Afrika tunashindwa na nchi za Asia tulizopata uhuru muda sawa. Shida ni nini?

Afrika tunashindwa na nchi za Asia tulizopata uhuru muda sawa. Shida ni nini?

kwa asili mwanadamu hapendi kushindwa na kuwa chini ya mwingine,.. hivyo wanachokifanya hao developed kwa developing countries ni jambo la kawaida sana kwa asili ya namna binadamu alivyo... UPUMBAVU ni kwa hao developing countries kuendelea kulia lia bila kuchukuwa hatu zinazoeleweka ili kujikwamua na umasikini wao, wamebaki tu kuwa wazembe,wavivu,wezi,watu wa kulialia tu na udumavu wao wa akili....
Moja Clan can not Defeat Empires - Usitegemee African country moja moja kushindana na Big Empires (uwezo huo haupo) hence ni labda wenyewe kujitegemea (self reliance na kuacha ubinafsi na uchoyo)...

Mbili mifumo iliyopo naturally developing countries zinanyonywa unapangiwa kuanzia bei mpaka cha kuuza na jinsi ya kuuza - Vilevile hata mkisema free market muwe na soko la wote (Kama vile wanavyotaka European Union Partnership kwamba kuwe na soko huru) utajikuta wewe unauza malighafi na kuuziwa junks zao - Why ? Kila ukiuza your finished products unapangiwa standards ambazo wanasema haujakidhi... - So playing field is not level....
 
Jamani tuongee serious, nchi Kama India, Singapore, Malaysia, Indonesia zimepata uhuru almost the same time na nchi za kiafrika. Cha ajabu wenzetu wameendelea Sana halafu sisi bado tuna umaskini wa kutupa.

Afrika jamani shida ni nini?
Viongozi
 
UN walishatupa SDGs issue ni kuzi-implement efficiently and sustainably - Wala usitegemee wanasiasa wala viongozi waliopo juu wasio na njaa wakufanyie wewe mwenye njaa - approach inayotakiwa ni bottom up na sio top down...
Hizo SDGs ndo zipi hatuzijui sisi raia
 
Moja Clan can not Defeat Empires - Usitegemee African country moja moja kushindana na Big Empires (uwezo huo haupo) hence ni labda wenyewe kujitegemea (self reliance na kuacha ubinafsi na uchoyo)...

Mbili mifumo iliyopo naturally developing countries zinanyonywa unapangiwa kuanzia bei mpaka cha kuuza na jinsi ya kuuza - Vilevile hata mkisema free market muwe na soko la wote (Kama vile wanavyotaka European Union Partnership kwamba kuwe na soko huru) utajikuta wewe unauza malighafi na kuuziwa junks zao - Why ? Kila ukiuza your finished products unapangiwa standards ambazo wanasema haujakidhi... - So playing field is not level....
uko sahihi kabisa...na vipi kuhusu kuvunjwa kwa katiba, ufisadi na ufujaji wa mali za umma na wahusika kutokuchukuliwa hatua?...kwamba hata haya mambo kuyatatua tunahitaji developed countries kututatulia?......
 
Hizo SDGs ndo zipi hatuzijui sisi raia
Hata usipozijua kwa maandishi unazijua kwa uhalisia - Ni jinsi kila binadamu ana haki ya kuishi
1693480341533.png
 
uko sahihi kabisa...na vipi kuhusu kuvunjwa kwa katiba, ufisadi na ufujaji wa mali za umma na wahusika kutokuchukuliwa hatua?...kwamba hata haya mambo kuyatatua tunahitaji developed countries kututatulia?......
Kama wewe unavyosema nchi zetu zisitegemee nchi nyingine watutatulie ndio hivyo mimi nakwambia shida zetu sisi masikini wa kitaa tusisubiri walamba asali au wenye shibe watutatulie - We need a buttom up approach...

Ukipata muda pitia hio riwaya - (Ni riwaya na idealistic) lakini theoretically might be the only way ya majority kujitoa kwenye matatizo (Kujitoa na sio Kusubiri kutolewa na mtu au watu)
 
shukran sana mkuu....acha tuongeze maarifa..
 
