Afrika tunashindwa na nchi za Asia tulizopata uhuru muda sawa. Shida ni nini?

Afrika tunashindwa na nchi za Asia tulizopata uhuru muda sawa. Shida ni nini?

Wachina ni corrupt wakiwa Africa kwa sababu ya sheria loose.
China ukila rushwa utoliona jua milele,ulaya,marekani unapotea kabisa.
Wachina wakija Africa wanafunga ndoa na watawala wa kiafrika kuwaibia waafrika kwenye mikataba, uzalishaji, ujenzi nk.
Wapo radhi kujenga barabara chini ya kiwango kulingana na pesa yenu.
Hakuna watu corrupt kama wachina popote pale ie kwao au nje ya kwao. Ila ni wachapa kazi.
Singapore, Thailand, Indonesia na Malaysia ni nchi ambazo zipo maeneo strategic hasa the strait of Malacca.

Southern China Sea kupitia strait of Malacca, inapitisha 5.7 Trillion worth of trading goods na hizo nchi zinachukua tax kutoka nchi nyingi, ikiwemo USA. hiyo income ni sawa na kuwa na mafuta.

Mkuu hata ukiwa corrupt vipi, thats a lot of money for small countries kama hizo, lazima kutakuwa na maendeleo. Waafrika hatuna biashara za kimataifa, labda Suez canal ambayo nayo inaipa sana hela Egyp.

Mifano mingine ni Panama canal na Strait of Hormuz kwa Panama na Iran.

Kuna nchi nyingine zimebarikiwa tu, zipo kwenye strategic areas.
 
Jamani tuongee serious, nchi Kama India, Singapore, Malaysia, Indonesia zimepata uhuru almost the same time na nchi za kiafrika. Cha ajabu wenzetu wameendelea Sana halafu sisi bado tuna umaskini wa kutupa.

Afrika jamani shida ni Nini?
Shida ni kukosa uongozi bora wenye Mano ya kimaendeleo
 
Hata Tupac Shakur Ali ogopa ngozi nyeusi,

Black people ni shida sana.

Aisee, Uafrika ni Laana.View attachment 2731456
Mkuu,

Watu weusi hawawezi kuuana katika mfumo uliowekwa na wengine?

Kulikuwa na deliberate plan ya kusambaza crack cocaine neighborhoods za watu weusi ikifanywa USA, na kuuza bastola na bunduki, na kuwanyoma kazi watu weusi kibaguzi kuwaacha weusi wauane.

Sasa ukishatengeneza mazingira kama hayo na kuwaachia watu weusi wauane, wakauana kwa sababu wanaishi kwenye mazingira waliyotengenezewa makusudi ili wauane, ni kweli watauana, lakini hapo bado unashindwa jueleea kuwa wanetengenezewa mazingira ya kuuana, tena kimkakati?
 
Ni neno la kuonesha kwamba uwezo wa kufanya kitu fulani upo, lakini kitu hicho kimeshindwa kufanyika licha ya uwezo huo kuwepo...

Kama mkosi fulani tu hivi mkuu[emoji1]

Wengine pia huitaa nuksi au Gundu.
Laana, mkosi, gundu ni maneno yenye connotations za super natural forces.

Yani, unajiondolea responsibility wewe mwenyewe, unasingizia mkosi, gundu, nuksi.

Ni aina fulani ya kukwepa ukweli kwamba huyo anayesema ana laana ana matatizo fulani anayotakiwa kuyachunguza na kuyatatua, na kuishia kusema kuna tatizo lilitokea vizazi vingi limemfunga.

Hakuna laana, ila hizi fikra za laana zinaweza kutengeneza kitu kinaitwa "self fulfilling prophecy".

Yani ni hivi, hakuna laana, ila, ukiamini Waafrika wana laana, unaitengeneza hiyo laana kichwani kwako mwenyewe halafu kwa sababu umeiamini, matokeo ya imani hiyo yanakuwa sawasawa na hiyo laana unayoiamini iwe ipo.

Ni kama vile, mwanafunzi ana uwezo wa kusoma na kufanya vizuri, halafu anaamini ana laana, halafu, kwa kuamini ana laana, anakosa kuweka juhudi kwenye kusoma, halafu anafeli, halafu anasema mnaona nimefeli, nina laana mimi.

Hili la laana ni tatizo la kisaikolojia zaidi.
 
Mkuu,

Watu weusi hawawezi kuuana katika mfumo uliowekwa na wengine?

Kulikuwa na deliberate plan ya kusambaza crack cocaine neighborhoods za watu weusi ikifanywa USA, na kuuza bastola na bunduki, na kuwanyoma kazi watu weusi kibaguzi kuwaacha weusi wauane.

