Afrika tunashindwa na nchi za Asia tulizopata uhuru muda sawa. Shida ni nini?

Afrika tunashindwa na nchi za Asia tulizopata uhuru muda sawa. Shida ni nini?

Kosa lingine la mwalimu lilikuwa kuingiza siasa itawale uchumi... eti mashamba ya Jamaa, maduka ya ujamaa etc... Kuna binadamu by nature ni very lazy, very corrupt, ni wezi balaa... Sasa hawa ndiyo uwaweke pamoja?? No way...
Hahaha na Tena vita ndo kabisa..
 
Kwa hao Wengine ila India ni masikini mnooo kaahh....wale watu hapana
 
Jamani tuongee serious, nchi Kama India, Singapore, Malaysia, Indonesia zimepata uhuru almost the same time na nchi za kiafrika. Cha ajabu wenzetu wameendelea Sana halafu sisi bado tuna umaskini wa kutupa.

Afrika jamani shida ni nini?
Incomptent culture
 
Tatizo lipo kichwani tu, hata hatujui tunafanya nini means kama binadamu kutoka afrika hatujui tunataka nini... mentality tu wazee, enzi na enzi waafrika tuna chembe ya ubinafsi, tulishakosea huko nyuma ila bado tunazidi kukosea huo si ukichaa?, usije ukadhani watu wanahubiri uzalendo majukwaani ukachukulia serious sana

Tumeshindwa ku channel sifa yetu ya ubinafsi kwenye mambo ya msingi ya nchi kilichobaki Kila mtu alinde familia yake. Ubinafsi ni jambo ambalo tumezaliwa nalo tumekuzwa kwenye hayo mazingira enzi na enzi, sisi tumekubali kuchagua mfumo wa Kila mtu ashibishe wa kwake Hadi wasaze then kitakachobaki tutawapa wengine wakombeleze, ni jambo la hatari sana kuishi kwenye jamaa inayoona UBINAFSI ni kama sifa na hitaji la msingi

Ukitaka kuona hili Fanya survey ndogo mtaani uliza tu kishkaji kuwa "ukipata nafasi sehemu labda uongozi, nguvu etc cha kwanza utafanya Nini", kwanza utasikia akikwambia cha kwanza bro nitapiga pesa kinoma maana viongozi wenyew si unawaona, we fikiri nikitoka hapa Kila mtu atanicheka kuwa nilikuwa sehemu nzuri nikazubaa Sasa Sina kitu, nitachekwa Hilo ni jibu la wengi, hii collectively inaathari Kwa taifa lote hivyo ni endless circle ya mentality hii.

Kaa na watu wa hayo mataifa uliyotaja hata watatu wanne hivi then uongea nao jambo lolote la msingi, utaona mwenyewe vitu vya msingi wanavyoongea kwenye masuala nyeti na ya muhimu au nenda YouTube etc, utaona mentality za hayo mataifa uliyotaja.

Vichwa vyetu ni mzigo Kwa shingo.
 
Wewe unaijua?
Laana ni hadithi tu watu wanajipigia kujiridhisha kuelezea mambo ambayo hawataki kuyachunguza kwa kina na kujua ukweli yake.

Ni majibu fulani ya mkato kukwepa kujua jibu la kweli.
 
Kosa lingine la mwalimu lilikuwa kuingiza siasa itawale uchumi... eti mashamba ya Jamaa, maduka ya ujamaa etc... Kuna binadamu by nature ni very lazy, very corrupt, ni wezi balaa... Sasa hawa ndiyo uwaweke pamoja?? No way...
Hakuijua nature ya waafrika, waafrika ni lazy by nature sababu ya mazingira Kila kitu kinapatikana free Kuni bure,maji bure, matunda yamejaa porini,samaki free majini,nyumba bure unaita tu jamaa wanakata miti na kukandika udongo then unaezeka kwa nyasi.unajilimia tu mapori yamejaa,kwa mazingira haya ni ngumu sana kumforce kufanya kazi.
Thus wakoloni waliintroduce Kodi kama driving factor ya kulazimisha watu wafanye kazi.
Mjerumani alitumia kiboko kuwaforce watu kufanya kazi.
Thus ilikua ni ngumu kwa ujamaa kufanikiwa pia human nature is selfish
 
Waafrika tuna shida vichwani mwetu hebu angalia nchi zilizo na watu weusi zilivyo maskini licha ya kutokuwa barani Afrika mfano nchi kama Haiti Jamaica na zote zilizo Caribbean pacific ni maskini wa kutupwa kutwa kucha wanahatarisha maisha yao kuingia Marekani kwa njia za kishenzi.Waafrika tujitathmini
Ngozi nyeusi ina upumbavu wa milele.

Nahisi kwenye DNA ya mwafrika kuna chembe chembe za Upumbavu.

Ambapo mtoto akizaliwa hurithi chembe chembe hizo automatically.
 
Back
Top Bottom