Afrika tumerogwa: Vijana barubaru kutoka Morocco wanavyoteseka kuingia uzunguni

Afrika tumerogwa: Vijana barubaru kutoka Morocco wanavyoteseka kuingia uzunguni

MK254

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2013
Posts
32,408
Reaction score
50,809
Halafu Morocco ni Waarabu kiaina, ukizingatia namna ambavyo tunapenda kuponda Wazungu na ambavyo Waafrika wanateseka wakijaribu kuingia uzunguni, vijana kama hawa kwenye hii video wanafikirisha sana, nguvu kazi tena vijana barubaru!

 
Usisema Africa maana watanzania hawana hizo pigo... Sema Morroco na Kenya
 
Halafu Morocco ni Waarabu kiaina, ukizingatia namna ambavyo tunapenda kuponda Wazungu na ambavyo Waafrika wanateseka wakijaribu kuingia uzunguni, vijana kama hawa kwenye hii video wanafikirisha sana, nguvu kazi tena vijana barubaru!

View attachment 2404576
Wengi wala siyo Wamorocco. Hawa ni wazamiaji toka West Africa
 
Wengi wala siyo Wamorocco. Hawa ni wazamiaji toka West Africa

Angalia video vizuri, uzao wa Waarabu kabisa, sasa mbona wasikimbilie Uarabuni lazima wapambane kuingia Uzunguni....
 
Halafu Morocco ni Waarabu kiaina, ukizingatia namna ambavyo tunapenda kuponda Wazungu na ambavyo Waafrika wanateseka wakijaribu kuingia uzunguni, vijana kama hawa kwenye hii video wanafikirisha sana, nguvu kazi tena vijana barubaru!

View attachment 2404576
Once you're born in Africa life is automatically leading you 1-0..If you're not educated 2-0..If your parents have no money 3-0..Acha tu wavuke border Afrika ni nusu ya hell...!!
 
Angalia video vizuri, uzao wa Waarabu kabisa, sasa mbona wasikimbilie Uarabuni lazima wapambane kuingia Uzunguni....
Sikatai Waarabu wapo ila Waafrica wa West ni wengi zaidi. Moroco wanafaidika na hii game maana wanapata hela ya kuzuia wakimbizi kwenda Ulaya kama anavyopata Mturuki. Kwa hiyo na yeye anaruhusu watu wa West Africa kuingia tu Moroco ili kujustify malipo toka EU.

Hawawezi kwenda Uarabuni maana huko hakuna opportunity za maisha kama Ulaya. Mwarabu hajawahi kuwa mwema kwa wakimbizi wa kiuchumi
 
Back
Top Bottom