Unatuambia sisi wanainchi au serikali yako ya ccm? lakini ujue serikali ni gharama mkuu kuongoza watu vichaa wenye chuki kama wewe ni lazima uwe na ndinga kama hiyo ili wakikukimbiza na vindinga vyao wasikupate.Mtu kazaliwa kijijini, kakulia chumba kimoja na mbuzi leo ana madaraka anataka atembelee gari ya million 600, ambayo hajaitolea jasho, ni kodi za maskini wenzake.View attachment 2476045View attachment 2476044
Mfano wa hilo jasho ni lipi?.Mkuu Jasho lake amelitoa kupata hio nafasi ya kuwa RC, so hilo chuma la 600m ndio moja ya matunda ya Jasho lake..
Hizo gari sidhani kama bei yake halisi ni hiyo inawezekana kuna watu wa manunuzi wanazidisha bei kwa kuongea na watengenezaji ili wapige cha juuSijawahi kuelewa kwa nini hizi gari zinagharama hivyo. Kwa wingi wa magari tunayonunua kutoka Toyota, ungetegemea tupewe discount kubwa ila inaonyesha si hivyo, gharama ni kama tena zinaongezeka.
Wanaokula hizi hela za nchi hawatazifaidi wao wala vizazi vyao. Hizi pesa zina laana.
Kinachouma zaidi ni tabia ya serikali kuwa na tendency ya kununua magari kama hayo kila mwaka haijalishi yaliyopo ni mazima au mabovu ni kuyauza tu kwa bei ya kutupwa kwa kigezo cha depreciationSio madarasa tu hata vyoo nya shimo hakuna!! Hivi huyu Samia haoni kuwa kuagiza magari ya gharama namna hiyo kila mwaka ni mzigo kwa wananchi? Mama anashindwa hata kuiga kutoka jirani zetu wa Zambia ambao Rais wao alikataa kuidhinisha ununuzi wa magari mapya ili hali yaliyokuwepo yalikuwa mazima.!!
Yaani hio ya mkuu eg waziri, katibu mkuu, mkurugenzl kusafiri inaumiza sana, kuna wakati nimeesafiri kwenda Mtumba - Dodoma mpaka wafanyakazi wakafikiri mie Ni mfanyakazi mwenzaoHuko wanapoenda hakuna economic benefits zozote zinazozalishwa zaidi ya kutafuta per diems kwa nguvu.
Waziri anasafiri kilomita 800 kwenda kukagua ujenzi wa darasa, kazi ambazo katibu kata anaweza ifanya.
Mawaziri wanajipa roles ambazo haziendani na hadhi zao. Kuzurura bila sababu zozote.
Lakini kumbuka wao ni nchi tajiri.Pesa ndogo hiyo Saudi Arabia police wanatumia Lamborg
Kama hizo fedha zipo, why not?. Viongozi wetu deserve the best that money can buy! Tena baada ya Lissu kushambuliwa, mimi nikashauri magari wote yawe ni armored.
P
Ametoaje jasho?Mkuu Jasho lake amelitoa kupata hio nafasi ya kuwa RC, so hilo chuma la 600m ndio moja ya matunda ya Jasho lake..
Duh...!, Mkuu dos.2020 , umejuaje?!.nafahamu una feel sana life style yao, ndio mana bado upo kwenye maombi na wewe upate Teuzi.
Haaa haaaa ! Tupe mfano wa kiongozi Aliye uwawa,,, ishu ya Lisu, kila mtanzania anajua kilichotokea....! Wanadamu wanatabia ya Kusahau pale, malengo yao yanapotimia...!Kama hizo fedha zipo, why not?. Viongozi wetu deserve the best that money can buy! Tena baada ya Lissu kushambuliwa, mimi nikashauri magari wote yawe ni armored.
P
Alafu anaendanalo kukagua matundu ya vyoo vilivojengwa kwa nguvu za wananchi tena kwa kutaifishwa!!Mtu kazaliwa kijijini, kakulia chumba kimoja na mbuzi leo ana madaraka anataka atembelee gari ya million 600, ambayo hajaitolea jasho, ni kodi za maskini wenzake.View attachment 2476045View attachment 2476044
Utawaua uvccm. Mawazo yao yote yapo kujineemesha!Nikiwa Rais naondoa huu upuuzi wa magari..kila mtu ajinunulie gari lake au adandie daladala..
Mbona wafanyakazi wengine wanatumia gharama zao kufika maeneo yao ya kazi?.
Gari zitakuwa chache tu na zitakuwa hazina mwenyewe..ukitokea uhitaji wa kusafiri kikazi ndo utatumika tu and not otherwise.
Duh...!, Mkuu dos.2020 , umejuaje?!.
P
Duh...!. Kumbe nimeshtukiwa!.kwa mda mrefu sana Kiu yako inaeleweka.
Lissu alishambuliwa na watu wasiojulikana, https://www.jamiiforums.com/threads...ojulikana-ambao-kamwe-hawatajulikana.1320071/Je nani alimshambulia Lisu?
Wapo!, Abedi Amani Karume, Dr. Kleruu, Imran Kombe na wengine wengi kina Edurado Mondlane, etcJe kuna kiongozi yoyote wa serikali amewahi shambuliwa mithili ya Lisu?
Wapewe Helikopta ili kufikia maeneo korofiDuh...!, Mkuu dos.2020 , umejuaje?!.
P