Afrika tunashindwa na nchi za Asia tulizopata uhuru muda sawa. Shida ni nini?

Afrika tunashindwa na nchi za Asia tulizopata uhuru muda sawa. Shida ni nini?

SimbaMpole123

JF-Expert Member
Joined
Apr 23, 2023
Posts
5,501
Reaction score
4,956
Jamani tuongee serious, nchi Kama India, Singapore, Malaysia, Indonesia zimepata uhuru almost the same time na nchi za kiafrika. Cha ajabu wenzetu wameendelea Sana halafu sisi bado tuna umaskini wa kutupa.

Afrika jamani shida ni nini?
 
Majibu kimsingi ya swali kama hili yametolewa sana humu.

Wapo waliosema ni laana, wapo walio toa sababu mbalimbali za kitaalamu.

Kiukweli inaumiza sana na kuudhi ndiyo kama hivyo wengine wanachezea rasilimali za TAIFA kujali matumbo yao na kuumiza kundi kubwa.

Itoshe kwa kumalizia na ujumbe huu [emoji116]
JamiiForums-2074644050.jpg
 
Kosa ni baada ya Uhuru kuyaacha hata mazuri ya wakoloni.

Hao Asia walibadili tu rangi wakayaendeleza zile falsafa na mawazo ya wakoloni wao yawe kwa faida Yao.
Ukiangalia hata Sasa mfumo Bora wa elimu kuokoa kizazi hiki ni ule uliotumiwa na wakoloni yaani kufundisha vitendo zaidi.

Kosa la mwalimu ni kuingiza siasa kwenye elimu
 
Back
Top Bottom