Afrika tunashindwa na nchi za Asia tulizopata uhuru muda sawa. Shida ni nini?

Afrika tunashindwa na nchi za Asia tulizopata uhuru muda sawa. Shida ni nini?

Solution pekee ni kufanya reforms ktk utawala ( kuwe na umoja wa serikali ya kitaifa)hii itasaidia kuisimamia Serikali bila ya kumili upande mmoja 2 tuwe na Vipaumbele vya Kiuchumi mfno Serikali inaweza kuwekeza bajeti kubwa kuinua sekta ya Kilimo then sekta nyingine inayofuata kwa Umuhimu yani hatua kwa hatua hii itasaidia kuboost uchumi wa mmoja mmoja na taifa kwa ujumla

kikubwa tufanye mabadiliko makubwa kwenye Uongozi na Uchumi basi tutafika mbali
Alright this is a good idea...🤣 imebaki kuimplement tu
 
NDIO.
HAO WENGINE WAMEKUWAJE MATAJIRI KWENYE SERIKALI HII HII YA MAFISADI.
KUKOSA MBADALA WA KUTATUA SHIDA NI DALILI YA LOW IQ. WALIOTAJIRISKA ULAYA NI WATU WENYE AKILI NA SII SERIKALI ILIOWATAJIRISHA.
SERIKALI INAUNDWA NA WATU, IWAPO KUNDI KUBWA LA WATU NI INCOMPERENT LAZIMA WAUFAGILIE UMASIKINI.
WANANCHI WANAOFANYA KAZI KWA MUDA MWINGI NI WACHACHE, NA WENGI WAO NI INCOMPETENT.
NI KASUMBA YA BINADAMU KUTAFUTA VISINGIZIO, NA KUJIONA KUWA YEYE HAWAJIBIKI KWA UMASIKINI WAKE.
MBALI YA KUILAUMU SERIKALI HUWA TUNATABIA NYINGINE YA KUWALAUMU WAZUNGU. WARABU NK, WAKATI WALIJIOONDOKEA MIAKA 60 ILIOPITA NA WALA HAWATULAZIMISHI KWA LOLOTE ISPOKUWA UKILAZA WETU.
INGEKUWA KAMA SERIKALI NDIO ZINATAJIRISHA WATU BASI WAMAREKANI WOTE WANGEKUWA TAJIRI, WARABU WOTE WANGEKUWA TAJIRI, WAJAPANI WOTE WANGEKUWA TAJIRI LAKINI HAIPO HIVYO.
LETS TAKE OUR RESPONSIBILITY!
Very true... serikali ni watu..na Kama watu hawana Nia..nchi haiwezi kuwa tajiri
 
Taifa linaundwa na mtu mmoja mmoja. Mtu mmoja asipowajibika ndio umasikini unapoanzia.
Ni Tanzania tu watu 2000 wa kijiji x husubiri serikali iwajengee shule huku wakiendelea kuzeeka na wasione chochote.
Watu 2000 hawawezi kuunganisha nguvu kujenga madarasa mpaka waisubiri serikali iwalete jadara kamoja. Tuendelee kulaumu tu mpaka vitukuu hali itakuwa hivi hivi.
🤣🤣🤣So wananchi 2000 kijijini hela ya kujenga wanasoma wapi..shida wanalipa Kodi so wanaamini ni haki Yao kujengewa
 
Mkuu shida si uhuru, shida ni unafiki na ujuaji mwingi
Mfano mdogo ni suala la bandari, lichambue vizuri taratibu utagundua kitu kilichopo kwenye vichwa vya waafrika,
Ukitaka maendeleo mwafrika ni mpaka asimamiwe na mtu mweupe(ni kama tusi lakini ndio uhalisia tuzoee)
So solution ni kujitegemea hata Kama hatuna ujuzi...hii ni impossible, hata Dubai imeendelea coz of watu wa nje ..hata Saudi. Ni makubaliano tu kuwa mazuri
 
Waafrika tuna shida vichwani mwetu hebu angalia nchi zilizo na watu weusi zilivyo maskini licha ya kutokuwa barani Afrika mfano nchi kama Haiti Jamaica na zote zilizo Caribbean pacific ni maskini wa kutupwa kutwa kucha wanahatarisha maisha yao kuingia Marekani kwa njia za kishenzi.Waafrika tujitathmini
 
