Afrika tunashindwa na nchi za Asia tulizopata uhuru muda sawa. Shida ni nini?

Afrika tunashindwa na nchi za Asia tulizopata uhuru muda sawa. Shida ni nini?

Alright kiranga hapo umeongea India tu...what about Indonesia na Malaysia na hata Singapore
Indonesia, Malaysia, Singapore ni visiwa/nchi zenye mchanganyiko wa watu kutoka India, China na South Asia. Ndio hao hao.

Hapo sanasana utaongeza story ya China, ambayo ndiyo kama hiyo hiyo ya India, wana dini, maandishi, falme kubwa, kalenda kwa maelfu na maelfu ya miaka.

Hawa ukoloni umewaingilia kidogo tu.

Halafu tusizahau wenzetu hawajaathiriwa na utumwa na kuachwa kwenye nchi zilizokuwa depopulated.
 
Indonesia, Malaysia, Singapore ni visiwa vyenye mchanganyiko wa watu kutoka India, China na South Asia. Ndio hao hao.

Hapo sanasana utaongeza story ya China, ambayo ndiyo kama hiyo hiyo ya India, wana dini, maandishi, falme kubwa, kalenda kwa maelfu na maelfu ya miaka.
Okay asa kusema hivi...u talking abt history...hatuwezi badilisha. So wat can we do now...ili tuendelee
 
Hamna kitu Kama ngozi ya laana hapo unapromote discrimination na kutojiamini..mbona south Africa wanaweza,
South Afrika mostly imejengwa na wazungu wadachi, Sio wazulu wazawa.

Maendeleo ya south Afrika mostly yame pushiwa na wazungu.

Ngozi nyeusi ina laana wala si discrimination ila ndio Uhalisia ulivyo.

Mwafrika anaweza nini? Zaidi ya Wizi, Rushwa, Uhujumu uchumi, Ubadhirifu wa mali za umma, kujilimbikizia mali, ulevi, ngono na umbea.

Kama si laana, Ni nini hii?

Nakwambia hivi [emoji116]

Uafrika hasa utanzania ni laana.
 
South Afrika mostly imejengwa na wazungu wadachi, Sio wazulu wazawa.

Maendeleo ya south Afrika mostly yame pushiwa na wazungu.

Ngozi nyeusi ina laana wala si discrimination ila ndio Uhalisia ulivyo.

Mwafrika anaweza nini? Zaidi ya Wizi, Rushwa, Uhujumu uchumi, Ubadhirifu wa mali za umma, kujilimbikizia mali, ulevi, ngono na umbea.

Kama si laana, Ni nini hii?

Nakwambia hivi [emoji116]

Uafrika hasa utanzania ni laana.
Okay but ukiweka conclusion hio...don't u think unaondoa motivation ya watu weusi kubadilika..coz ushawaambia hatuwezi...that's not a solution. Rangi haina effect kwenye akili ya mtu mbona marekani Kuna watu weusi wenye maendeleo Sana tu na wengine watu wenye akili Sana...
 
Shida ni rangi nyeusi inapenda kutafuniwa badala ya kutafuna
Jamani tuongee serious, nchi Kama India, Singapore, Malaysia, Indonesia zimepata uhuru almost the same time na nchi za kiafrika. Cha ajabu wenzetu wameendelea Sana halafu sisi bado tuna umaskini wa kutupa.

Afrika jamani shida ni Nini?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Indonesia, Malaysia, Singapore ni visiwa/nchi zenye mchanganyiko wa watu kutoka India, China na South Asia. Ndio hao hao.

Hapo sanasana utaongeza story ya China, ambayo ndiyo kama hiyo hiyo ya India, wana dini, maandishi, falme kubwa, kalenda kwa maelfu na maelfu ya miaka.

Hawa ukoloni umewaingilia kidogo tu.

Halafu tusizahau wenzetu hawajaathiriwa na utumwa na kuachwa kwenye nchi zilizokuwa depopulated.
Utumwa na kutawaliwa sio sababu ya nchi kuwa masikini.
Hakuna nchi ambayo haikuwahi tawaliwa duniani hata zilizoendelea zimewahi kuwa makoloni.
Umasikini ni matokeo ya fikra na sio mazingira
 
Shida sio rangi bana...
Ethiopia na Liberia Haziku tawaliwa kabisa na wakoloni.

Lakini bado zina ongoza kwa UMASKINI mkubwa sana na hali duni kwa raia wake.

Nchi za Ulaya kama Norway, Denmark, Finland, Sweden, Poland, Haziku tawala nchi yeyote ya Afrika lakini leo hii zina Maendeleo makubwa sana kushinda nchi nyingi za Afrika hata hizi za Ethiopia na Liberia ambazo haziku tawaliwa.

Nchi hizi zimeweza kuendelea zenyewe bila kutawala nchi yeyote ile ya Afrika.

Sasa Afrika hata kwa nchi ambazo haziku tawaliwa leo hii zina Umaskini na maendeleo duni.

Kama si laana, Ni nini hii?

Bado nakwambia kwamba [emoji116]

Uafrika ni laana.
 
Okay asa kusema hivi...u talking abt history...hatuwezi badilisha. So wat can we do now...ili tuendelee
Kwanza kabisa mnatakiwa kuacha kuamini miungu ya watu.

Huwezi kuendelea kama unapangiwa dini na Roma, Uyahudi au unasoma dini kwa Kiarabu na kuhiji Mecca na kuelekea Al-Qabr unaposali. Mpaka hapo tu ushahsindwa kwa sababu saikolojia yako ishashikwa umejiweka chini ya Mzungu, Myahudi au Muarabu.

