Afrika tuna shida sana, Kiongozi gari ya milion 600?

Mtu kazaliwa kijijini, kakulia chumba kimoja na mbuzi leo ana madaraka anataka atembelee gari ya million 600, ambayo hajaitolea jasho, ni kodi za maskini wenzake.View attachment 2476045View attachment 2476044
Unatuambia sisi wanainchi au serikali yako ya ccm? lakini ujue serikali ni gharama mkuu kuongoza watu vichaa wenye chuki kama wewe ni lazima uwe na ndinga kama hiyo ili wakikukimbiza na vindinga vyao wasikupate.
 
Ulikuwa unashauri viongozi watumie vits au ist. Hizo gari ni gari za kazi na masafa marefu huwezi kuta imeharibika kirahisi more money more value. Ziendelee kutumika na serikali pamoja na viongozi kwanza inaleta heshima.
 
Hizo gari sidhani kama bei yake halisi ni hiyo inawezekana kuna watu wa manunuzi wanazidisha bei kwa kuongea na watengenezaji ili wapige cha juu
 
Kinachouma zaidi ni tabia ya serikali kuwa na tendency ya kununua magari kama hayo kila mwaka haijalishi yaliyopo ni mazima au mabovu ni kuyauza tu kwa bei ya kutupwa kwa kigezo cha depreciation
 
Yaani hio ya mkuu eg waziri, katibu mkuu, mkurugenzl kusafiri inaumiza sana, kuna wakati nimeesafiri kwenda Mtumba - Dodoma mpaka wafanyakazi wakafikiri mie Ni mfanyakazi mwenzao
 
Kama hizo fedha zipo, why not?. Viongozi wetu deserve the best that money can buy! Tena baada ya Lissu kushambuliwa, mimi nikashauri magari wote yawe ni armored.

P

nafahamu una feel sana life style yao, ndio mana bado upo kwenye maombi na wewe upate Teuzi.
 
Kama hizo fedha zipo, why not?. Viongozi wetu deserve the best that money can buy! Tena baada ya Lissu kushambuliwa, mimi nikashauri magari wote yawe ni armored.

P
Haaa haaaa ! Tupe mfano wa kiongozi Aliye uwawa,,, ishu ya Lisu, kila mtanzania anajua kilichotokea....! Wanadamu wanatabia ya Kusahau pale, malengo yao yanapotimia...!
 
Utawaua uvccm. Mawazo yao yote yapo kujineemesha!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…