Kibaya zaidi tumekosa utashi wa kujua priorities mfano unatumia mabilioni ya pesa kukimbizia mwenge huku wanafunzi wanakosa mikopo ya chuo au wakipata inakuwa asilimia ndogo ambayo haikidhi hizo education costs
 
Ndio...lakini hatuko tayari kuwa na sheria ya kuua. Mbona kipindi Cha magu mambo yalikuwa yanaenda tu
Mbona kuna watu mikoa ya Mbeya Rukwa Njombe Songwe Ruvuma tangu mwaka 2018 walijianzishia kamfunfumo kao kakukusanya mapato mpaka mh Rais Samia amegundua juzi tu .Huyo Magu 2018 alikuwepo lakini hayo majizi hakujali .Sisi waafrika sijui tuna nini!
 
Kiongozi wa Gaboni Ally Bongo. Baada ya kupinduliwa kakutwa nyumbani na ofisini kwake kuna maroba yamejaa dolla na pesa za nchi mbali mbali.

Huo ndio uhalisia wa Viongozi wa nchi za Waafrika.
Miaka nenda rudi Afrika ipo vile vile.

Sasa viongozi wamebaki kuuza raslimali za nchi na vyanzo vya mapato.
Kisa Waafrika Wananchi hawana uwezo wa kufanya chochote cha kiuchumi.

Maneno ya Mchungaji Mtikila RIP na Maneno ya Aliyekuwa Raisi wa Marekani Donald Trump. Ndio uhalisia wa Waafrika na Nchi zao.
EPIDOMIA.
 
Waafrika tuna shida vichwani mwetu hebu angalia nchi zilizo na watu weusi zilivyo maskini licha ya kutokuwa barani Afrika mfano nchi kama Haiti Jamaica na zote zilizo Caribbean pacific ni maskini wa kutupwa kutwa kucha wanahatarisha maisha yao kuingia Marekani kwa njia za kishenzi.Waafrika tujitathmini
Ila south Africa na Nigeria wamejitahidi
 
Kibaya zaidi tumekosa utashi wa kujua priorities mfano unatumia mabilioni ya pesa kukimbizia mwenge huku wanafunzi wanakosa mikopo ya chuo au wakipata inakuwa asilimia ndogo ambayo haikidhi hizo education costs
Very true...Ila mambo ya mwenge si naskia Kuna mda yaliachwa
 
Mbona kuna watu mikoa ya Mbeya Rukwa Njombe Songwe Ruvuma tangu mwaka 2018 walijianzishia kamfunfumo kao kakukusanya mapato mpaka mh Rais Samia amegundua juzi tu .Huyo Magu 2018 alikuwepo lakini hayo majizi hakujali .Sisi waafrika sijui tuna nini!
Hahaha...ndio lakini at least awamu ya tano vitu vilikuwepo vinaenda
 
Kiongozi wa Gaboni Ally Bongo. Baada ya kupinduliwa kakutwa nyumbani na ofisini kwake kuna maroba yamejaa dolla na pesa za nchi mbali mbali.

Huo ndio uhalisia wa Viongozi wa nchi za Waafrika.
Miaka nenda rudi Afrika ipo vile vile.

Sasa viongozi wamebaki kuuza raslimali za nchi na vyanzo vya mapato.
Kisa Waafrika Wananchi hawana uwezo wa kufanya chochote cha kiuchumi.

Maneno ya Mchungaji Mtikila RIP na Maneno ya Aliyekuwa Raisi wa Marekani Donald Trump. Ndio uhalisia wa Waafrika na Nchi zao.
EPIDOMIA.
That's the truth...Ila tutatue asa tatizo...tutengeneze viongozi bora
 
Kosa ni baada ya Uhuru kuyaacha hata mazuri ya wakoloni.

Hao Asia walibadili tu rangi wakayaendeleza zile falsafa na mawazo ya wakoloni wao yawe kwa faida Yao.
Ukiangalia hata Sasa mfumo Bora wa elimu kuokoa kizazi hiki ni ule uliotumiwa na wakoloni yaani kufundisha vitendo zaidi.

Kosa la mwalimu ni kuingiza siasa kwenye elimu
Kosa lingine la mwalimu lilikuwa kuingiza siasa itawale uchumi... eti mashamba ya Jamaa, maduka ya ujamaa etc... Kuna binadamu by nature ni very lazy, very corrupt, ni wezi balaa... Sasa hawa ndiyo uwaweke pamoja?? No way...
 
Back
Top Bottom