Sasa ukishatengeneza mazingira kama hayo na kuwaachia watu weusi wauane, wakauana kwa sababu wanaishi kwenye mazingira waliyotengenezewa makusudi ili wauane, ni kweli watauana, lakini hapo bado unashindwa jueleea kuwa wanetengenezewa mazingira ya kuuana, tena kimkakati?
Mkuu,

Vipi kwa mababu zetu enzi za utumwa,

Kuna baadhi ya machifu walishiriki kuuza raia wao kwenda utumwani, waki danganywa kwa vizawadi vidogovidogo.

Hapa je huoni kwamba waafrika sisi wenyewe kwa wenyewe tuna shida tangu zamani.

Yani hatupendani hadi kufikia hatua ya machifu kuuza raia wao utumwani.
 
Laana, mkosi, gundu ni maneno yenye connotations za super natural forces.

Yani, unajiondolea responsibility wewe mwenyewe, unasingizia mkosi, gundu, nuksi.

Ni aina fulani ya kukwepa ukweli kwamba huyo anayesema ana laana ana matatizo fulani anayotakiwa kuyachunguza na kuyatatua, na kuishia kusema kuna tatizo lilitokea vizazi vingi limemfunga.

Hakuna laana, ila hizi fikra za laana zinaweza kutengeneza kitu kinaitwa "self fulfilling prophecy".

Yani ni hivi, hakuna laana, ila, ukiamini Waafrika wana laana, unaitengeneza hiyo laana kichwani kwako mwenyewe halafu kwa sababu umeiamini, matokeo ya imani hiyo yanakuwa sawasawa na hiyo laana unayoiamini iwe ipo.

Ni kama vile, mwanafunzi ana uwezo wa kusoma na kufanya vizuri, halafu anaamini ana laana, halafu, kwa kuamini ana laana, anakosa kuweka juhudi kwenye kusoma, halafu anafeli, halafu anasema mnaona nimefeli, nina laana mimi.

Hili la laana ni tatizo la kisaikolojia zaidi.
Mkuu,

Labda niseme basi waafrika tuna upumbavu.

Maana matatizo ya Afrika yana julikana, na njia za kutatua matatizo hayo zina sisitizwa kila mara lakini hakuna matokeo yeyote yanayo onekana.

Yani hakuna kinachotokea baada ya kuyajua matatizo yetu.
 
Mkuu,

Vipi kwa mababu zetu enzi za utumwa,

Kuna baadhi ya machifu walishiriki kuuza raia wao kwenda utumwani, waki danganywa kwa vizawadi vidogovidogo.

Hapa je huoni kwamba waafrika sisi wenyewe kwa wenyewe tuna shida tangu zamani.

Yani hatupendani hadi kufikia hatua ya machifu kuuza raia wao utumwani.
Nimeelezea hilo hapo juu kuwa ukianza na corruption ya kuwauza ndugu zako kwa mafungu, kuumaliza huo utamaduni wa corruption ni vigumu sana.

Kuna mtu alibisha hapo juu kwamba utumwa si factorkatika maendeleo ya Africa leo, tatizo ni fikra za Waafrika wa leo.

Nikasema hata fikra za viongozi wa Africa leo za corruptionnya kijinga zina mizizi katika biashara ya utymwa.

Kwamba corruption ipo dunia nzima, ila corruption ya Africa ni ile ya kuwauza ndugu zako na kuiuza nchi yako.
 
Mkuu,

Labda niseme basi waafrika tuna upumbavu.

Maana matatizo ya Afrika yana julikana, na njia za kutatua matatizo hayo zina sisitizwa kila mara lakini hakuna matokeo yeyote yanayo onekana.

Yani hakuna kinachotokea baada ya kuyajua matatizo yetu.
Hatuna nia ya kweli ya kutatua hayo matatizo. Ni uvivu zaidi ya upumbavu.

Waafrika ni kama watu waliozoea kucheza soka, ukawapeleka kucheza chess. Chess sio mchezo wao. Kiukweli hata hawaupendi. Watavunga kupenda chess na kuweka maneno mengi, lakini wao mchezo wao soka, si chess.

Tunaridhika na hali zetu kirahisi.

Tunaishi kwa kudra za Mwenyezi Mungu.

Mpaka Kiswahili tuna msemo "Jitihada haizidi kudra".

Waafrika hawahawa ukiwatoa Afrika ukawaweka kwenye mifumo ya Ulaya na Marekani wanafanya makibwa sana.

Ni uvivu wa kimfumo tu.

Tunasema sana kuwa hatutaki umasikini, ila kiukweli tumeridhika sana.

