Changamoto zako tatua mwenyewe wala hutalia lia humuHalafu Kiongozi kama huyo unatarajia akutatulie changamoto zako za kumudu milo mitatu kwa siku.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Changamoto zako tatua mwenyewe wala hutalia lia humuHalafu Kiongozi kama huyo unatarajia akutatulie changamoto zako za kumudu milo mitatu kwa siku.
Nenda na wewe ukapige domo uone kama ni rahisiJasho gani wewe? Kupiga domo na kuwa chawa unatumia jasho gani?
Kura 1 TuKwa comment hii ulistahili kipata kura moja.
Very sorry mkuu!
Huyu ndio atoe kibali cha maandamano ya kudai KATIBA MPYA????Mtu kazaliwa kijijini, kakulia chumba kimoja na mbuzi leo ana madaraka anataka atembelee gari ya million 600, ambayo hajaitolea jasho, ni kodi za maskini wenzake.View attachment 2476045View attachment 2476044
Dah kudadeki hiii kali.Kuna wakati waziri wa nchi mojawapo ya Ulaya alifika Tz, akaombwa msaada na akakubali kufikisha hilo ombi nchini kwake. Siku ya kuondoka walikutana na Waziri wa Tz anaenda Ulaya, wa Tz alipanda first class na WA Ulaya alipanda second class. Angalia sasa Mwafrika anaenda kuomba msaada nje.
The doctrine ya kukopa is the ability to pay na sio kuogopa deni kuongezeka!. Marekani ndio nchi tajiri ya kwanza duniani na ndio inayoongoza kwa kukopa, imekopa hadi China!.Deni kila mwaka linaongezeka utasemaje una uwezo wa kulipa
Eti na wewe una wategemezi, pathetic! Unaazaje kuilinganisha Marekani na Tanzania kwenye suala hilo? Ndio maana ulipata kura moja, kwa akili yako hiyo ya kisoda, ungepata madaraka, siungetuuza kabisaThe doctrine ya kukopa is the ability to pay na sio kuogopa deni kuongezeka!. Marekani ndio nchi tajiri ya kwanza duniani na ndio inayoongoza kwa kukopa, imekopa hadi China!.
P
Kwenye African democracy, the determinant of victory is not the vote cast but the vote count!. He who counts the votes is the determinant.Msisahau kuwapa kura tena
Na msipo wapa watashinda kwa kishindo.
Basi kaa kwa kutulia uache ambao wanaweza piga domo wafanye yaoSiwezi kujishushia hadhi yangu kama mwijaku na babalevo
For that situationKwenye African democracy, the determinant of victory is not the vote cast but the vote count!. He who counts the votes is the determinant.
P
We jamaa ungekuwa unatumia fake ID pale unapotaka kutoa kauli zisizo na mantiki kidogo ningeona una akili maana kuna watu wengi wanazo account kwa ajili tu ya kukera na kuchangamsha genge.The doctrine ya kukopa is the ability to pay na sio kuogopa deni kuongezeka!. Marekani ndio nchi tajiri ya kwanza duniani na ndio inayoongoza kwa kukopa, imekopa hadi China!.
P
Unatuumiza ujueViongozi wako buzzy kupiga pesaa kwa manufaa binafsi, wananchi na raia wako buzzy kupinga ushoga na usagaji tyuuh.
Khalhaghabhao. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ndio the African democracy.For that situation
No Democracy!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] poleeeeeniiiiii.Unatuumiza ujue