Pili, tunatakiwa kutaka kweli kuendelea kama jamii. Waafrika wengi tunaridhika kirahisi, tunasema hewala hewla, tunaishi kwa kudura za Mungu (ambaye tumepachikiwa tu). Hatuna ari ya kweli ya kutaka maendeleo, tumekubali umasikini wetu na hivyo hatuwezi kuupita.

Inatakiwa tuukatae umasikini, tukubali kwenda kwa mazoea na utamaduni tu, tukubali kukataa tamaduni mbovu, mifumo mibovu na viongozi wabovu, au angalau tujue jinsi ya ku phase out vizuri vitu vibovu. Sasa hivi tunaheshimu sana tamaduni hata kama mbovu, tunaheshimu sana wakubwa na historia.

Umeuliza haya matatizo ya historia tunayapita vipi?

Huwezi kupita tatizo la historia mbaya kama bado unaiheshimu hiyo historia mbaya.

Mfano.

Afrika mpaka leo inatumia US dola kufanya intra-African trade. Biashara kati ya nchi za Africa inafanyikankwa US dollars. Mmarekani anapata nguvu ya ku control hii biashara kupitia US Federal Reserve (tawi la Benki Kuu ya US la New York). Hiki kitu kinaipa nguvi US dollar bila sababu. Kwa nini Waafrika wasifanye biashara zao kwa kutumia hela zao na kuiondoa US katika biashara za Africa? Hakuna sababu nzuri.

Rais William Ruto wa Kenya kaanza kulipigia mbiu hili. Settlement system tayari ipo Addis Ababa Ethiopia.

Lakini sioni Waafrika wakilichangamkia jambo hili. Wanalalamika tu hawana dola. Kwani kufanya biashara kati ya Waafrika ni lazima kuwa na US dollar?

Unaona ujinga wa akili tegemezi zinazoangalia historia tu bila kutaka kui challenge hapo?
 
Utumwa na kutawaliwa sio sababu ya nchi kuwa masikini.
Hakuna nchi ambayo haikuwahi tawaliwa duniani hata zilizoendelea zimewahi kuwa makoloni.
Umasikini ni matokeo ya fikra na sio mazingira
Tatizo unaangalia kitu kimoja badala ya kuangalia interplay ya vitu vingi

SIjasema utumwa ndiyo sababu, ila kukataa kuwa utumwa umerudisha nyuma maendeleo ya Africa ni kutoelewa au kukataa makusudi ukweli.

Hakuna utumwa ulio depopulate a whole continent kama utumwa uliotokea Africa.

That is a well documented fact.

Kama unaujua utumwa mwingine kama huu, weka data hapa tulinganishe.

Halafu unapotenganisha utumwa na fikra, unakosea sana.

Hata hujaelewa kwamba haya matatizo mengi ya corruption ya Africa ya leo yana mizizi yake kwenye biashara ya utumwa, ukifanya corruption ya kumuuza ndugu yako, ni vigumu sana kukataa corruption nyingine yoyote, na utamaduni huu wa viongozi wa Africa kuwa corrupt haujavunjwa kutoka enzi za utumwa mpaka leo.

Sasa hapo utaondoaje infuences za biashara ya utumwa kwenye mawazo ya viongozi wa Waafrika walio corrupt leo?

Utatenganisha vipi biashara ya utumwa na matatizo ya maadili ya viongozi wa leo Africa?
 
Kwa kweli ...Lumumba aliongea ukweli. So issue kubwa ni corruption, wenzetu wapo serious Sana na kuondoa rushwa
Nawewe unakosea zaidi ishu ni corruption au katiba zanchi husika

Msingi wa utawala Bora ni katiba ,hao wengine wanajiunga ,wanauwawa na wengine kufungwa jela ,kwasababu tayari wanajua katiba zinasemaje

Sisi ,mfano kwetu huko ,wizi katiba imeruhusu kufanyika kuazia ikulu(juu) kushuka chini mikoani na wilyani
 
Shida sio rangi bana...
Hata Tupac Shakur Ali ogopa ngozi nyeusi,

Black people ni shida sana.

Aisee, Uafrika ni Laana.
FB_IMG_1693227076959.jpg
 
Qatar leo hii wame endelea kuliko Tanzania yenye rasilimali za kila aina.

Madini ya Tanzanite yanapatikana Tanzania pekee lakini anaye ongoza kwa kuuza Tanzanite Worldwide ni India.

Hivi mkuu bado huoni kwamba [emoji116]

Uafrika hasa utanzania ni laana.
 
Ethiopia na Liberia Haziku tawaliwa kabisa na wakoloni.

Lakini bado zina ongoza kwa UMASKINI mkubwa sana na hali duni kwa raia wake.

Nchi za Ulaya kama Norway, Denmark, Finland, Sweden, Poland, Haziku tawala nchi yeyote ya Afrika lakini leo hii zina Maendeleo makubwa sana kushinda nchi nyingi za Afrika hata hizi za Ethiopia na Liberia ambazo haziku tawaliwa.

Nchi hizi zimeweza kuendelea zenyewe bila kutawala nchi yeyote ile ya Afrika.

Sasa Afrika hata kwa nchi ambazo haziku tawaliwa leo hii zina Umaskini na maendeleo duni.

Kama si laana, Ni nini hii?

Bado nakwambia kwamba [emoji116]

Uafrika ni laana.
Laana ni nini?
 
Back
Top Bottom