Mi naona tutoe solution
Solution pekee ni kufanya reforms ktk utawala ( kuwe na umoja wa serikali ya kitaifa)hii itasaidia kuisimamia Serikali bila ya kumili upande mmoja 2 tuwe na Vipaumbele vya Kiuchumi mfno Serikali inaweza kuwekeza bajeti kubwa kuinua sekta ya Kilimo then sekta nyingine inayofuata kwa Umuhimu yani hatua kwa hatua hii itasaidia kuboost uchumi wa mmoja mmoja na taifa kwa ujumla

kikubwa tufanye mabadiliko makubwa kwenye Uongozi na Uchumi basi tutafika mbali
 
Siri ya maendeleo ya nchi ni uwajibikaji na uzalendo. Wenzetu wameitumia hii siri ila sisi ni upigaji tu.
 
Jamani tuongee serious, nchi Kama India, Singapore, Malaysia, Indonesia zimepata uhuru almost the same time na nchi za kiafrika. Cha ajabu wenzetu wameendelea Sana halafu sisi bado tuna umaskini wa kutupa.

Afrika jamani shida ni nini?
Shida ni uongozi mbovu
 
Kwahiyo umasikini wetu unatokana na hizo sababu ulizotaja!?wewe hujui ulichandika!! Je!? Kila mtu huxheza BAO!?
NDIO.
HAO WENGINE WAMEKUWAJE MATAJIRI KWENYE SERIKALI HII HII YA MAFISADI.
KUKOSA MBADALA WA KUTATUA SHIDA NI DALILI YA LOW IQ. WALIOTAJIRISKA ULAYA NI WATU WENYE AKILI NA SII SERIKALI ILIOWATAJIRISHA.
SERIKALI INAUNDWA NA WATU, IWAPO KUNDI KUBWA LA WATU NI INCOMPERENT LAZIMA WAUFAGILIE UMASIKINI.
WANANCHI WANAOFANYA KAZI KWA MUDA MWINGI NI WACHACHE, NA WENGI WAO NI INCOMPETENT.
NI KASUMBA YA BINADAMU KUTAFUTA VISINGIZIO, NA KUJIONA KUWA YEYE HAWAJIBIKI KWA UMASIKINI WAKE.
MBALI YA KUILAUMU SERIKALI HUWA TUNATABIA NYINGINE YA KUWALAUMU WAZUNGU. WARABU NK, WAKATI WALIJIOONDOKEA MIAKA 60 ILIOPITA NA WALA HAWATULAZIMISHI KWA LOLOTE ISPOKUWA UKILAZA WETU.
INGEKUWA KAMA SERIKALI NDIO ZINATAJIRISHA WATU BASI WAMAREKANI WOTE WANGEKUWA TAJIRI, WARABU WOTE WANGEKUWA TAJIRI, WAJAPANI WOTE WANGEKUWA TAJIRI LAKINI HAIPO HIVYO.
LETS TAKE OUR RESPONSIBILITY!
 
Very true ...shida sio utajiri binafsi...tunaongelea Kama taifa
Taifa linaundwa na mtu mmoja mmoja. Mtu mmoja asipowajibika ndio umasikini unapoanzia.
Ni Tanzania tu watu 2000 wa kijiji x husubiri serikali iwajengee shule huku wakiendelea kuzeeka na wasione chochote.
Watu 2000 hawawezi kuunganisha nguvu kujenga madarasa mpaka waisubiri serikali iwalete jadara kamoja. Tuendelee kulaumu tu mpaka vitukuu hali itakuwa hivi hivi.
 
Jamani tuongee serious, nchi Kama India, Singapore, Malaysia, Indonesia zimepata uhuru almost the same time na nchi za kiafrika. Cha ajabu wenzetu wameendelea Sana halafu sisi bado tuna umaskini wa kutupa.

Afrika jamani shida ni nini?
Mkuu shida si uhuru, shida ni unafiki na ujuaji mwingi
Mfano mdogo ni suala la bandari, lichambue vizuri taratibu utagundua kitu kilichopo kwenye vichwa vya waafrika,
Ukitaka maendeleo mwafrika ni mpaka asimamiwe na mtu mweupe(ni kama tusi lakini ndio uhalisia tuzoee)
 
Back
Top Bottom