Afrika tunashindwa na nchi za Asia tulizopata uhuru muda sawa. Shida ni nini?

Afrika tunashindwa na nchi za Asia tulizopata uhuru muda sawa. Shida ni nini?

Una uhakika Tanzania mafuta hakuna ?

Mwanzo ulisema gas na mafuta umeswitch tena.
Mkuu usilazimishe mijadala isiyo na maana.
Tanzania mafuta yapo wapi?
umeniuliza mifano ya rasilimali ndiyo maana nikataja mafuta kama mfano wa rasilimali za maana.
 
Mkuu usilazimishe mijadala isiyo na maana.
Tanzania mafuta yapo wapi?
umeniuliza mifano ya rasilimali ndiyo maana nikataja mafuta kama mfano wa rasilimali za maana.
Unajua kuhusu Mnazi Bay ?
 
Kuna mahala nilikuwa nasoma leo, India wametawaliwa na Uingereza kama zilivyo Nchi nyingi za Afrika cha ajabu India wakakataa kuiga lugha,dini,na life style za muingireza akaamua Ku adapt technology. Afrika tuka adapt lugha,dini na mifumo mingine tukaacha technology.
 
Hizo ni hatua ndogo tu za kuanzia, ambazo tumeshindwa.

Sasa hapo tukitaka kujiongeza zaidi kwenye elimu na uchumi lazima tushindwe...
Acha kudanganywa wazungu waamini uchawi na dini mpaka movie kibao za kichawi zipo kwao mpaka kesho.

Nchi kama Tanzania elimu uliyopatika awali iliwafanya watu kuwa na hadhi ndani ya nchi pekee na kudharau wengi ila ilikuwa ndogo mno, Nyerere alifeli kutoa huu mfumo wa elimu kwa sababu hata alioiwatumia walikuwa wamesoma elimu mkoloni hawakuwa na jipya.


Pia Nyerere hakutaka watu wasome mapema kama yeye alivyoenda nje ,sidhani kama alikuwa na nia mbaya ili iliharibu kila kitu pia.


Mpaka leo hapa Tanzania kuna international school zina mitaala yake na za kawaida sasa huoni kama kuna tatizo kwa nn tusishift kwenda kule wote kwa wakati?

Waliotangulia kupata elimu ya mkoloni walikuwa wezi kazi ilikuwa kwenda nje ya nchi na hata maarifa hawakuwa nayo kiivyo ,mzungu hawezi kukupa code zote za elimu na ndio maana wasomi wa awali wamebaki kufanya kazi nje tu ila uhalisia hawana maarifa ya kugundua Chochote..Kitu wamepata ni kujua kingereza ila hamna kitu.

Baadae wakaanza siasa mpaka mwaka 1992 ilikuwa bado mapema kuanza na mitaala ya elimu mizuri ila baada siasa zinakaanza kugawanya watu kwa mfumo wa vyama vingi hata wale wasomi waliingia kweny siasa kuanza kula pesa ila hwana ujuzi wowote wa jufanya ubinifu ...Siasa ilikuwa cheap katika kujipatia pesa kwa utapeli.
 
Lazima tutofautiane:-​
  • kuna kuku wa kienyeji na kuku wa kisasa, lakini wote ni kuku; ingawa wanatofautiana namna ya kuishi, kufikiri, kujilinda n.k​
  • Kuna ng'ombe wa kienyeji na ng'ombe wa kisasa, lakini wote ni ng'ombe; ingawa wanatofautiana namna ya kuishi, kufikiri, n.k​
  • Hivyo hivyo, kuna binadamu weusi, weupe n.k, lakini wote ni binadamu; ingawa wanatofautiana namna ya kuishi, kufikiri, kujilinda n.k​
Kwa hiyo hakuna wakumlaumu; uwezo wetu wa kufikiria ndio umeishia pale​
 
Mpaka leo elimu ya mzungu haina tija wala ugunduzi zaidi ni prestige basi ,hao waliopata wakijua kingereza ila ngozi bado nyeusi wanaitwa ndo wasomi😅😅wanajifananisha na wazungu ...Ila kiukweli wamemega elimu kidogo ndo hiyo tangu ukoloni na ndipo tunadumaa ila ujuzi na ugunduzi ni zero kabiaa.
Very true...so Sasa tufanyaje..tubadili mfumo wa elimu yetu. Tunafanyaje asa elimu yetu iweje
 
Kufanikiwa kwa waafrika inawezekana lakini lazima kwanza mifumo yote mibovu ifutwe.

Tuje na mifumo mipya ya kuto kuchekeana na kubembelezana.

Inashangaza sana hapa Tanzania mtu akiharibu wizara hii ana hamishiwa wizara nyingine,Au aki haribu kitengo fulani ana hamishiwa kitengo kingine.

Huu ni upumbavu wa hali ya juu.

Kuchekeana chekeana huku kwa kuvunja sheria ndio kuna kwamisha waafrika kuendelea.
Very true ..so kwamba tukiwa serious na kazi maendeleo yatakuja..bila kuonekana huruma.
 
Hizo ni hatua ndogo tu za kuanzia, ambazo tumeshindwa.

Sasa hapo tukitaka kujiongeza zaidi kwenye elimu na uchumi lazima tushindwe.

Utakuwaje na elimu ya kisayansi na critical thinking kama watu wako wametawaliwa na mawazo ya dini na uchawi?

Utajitoa vipi kwenye minyororo ya utumwa wa kiuchumi kama hata unaponunua bidhaa za nchi jirani ndani ya Afrika inakubidi utumie US dollar?

Itakuwa kazi kubwa sana.
Very true...Ila pia bado majority population ya western countries ni religious people..so ishu sio kuondoa dini kabisa coz utaonekana kiongozi shetani(Kama Obama) issue ni kuencourage critical thinking ndo maana wazungu despite dini kuwepo bado wanaendelea coz wanatanguliza akili kwanza.
 
Back
Top Bottom