Afrika tunashindwa na nchi za Asia tulizopata uhuru muda sawa. Shida ni nini?

Afrika tunashindwa na nchi za Asia tulizopata uhuru muda sawa. Shida ni nini?

Hatuna nia ya kweli ya kutatua hayo matatizo. Ni uvivu zaidi ya upumbavu.

Waafrika ni kama watu waliozoea kucheza soka, ukawapeleka kucheza chess. Chess sio mchezo wao. Kiukweli hata hawaupendi. Watavunga kupenda chess na kuweka maneno mengi, lakini wao mchezo wao soka, si chess.

Tunaridhika na hali zetu kirahisi.

Tunaishi kwa kudra za Mwenyezi Mungu.

Mpaka Kiswahili tuna msemo "Jitihada haizidi kudra".

Waafrika hawahawa ukiwatoa Afrika ukawaweka kwenye mifumo ya Ulaya na Marekani wanafanya makibwa sana.

Ni uvivu wa kimfumo tu.

Tunasema sana kuwa hatutaki umasikini, ila kiukweli tumeridhika sana.

Wengi tunaoenda sana uchawi uchawi, njia za mkato za kijinga. Ukileta the rigors and discipline of scuence tunaona boring.

Tunajipa umuhimuntusio nao. Tutaoeta tu kwa the most minimum effort.

Na hii ni tabia ya watu wengi wenye utajiri wa natural resources.

Wanakuwa hawataki kusumbua akili sana kwa sababu wanaamini maisha yao yataenda kwa utajirinwa natural resources tu.

Wewe angalia hata mazungumzo ya Waafrika wengi, utaeasikia wanazungumzia sana utajiri wa natural resources, dhahabu, Tanzanite, hali ya hewa nzuri, maji, atdhi, wanyama, etc.

Mazungumzo kuhusu human resources na human development, elimu ya kuendesha hizo natural resources, ni madogo sana.
Nimekupata mkuu.
 
Katiba Mpya ambayo kila Mtanzania atawajibika kuitii na kuiishi bila kujali cheo ama nafasi yake.

Haya madudu yameletwa na CCM kwa sababu hiki chama kimejimiikisha nchi isivyo halali
Okay katika mpya ..bac let's wait wafanye hivi...Ila unajua kabisa serikali itajivuta kwenye hili
 
Qatar leo hii wame endelea kuliko Tanzania yenye rasilimali za kila aina.

Madini ya Tanzanite yanapatikana Tanzania pekee lakini anaye ongoza kwa kuuza Tanzanite Worldwide ni India.

Hivi mkuu bado huoni kwamba [emoji116]

Uafrika hasa utanzania ni laana.
😅 Asa ukisema laana hauwezi tatua matatizo... utaishia kugive up tu
 
Nchi ikiwa na corruption kiwango cha juu haiwezi endelea lazima ianguke kiwango cha corruption kilichopo China kinathiriwa na population kubwa waliyo nayo.

Kiwango cha corruption kilichopo Singapore yenye majority Han Chinese kipo chini sana China na Singapore zina sheria kali sana za ndani katika mambo mengi mfano corruption adhabu zake ni kubwa sana hivyo corruption ni jambo la hatari sana inside China and Singapore.

Hawa watu wanafanya sana corruption kwetu huku kwa sababu sisi tunepanda sana shortcuts
Very true bongo tunapenda mafanikio ya Chap chap
 
Hakuna watu corrupt kama wachina popote pale ie kwao au nje ya kwao. Ila ni wachapa kazi.
Singapore, Thailand, Indonesia na Malaysia ni nchi ambazo zipo maeneo strategic hasa the strait of Malacca.

Southern China Sea kupitia strait of Malacca, inapitisha 5.7 Trillion worth of trading goods na hizo nchi zinachukua tax kutoka nchi nyingi, ikiwemo USA. hiyo income ni sawa na kuwa na mafuta.

Mkuu hata ukiwa corrupt vipi, thats a lot of money for small countries kama hizo, lazima kutakuwa na maendeleo. Waafrika hatuna biashara za kimataifa, labda Suez canal ambayo nayo inaipa sana hela Egyp.

Mifano mingine ni Panama canal na Strait of Hormuz kwa Panama na Iran.

Kuna nchi nyingine zimebarikiwa tu, zipo kwenye strategic areas.
😅Sisi si tuna bandari
 
Mkuu,

Watu weusi hawawezi kuuana katika mfumo uliowekwa na wengine?

