia timu mbili tu.
Hapa duniani ambazo Liverpool na barcelona ila nikiangalia hapa Africa hamna timu ya kuifunga Yanga SC msimu huu Yanga inaenda kuchukua Ubingwa wa Africa kama Kuna timu Ina uwezo wa kuifunga Yanga msimu huu naombeni muitaje.
Hapa chini sababu nilikua naona kama Al Ahly ataweza kuifunga Yanga ila nimeiangalia Al Ahly inavyocheza nimeona wapo unga sana hamna timu mule kwa jinsi Yanga wanavyochezea aisee hamna wakuwazuia Africa hii.
Taja first eleven iliyoipigaKwa hiyo uto haijawahi kupigwa 5G? Wewe kweli utopolo.
Hebu rudia kauli yako tusikieTaja first eleven iliyoipiga
Vipi Azam?Mimi sio shabiki wa Yanga ila nashabikia timu mbili tu.
Hapa duniani ambazo Liverpool na barcelona ila nikiangalia hapa Africa hamna timu ya kuifunga Yanga SC msimu huu Yanga inaenda kuchukua Ubingwa wa Africa kama Kuna timu Ina uwezo wa kuifunga Yanga msimu huu naombeni muitaje.
Hapa chini sababu nilikua naona kama Al Ahly ataweza kuifunga Yanga ila nimeiangalia Al Ahly inavyocheza nimeona wapo unga sana hamna timu mule kwa jinsi Yanga wanavyochezea aisee hamna wakuwazuia Africa hii.
Vipi Tabora United?Mimi sio shabiki wa Yanga ila nashabikia timu mbili tu.
Hapa duniani ambazo Liverpool na barcelona ila nikiangalia hapa Africa hamna timu ya kuifunga Yanga SC msimu huu Yanga inaenda kuchukua Ubingwa wa Africa kama Kuna timu Ina uwezo wa kuifunga Yanga msimu huu naombeni muitaje.
Hapa chini sababu nilikua naona kama Al Ahly ataweza kuifunga Yanga ila nimeiangalia Al Ahly inavyocheza nimeona wapo unga sana hamna timu mule kwa jinsi Yanga wanavyochezea aisee hamna wakuwazuia Africa hii.
Ukweli gani shabiki maandazi?Mbumbumbu fc wazee wa kula 5 hamtakagi ukweli