Afrika tunashindwa na nchi za Asia tulizopata uhuru muda sawa. Shida ni nini?

Afrika tunashindwa na nchi za Asia tulizopata uhuru muda sawa. Shida ni nini?

Mauritius ni Africa lakini mkuu. Hara Hivyo ubinafsi kama huu wa CCM, ZANU PF, ANC, FRELIMO, MPLA, RPF, NRM na WA namna hiyo nchi hIzi zinatoboa vipi?

Tumekalia wizi wa chaguzi. Wananchi hawana furaha.

Tunajikita vipi kwenye uzalishaji?

Nani kawajibishwa kwa safari haram ya Slaa Dar-Mbeya-Dar. Hasara hiyo nani aliwajibishwa nayo?
Ila sure...Ila bro ukisema mambo ya Mauritius ni nchi ndogo Ile na kisiwa. Huwezi fananisha maendeleo yake na Tanzania hata kwa GDP. Yaani si kama Rwanda.....
 
Elimu ya maarifa imetupiliwa mbali, watu wapo busy kujaza mavyeti yasiyoweza kuwasaidia.
Very true ..na innovation haiwi encouraged...huko nchi za wenzetu wanavumbua kitu sisi tunachofanya ni kuvumbua vitu vya 1980 huko
 
Wakati tunatawaliwa na wakoloni walituaminisha Kila kitu chetu ni kibaya kuanzia dini mpaka utamaduni wetu. Tofauti na Asia waliendelea kutumia tamaduni zao na dini zao za asili.
Sisi mpaka Sasa hivi mifumo ya Manisha yetu imejengwa kwa kuwategemea wakoloni tofauti na wao.
Very true...so changamoto ni dini...Ila waarabu pia Wana dini na wameendelea(even though ni mafuta and all)... Lakini wazungu hao hao Wana dini pia... Ila kweli tumejenga emphasis kubwa kwenye utamaduni wao kuliko maendeleo yetu
 
Wizi ni ngazi ya familia hadi juu Kila mmoja kwa level yake.Mwingine atauza nchi,baba anaiba ofisin analeta home,mama nae anampiga baba apate za vicoba,dada wa kazi nae anapiga za matumizi huku anawashindisha watoto wa boss viporo ili atume kijijini kwa mzazi wake amlimie mazao, mzazi kijijini nae anakula bata kilabuni ye ndo boss akitamba kwamba ye ndo anajua kuzaa binti anafanya kazi mjini.

Tufanye maombi tu kuondoa hii roho ya upigaji
😂Maombi na kazi ....
 
Wachina ni corrupt wakiwa Africa kwa sababu ya sheria loose.
China ukila rushwa utoliona jua milele,ulaya,marekani unapotea kabisa.
Wachina wakija Africa wanafunga ndoa na watawala wa kiafrika kuwaibia waafrika kwenye mikataba, uzalishaji, ujenzi nk.
Wapo radhi kujenga barabara chini ya kiwango kulingana na pesa yenu.
Ndio...lakini hatuko tayari kuwa na sheria ya kuua. Mbona kipindi Cha magu mambo yalikuwa yanaenda tu
 
Jamani tuongee serious, nchi Kama India, Singapore, Malaysia, Indonesia zimepata uhuru almost the same time na nchi za kiafrika. Cha ajabu wenzetu wameendelea Sana halafu sisi bado tuna umaskini wa kutupa.

Afrika jamani shida ni Nini?
Tuangalie sehemu moja tu, kujitambua.

Wahindi wana maandishi yao, wana dini yao, wana falme zao, wana kalenda yao, kabla ya wahindi dhana ya 0 ilikuwa haitumiki katika hesabu, wao ndio wameiongeza, wameanza haya kwa maelfu na maelfu ya miaka.

Ukoloni umekuja kuwaingilia kidogo tu katika mambo yao hayo, sasa umewaacha, wamerudia walipoishia wakajiongeza na mambo ya dunia ya leo.

Chukua Waafrika walio Tanzania ya leo.

Dini yao ya asili imeandikwa katika kitabu gani? Maandishi yao ya asili ni yapi? Kalenda yao ya asili ni ipi? Falme zao kubwa za miaka maelfu na maelfu ziko wapi? Wamechangia nini kipya katika literature ya dunia, sayansi, falsafa?
 
😂So wakipewa wengine unadhani itabadilika
Hapana
Tunahitaji kuanza upya ndugu yangu
Tukubalianr 60yrs ni miaka ya kijinamizi na ushetani mwingi.

CCM tuisamehe lakini ikae pembeni
Watanzania wapewe kipaumbele kwanza ndipo vyama vije
 
Very true...so changamoto ni dini...Ila waarabu pia Wana dini na wameendelea(even though ni mafuta and all)... Lakini wazungu hao hao Wana dini pia... Ila kweli tumejenga emphasis kubwa kwenye utamaduni wao kuliko maendeleo yetu
Waarabu walituletea dini, dini waliyonayo ni asili yao.
Sasa hivi ulienda kununua jembe unakuta ni chaos China wakati zamani tulikuwa na wahunzi wetu.
 
Tuangalie sehemu moja tu, kujitambua.

Wahindi wana maandishi yao, wana dini yao, wana falme zao, wana kalenda yao, kabla ya wahindi dhana ya 0 ilikuwa haitumiki katika hesabu, wao ndio wameiongeza, wameanza haya kwa maelfu na maelfu ya miaka.

Ukoloni umekuja kuwaingilia kidogo tu katika mambo yao hayo, sasa umewaacha, wamerudia walipoishia wakajiongeza na mambo ya dunia ya leo.

Chukua Waafrika walio Tanzania ya leo.

Dini yao ya asili imeandikwa katika kitabu gani? Maandishi yao ya asili ni yapi? Kalenda yao ya asili ni ipi? Falme zao kubwa za miaka maelfu na maelfu ziko wapi? Wamechangia nini kipya katika literature ya dunia, sayansi, falsafa?
Alright kiranga hapo umeongea India tu...what about Indonesia na Malaysia na hata Singapore
 
Can we prove, Pieter Willem Botha wrong?
FB_IMG_1692088108185.jpg
 
Hapana
Tunahitaji kuanza upya ndugu yangu
Tukubalianr 60yrs ni miaka ya kijinamizi na ushetani mwingi.

CCM tuisamehe lakini ikae pembeni
Watanzania wapewe kipaumbele kwanza ndipo vyama vije
So solution ni Nini haswa.
 
Back
Top Bottom