Nili angalia habari ya hawa Wa Nigeria waliozamia meli kwenda kutafuta maisha ulaya, Waka okolewa na mapolisi wa Brazil
Nika gundua kwamba kweli watu wamechoshwa na hili bara la Afrika, to the point of being ready to die, wakitafuta njia ya kwenda ughaibuni.
Mmoja wapo wa wahamiaji hawa alipo hojiwa na wana habari Alisema kwamba, mapolisi walivyo mwambia kwamba wapo Brazil, alifurahi sana na kushukuru sana, Angalau amefika Brazil.
Walipewa chakula na maji, waka endelea na hatua za kuomba makazi.
View attachment 2731615