Kulikuwa na deliberate plan ya kusambaza crack cocaine neighborhoods za watu weusi ikifanywa USA, na kuuza bastola na bunduki, na kuwanyoma kazi watu weusi kibaguzi kuwaacha weusi wauane.

Sasa ukishatengeneza mazingira kama hayo na kuwaachia watu weusi wauane, wakauana kwa sababu wanaishi kwenye mazingira waliyotengenezewa makusudi ili wauane, ni kweli watauana, lakini hapo bado unashindwa jueleea kuwa wanetengenezewa mazingira ya kuuana, tena kimkakati?
Hahaha Mr this is a conspiracy bana I don't think the system inafanyia blacks hivi kweli...
 
Laana, mkosi, gundu ni maneno yenye connotations za super natural forces.

Yani, unajiondolea responsibility wewe mwenyewe, unasingizia mkosi, gundu, nuksi.

Ni aina fulani ya kukwepa ukweli kwamba huyo anayesema ana laana ana matatizo fulani anayotakiwa kuyachunguza na kuyatatua, na kuishia kusema kuna tatizo lilitokea vizazi vingi limemfunga.

Hakuna laana, ila hizi fikra za laana zinaweza kutengeneza kitu kinaitwa "self fulfilling prophecy".

Yani ni hivi, hakuna laana, ila, ukiamini Waafrika wana laana, unaitengeneza hiyo laana kichwani kwako mwenyewe halafu kwa sababu umeiamini, matokeo ya imani hiyo yanakuwa sawasawa na hiyo laana unayoiamini iwe ipo.

Ni kama vile, mwanafunzi ana uwezo wa kusoma na kufanya vizuri, halafu anaamini ana laana, halafu, kwa kuamini ana laana, anakosa kuweka juhudi kwenye kusoma, halafu anafeli, halafu anasema mnaona nimefeli, nina laana mimi.

Hili la laana ni tatizo la kisaikolojia zaidi.
Very nyc ..🔥
 
Mkuu,

Vipi kwa mababu zetu enzi za utumwa,

Kuna baadhi ya machifu walishiriki kuuza raia wao kwenda utumwani, waki danganywa kwa vizawadi vidogovidogo.

Hapa je huoni kwamba waafrika sisi wenyewe kwa wenyewe tuna shida tangu zamani.

Yani hatupendani hadi kufikia hatua ya machifu kuuza raia wao utumwani.
Hata jamii za wazungu zilikuwa Zina watumwa
 
Mpaka leo elimu ya mzungu haina tija wala ugunduzi zaidi ni prestige basi ,hao waliopata wakijua kingereza ila ngozi bado nyeusi wanaitwa ndo wasomi😅😅wanajifananisha na wazungu ...Ila kiukweli wamemega elimu kidogo ndo hiyo tangu ukoloni na ndipo tunadumaa ila ujuzi na ugunduzi ni zero kabiaa.
 
[emoji28]Sawa Sasa huoni ukisema hivyo unakatisha tamaa waafrika...kwamba no matter wat they do as long as they r black hawawezi fanikiwa
Kufanikiwa kwa waafrika inawezekana lakini lazima kwanza mifumo yote mibovu ifutwe.

Tuje na mifumo mipya ya kuto kuchekeana na kubembelezana.

Inashangaza sana hapa Tanzania mtu akiharibu wizara hii ana hamishiwa wizara nyingine,Au aki haribu kitengo fulani ana hamishiwa kitengo kingine.

Huu ni upumbavu wa hali ya juu.

Kuchekeana chekeana huku kwa kuvunja sheria ndio kuna kwamisha waafrika kuendelea.
 
Okay mr Kiranga so solution ni kuondoa dini(which is impossible kwa Africa na unajua Hilo...) And dedollarization..
Hizo ni hatua ndogo tu za kuanzia, ambazo tumeshindwa.

Sasa hapo tukitaka kujiongeza zaidi kwenye elimu na uchumi lazima tushindwe.

Utakuwaje na elimu ya kisayansi na critical thinking kama watu wako wametawaliwa na mawazo ya dini na uchawi?

Utajitoa vipi kwenye minyororo ya utumwa wa kiuchumi kama hata unaponunua bidhaa za nchi jirani ndani ya Afrika inakubidi utumie US dollar?

Itakuwa kazi kubwa sana.
 
Back
Top Bottom