Afrika tunashindwa na nchi za Asia tulizopata uhuru muda sawa. Shida ni nini?

Afrika tunashindwa na nchi za Asia tulizopata uhuru muda sawa. Shida ni nini?

Kosa ni baada ya Uhuru kuyaacha hata mazuri ya wakoloni.
Hao Asia walibadili tu rangi wakayaendeleza zile falsafa na mawazo ya wakoloni wao yawe kwa faida Yao.
Ukiangalia hata Sasa mfumo Bora wa elimu kuokoa kizazi hiki ni ule uliotumiwa na wakoloni yaani kufundisha vitendo zaidi.
Kosa la mwalimu ni kuingiza siasa kwenye elimu
True ..elimu ni mkombozi..Ila kumbuka elimu yetu ya wakoloni ilituandaa tuwatumikie wao
 
Mbona wazungu hawakati wezi mikono...hi sio point nzuri...sijapenda
Ulaya ule Hela za wananchi unapotea bila kujali wewe ni nani mbeba box au raisi,sheria zao hazina ubaguzi tofaut na Africa jela ni kwa ajili ya watu masikini,kesi ni biashara, mahakama uogopa wenye pesa.
We kwapua tu tani yako chochote ufanywi.
 
Ulaya ule Hela za wananchi unapotea bila kujali wewe ni nani mbeba box au raisi,sheria zao hazina ubaguzi tofaut na Africa jela ni kwa ajili ya watu masikini,kesi ni biashara, mahakama uogopa wenye pesa.
We kwapua tu tani yako chochote ufanywi.
True... Africa tuna shida when it comes to legal system kwanzia jamii, polisi, mahakama mpaka sheria zenyewe
 
Ulaya ule Hela za wananchi unapotea bila kujali wewe ni nani mbeba box au raisi,sheria zao hazina ubaguzi tofaut na Africa jela ni kwa ajili ya watu masikini,kesi ni biashara, mahakama uogopa wenye pesa.
We kwapua tu tani yako chochote ufanywi.
Na sisi tungejaribu mwizi Fulani na Fulani unawafungisha ndoa na RPG pale Taifa uone Kesho kuna mwenye balls za kuiba mali ya umma mwizi mmoja bomu moja[emoji2][emoji2][emoji2]

Wanaiba Kwa sabab wanajua hatuna cha kuwafanya
 
True ..elimu ni mkombozi..Ila kumbuka elimu yetu ya wakoloni ilituandaa tuwatumikie wao
Baada ya wao si sisi kwann hatukuiendeleza itutumikie sisi,badala yake ikawa inatukuza mtawala na kujenga uoga ( zidumu fikra za MWENYEKIT)
 
Solution sio hio Sasa... solution sio violence..mbona ulaya hawachomani moto...na wako peaceful na wanaendelea.
Wizi Unaviolate mambo mengi sasa Mwiba unautoa ulipoingilia

Ukatili unaweza kuleta nidhamu nakwambia usipowafanyia ukatili wanaichukulia Nchi ya kishkaji
 
Na sisi tungejaribu mwizi Fulani na Fulani unawafungisha ndoa na RPG pale Taifa uone Kesho kuna mwenye balls za kuiba mali ya umma mwizi mmoja bomu moja[emoji2][emoji2][emoji2]

Wanaiba Kwa sabab wanajua hatuna cha kuwafanya
Solution sio violence...unakuwa unafanya nchi isiwe na amani.. solution ni elimu na sheria kufuatilia
 
Jamani tuongee serious, nchi Kama India, Singapore, Malaysia, Indonesia zimepata uhuru almost the same time na nchi za kiafrika. Cha ajabu wenzetu wameendelea Sana halafu sisi bado tuna umaskini wa kutupa.

Afrika jamani shida ni Nini?



 
Baada ya wao si sisi kwann hatukuiendeleza itutumikie sisi,badala yake ikawa inatukuza mtawala na kujenga uoga ( zidumu fikra za MWENYEKIT)
😅😂Eti kutukuza mtawala..mi sipo huko. Coz sidhani elimu yetu inatufundisha hivi
 
Majibu kimsingi ya swali kama hili yametolewa sana humu.

Wapo waliosema ni laana, wapo walio toa sababu mbalimbali za kitaalamu.

Kiukweli inaumiza sana na kuudhi ndiyo kama hivyo wengine wanachezea rasilimali za TAIFA kujali matumbo yao na kuumiza kundi kubwa.

Itoshe kwa kumalizia na ujumbe huu [emoji116]View attachment 2731228
Hili jibu liwekwe msalabani kila mtu alione
 
Back
Top Bottom