Afrika tunashindwa na nchi za Asia tulizopata uhuru muda sawa. Shida ni nini?

Afrika tunashindwa na nchi za Asia tulizopata uhuru muda sawa. Shida ni nini?




Asante faiza
 
Majibu kimsingi ya swali kama hili yametolewa sana humu.

Wapo waliosema ni laana, wapo walio toa sababu mbalimbali za kitaalamu.

Kiukweli inaumiza sana na kuudhi ndiyo kama hivyo wengine wanachezea rasilimali za TAIFA kujali matumbo yao na kuumiza kundi kubwa.

Itoshe kwa kumalizia na ujumbe huu [emoji116]View attachment 2731228
Niongezee au nimalizie hapo kwenye kauli ya Prof. Lumumba.... "and people will still vote for him/her" 😔
 
Solution sio violence...unakuwa unafanya nchi isiwe na amani.. solution ni elimu na sheria kufuatilia
Kwanin isiwe na Amani

Kwani wananchi waiba simu si wanachomana moto mbona Amani ipo

Ndio iwe kwa kimkurugenzi umekishindilia risasi za kichwa kwa wizi wake???

Kila atakayeingia ofisini atajua kuheshim mali inayoitwa ya Nchi
 
Wizi Unaviolate mambo mengi sasa Mwiba unautoa ulipoingilia

Ukatili unaweza kuleta nidhamu nakwambia usipowafanyia ukatili wanaichukulia Nchi ya kishkaji
Sawa..Ila sisi ni watu wa 21st century tunaelimu hatuwezi tesana hivyo....okay corruption solution yake ni good laws na prison...coz wazungu wanafanya hivi na wanaendelea
 
True... Africa tuna shida when it comes to legal system kwanzia jamii, polisi, mahakama mpaka sheria zenyewe
Ukiiba bilioni 10 unatoa milion 500 police,DPP,Hakimu wanagawana.
Kisha unachagua hukumu kuadaa umma.
Faini milioni 90 au jela miaka 3.
Miaka ya 80 palikuwa na wahasibu ndugu waliiba Hela makusudi wakazificha hawakukimbia makusudi ili wakamatwe wakaenda jela hukumu ikatoka wakaamua kuhukumiwa miaka 5 jela ili wakitoka wakafanye biashara na ndivyo walivyofanya wakawa wafanyabishara wakubwa tu
 
Kwanin isiwe na Amani

Kwani wananchi waiba simu si wanachomana moto mbona Amani ipo

Ndio iwe kwa kimkurugenzi umekishindilia risasi za kichwa kwa wizi wake???

Kila atakayeingia ofisini atajua kuheshim mali inayoitwa ya Nchi
Fear sio solution..coz watu wanaweza kuuliwa kwa kusingiziwa..Ila jela ata Kama kasingiziwa anaweza toka. Na zipo hizi cases. So naona violence sio solution. afu corruption ni tatizo moja tu....
 
Ukiiba bilioni 10 unatoa milion 500 police,DPP,Hakimu wanagawana.
Kisha unachagua hukumu kuadaa umma.
Faini milioni 90 au jela miaka 3.
Miaka ya 80 palikuwa na wahasibu ndugu waliiba Hela makusudi wakazificha hawakukimbia makusudi ili wakamatwe wakaenda jela hukumu ikatoka wakaamua kuhukumiwa miaka 5 jela ili wakitoka wakafanye biashara na ndivyo walivyofanya wakawa wafanyabishara wakubwa tu
😂Aaah kdk...kwenda jela jau
 
Sawa..Ila sisi ni watu wa 21st century tunaelimu hatuwezi tesana hivyo....okay corruption solution yake ni good laws na prison...coz wazungu wanafanya hivi na wanaendelea
Watajaa magerezani watakula tena hela ya Nchi Bure [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]

Kwanza unaanzaje kuiba Mali ya Nchi yako unaenda kuwapa mahawara??

Sadism is inevitable when situation is alarming

Me nakwambia wawatoe mfano watano tuuu na sheria kali juuu uone
 
Sawa..Ila sisi ni watu wa 21st century tunaelimu hatuwezi tesana hivyo....okay corruption solution yake ni good laws na prison...coz wazungu wanafanya hivi na wanaendelea
Nani atashika hio laws Sasa wakat hao watunza laws ndio corrupt wakubwa.
Unakamatwa na rushwa Takukuru unawapa rushwa mambo yanaisha.
Jela utakaa kama huna pesa
 
Jamani tuongee serious, nchi Kama India, Singapore, Malaysia, Indonesia zimepata uhuru almost the same time na nchi za kiafrika. Cha ajabu wenzetu wameendelea Sana halafu sisi bado tuna umaskini wa kutupa.

Afrika jamani shida ni Nini?

Mauritius ni Africa lakini mkuu. Hata hivyo ubinafsi kama huu wa CCM, ZANU PF, ANC, FRELIMO, MPLA, RPF, NRM na wa namna hiyo nchi hIzi zinatoboa vipi?

Tumekalia wizi wa chaguzi. Wananchi hawana furaha.

Tunajikita vipi kwenye uzalishaji?

Nani kawajibishwa kwa safari haram ya Slaa Dar-Mbeya-Dar. Hasara hiyo nani aliwajibishwa nayo?
 
Elimu ya maarifa imetupiliwa mbali, watu wapo busy kujaza mavyeti yasiyoweza kuwasaidia.
 
Na sisi tungejaribu mwizi Fulani na Fulani unawafungisha ndoa na RPG pale Taifa uone Kesho kuna mwenye balls za kuiba mali ya umma mwizi mmoja bomu moja[emoji2][emoji2][emoji2]

Wanaiba Kwa sabab wanajua hatuna cha kuwafanya
Wizi ni ngazi ya familia hadi juu Kila mmoja kwa level yake.Mwingine atauza nchi,baba anaiba ofisin analeta home,mama nae anampiga baba apate za vicoba,dada wa kazi nae anapiga za matumizi huku anawashindisha watoto wa boss viporo ili atume kijijini kwa mzazi wake amlimie mazao, mzazi kijijini nae anakula bata kilabuni ye ndo boss akitamba kwamba ye ndo anajua kuzaa binti anafanya kazi mjini.

Tufanye maombi tu kuondoa hii roho ya upigaji
 
Wachina ni corrupt wakiwa Africa kwa sababu ya sheria loose.
China ukila rushwa utoliona jua milele,ulaya,marekani unapotea kabisa.
Wachina wakija Africa wanafunga ndoa na watawala wa kiafrika kuwaibia waafrika kwenye mikataba, uzalishaji, ujenzi nk.
Wapo radhi kujenga barabara chini ya kiwango kulingana na pesa yenu.
 
Watajaa magerezani watakula tena hela ya Nchi Bure [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]

Kwanza unaanzaje kuiba Mali ya Nchi yako unaenda kuwapa mahawara??

Sadism is inevitable when situation is alarming

Me nakwambia wawatoe mfano watano tuuu na sheria kali juuu uone
We baba Ako au wewe akisingiziwa kesi akauwawa, we unadhani utakuwa sawa
 
Nani atashika hio laws Sasa wakat hao watunza laws ndio corrupt wakubwa.
Unakamatwa na rushwa Takukuru unawapa rushwa mambo yanaisha.
Jela utakaa kama huna pesa
😂Ndo maana nasema ni ishu ya mapinduzi ya kielimu...ukisema mambo ya kuuwana patakuwa Kama mexico au Colombia kipindi Cha vita za bangi
 
Back
Top Bottom