Wengi tunaoenda sana uchawi uchawi, njia za mkato za kijinga. Ukileta the rigors and discipline of science tunaona boring.

Tunajipa umuhimu tusio nao. Tutaoeta tu kwa the most minimum effort.

Na hii ni tabia ya watu wengi wenye utajiri wa natural resources.

Wanakuwa hawataki kusumbua akili sana kwa sababu wanaamini maisha yao yataenda kwa utajiri wa natural resources tu.

Wewe angalia hata mazungumzo ya Waafrika wengi, utasikia wanazungumzia sana utajiri wa natural resources, dhahabu, Tanzanite, hali ya hewa nzuri, maji, ardhi, wanyama, etc.

Mazungumzo kuhusu human resources na human development, elimu ya kuendesha hizo natural resources, ni madogo sana.
 
Tatizo unaangalia kitu kimoja badala ya kuangalia interplay ya vitu vingi

SIjasema utumwa ndiyo sababu, ila kukataa kuwa utumwa umerudisha nyuma maendeleo ya Africa ni kutoelewa au kukataa makusudi ukweli.

Hakuna utumwa ulio depopulate a whole continent kama utumwa uliotokea Africa.

That is a well documented fact.

Kama unaujua utumwa mwingine kama huu, weka data hapa tulinganishe.

Halafu unapotenganisha utumwa na fikra, unakosea sana.

Hata hujaelewa kwamba haya matatizo mengi ya corruption ya Africa ya leo yana mizizi yake kwenye biashara ya utumwa, ukifanya corruption ya kumuuza ndugu yako, ni vigumu sana kukataa corruption nyingine yoyote, na utamaduni huu wa viongozi wa Africa kuwa corrupt haujavunjwa kutoka enzi za utumwa mpaka leo.

Sasa hapo utaondoaje infuences za biashara ya utumwa kwenye mawazo ya viongozi wa Waafrika walio corrupt leo?

Utatenganisha vipi biashara ya utumwa na matatizo ya maadili ya viongozi wa leo Africa?
Ishu ya maadili ni matokeo ya malezi mabovu yasiyojali upendo
 
Ishu ya maadili ni matokeo ya malezi mabovu yasiyojali upendo
Na kwa kiasi kikubwa kuna mstari wa moja kwa moja wa utamaduni wa ukatili uliotoka kwenye biashara ya utumwa na malezi mabovu yasiyojali upendo.

Jamii ambayo imeuza ndugu zao utumwani kwa wageni haiwezi kuwa ni jamii inayolea watoto kwa malezi mazuri yenye upendo.

Na sisemi kwamba Waafrika wote au wengi wameuza ndugu zao utumwani, tatizo nikwamba machifu wengi walifanya biashara hii, na ndio ujinga ule ule unaoendelea kwa viongozi wetu wa Africa wa leo.

Tofauti ni kwamba leo viongozi wa Africa hawauzi watumwa ulaya, wanaendesha nchi vibaya mpaka vijana wa Africa wenyewe wanajipeleka Ulaya kwenye vimtumbwi vibovu.

Tofauti ni kwamba leo viongozi wa Afrika hawauzi watumwa, wanaingia mikataba inayozitia nchi kwenye utumwa.

Bila ya kuukataa huu uongozi na kuweka uwazi zaidi, na kuodnoa heshima za kijinga kwa viongozi na utamaduni, hatuwezi kutoboa.
 
Hakuna watu corrupt kama wachina popote pale ie kwao au nje ya kwao. Ila ni wachapa kazi.
Singapore, Thailand, Indonesia na Malaysia ni nchi ambazo zipo maeneo strategic hasa the strait of Malacca.

Southern China Sea kupitia strait of Malacca, inapitisha 5.7 Trillion worth of trading goods na hizo nchi zinachukua tax kutoka nchi nyingi, ikiwemo USA. hiyo income ni sawa na kuwa na mafuta.

Mkuu hata ukiwa corrupt vipi, thats a lot of money for small countries kama hizo, lazima kutakuwa na maendeleo. Waafrika hatuna biashara za kimataifa, labda Suez canal ambayo nayo inaipa sana hela Egyp.

Mifano mingine ni Panama canal na Strait of Hormuz kwa Panama na Iran.

Kuna nchi nyingine zimebarikiwa tu, zipo kwenye strategic areas.
Nchi ikiwa na corruption kiwango cha juu haiwezi endelea lazima ianguke kiwango cha corruption kilichopo China kinathiriwa na population kubwa waliyo nayo.

