SimbaMpole123
JF-Expert Member
- Apr 23, 2023
- 5,501
- 4,956
Jamani tuongee serious, nchi Kama India, Singapore, Malaysia, Indonesia zimepata uhuru almost the same time na nchi za kiafrika. Cha ajabu wenzetu wameendelea Sana halafu sisi bado tuna umaskini wa kutupa.
Afrika jamani shida ni nini?
Afrika jamani shida ni nini?