Kiwango cha corruption kilichopo Singapore yenye majority Han Chinese kipo chini sana China na Singapore zina sheria kali sana za ndani katika mambo mengi mfano corruption adhabu zake ni kubwa sana hivyo corruption ni jambo la hatari sana inside China and Singapore.

Hawa watu wanafanya sana corruption kwetu huku kwa sababu sisi tunapenda sana shortcuts
 
Utumwa na kutawaliwa sio sababu ya nchi kuwa masikini.
Hakuna nchi ambayo haikuwahi tawaliwa duniani hata zilizoendelea zimewahi kuwa makoloni.
Umasikini ni matokeo ya fikra na sio mazingira
Kweli kabisa maana hata marekani uingireza Brazil china zote zilishawahi kutawaliwa... Throughout history
 
Ethiopia na Liberia Haziku tawaliwa kabisa na wakoloni.

Lakini bado zina ongoza kwa UMASKINI mkubwa sana na hali duni kwa raia wake.

Nchi za Ulaya kama Norway, Denmark, Finland, Sweden, Poland, Haziku tawala nchi yeyote ya Afrika lakini leo hii zina Maendeleo makubwa sana kushinda nchi nyingi za Afrika hata hizi za Ethiopia na Liberia ambazo haziku tawaliwa.

Nchi hizi zimeweza kuendelea zenyewe bila kutawala nchi yeyote ile ya Afrika.

Sasa Afrika hata kwa nchi ambazo haziku tawaliwa leo hii zina Umaskini na maendeleo duni.

Kama si laana, Ni nini hii?

Bado nakwambia kwamba [emoji116]

Uafrika ni laana.
😅Sawa Sasa huoni ukisema hivyo unakatisha tamaa waafrika...kwamba no matter wat they do as long as they r black hawawezi fanikiwa
 
Kwanza kabisa mnatakiwa kuacha kuamini miungu ya watu.

Huwezi kuendelea kama unapangiwa dini na Roma, Uyahudi au unasoma dini kwa Kiarabu na kuhiji Mecca na kuelekea Al-Qabr unaposali. Mpaka hapo tu ushahsindwa kwa sababu saikolojia yako ishashikwa umejiweka chini ya Mzungu, Myahudi au Muarabu.

Pili, tunatakiwa kutaka kweli kuendelea kama jamii. Waafrika wengi tunaridhika kirahisi, tunasema hewala hewla, tunaishi kwa kudura za Mungu (ambaye tumepachikiwa tu). Hatuna ari ya kweli ya kutaka maendeleo, tumekubali umasikini wetu na hivyo hatuwezi kuupita.

Inatakiwa tuukatae umasikini, tukubali kwenda kwa mazoea na utamaduni tu, tukubali kukataa tamaduni mbovu, mifumo mibovu na viongozi wabovu, au angalau tujue jinsi ya ku phase out vizuri vitu vibovu. Sasa hivi tunaheshimu sana tamaduni hata kama mbovu, tunaheshimu sana wakubwa na historia.

Umeuliza haya matatizo ya historia tunayapita vipi?

Huwezi kupita tatizo la historia mbaya kama bado unaiheshimu hiyo historia mbaya.

Mfano.

Afrika mpaka leo inatumia US dola kufanya intra-African trade. Biashara kati ya nchi za Africa inafanyikankwa US dollars. Mmarekani anapata nguvu ya ku control hii biashara kupitia US Federal Reserve (tawi la Benki Kuu ya US la New York). Hiki kitu kinaipa nguvi US dollar bila sababu. Kwa nini Waafrika wasifanye biashara zao kwa kutumia hela zao na kuiondoa US katika biashara za Africa? Hakuna sababu nzuri.

Rais William Ruto wa Kenya kaanza kulipigia mbiu hili. Settlement system tayari ipo Addis Ababa Ethiopia.

Lakini sioni Waafrika wakilichangamkia jambo hili. Wanalalamika tu hawana dola. Kwani kufanya biashara kati ya Waafrika ni lazima kuwa na US dollar?

Unaona ujinga wa akili tegemezi zinazoangalia historia tu bila kutaka kui challenge hapo?
Okay mr Kiranga so solution ni kuondoa dini(which is impossible kwa Africa na unajua Hilo...) And dedollarization..
 
Nawewe unakosea zaidi ishu ni corruption au katiba zanchi husika

Msingi wa utawala Bora ni katiba ,hao wengine wanajiunga ,wanauwawa na wengine kufungwa jela ,kwasababu tayari wanajua katiba zinasemaje

Sisi ,mfano kwetu huko ,wizi katiba imeruhusu kufanyika kuazia ikulu(juu) kushuka chini mikoani na wilyani
Bana ..wapi kwenye Katiba wameruhusu wizi
 
Back
Top Bottom