SimbaMpole123
JF-Expert Member
- Apr 23, 2023
- 5,501
- 4,956
- Thread starter
-
- #221
Ila Brazil, USA, etc Kuna watu weusi pia..Tofauti ipo, ndio maana dunia ina vitu viwili viwili; angalia nchi zote zenye waafrika, iwe Haiti, Guyana, nchi za kiafrika n.k matatizo yetu yanafanana fanana.
Hamna DNA ya uafrika bana ..🤣mkifanya hivi mnakuwa mnaharibuKwani kujichubua ndio kutabadili vinasaba?
Tatizo ni Uafrica
Lakini Kuna wazungu pia wanakuja kuishi Africa...na ni wengi kinoma..na wanaishi vizuri tu...maisha mazuri. So ishu sio Africa issue ni watu wenyeweNdio maana waafrika wengi wanapambana kulikimbia kabisa hili bara.
West Africans na North Africans kila mara hujaribu kuvuka bahari ya mediterranean wakijaribu kuingia Ulaya. Licha ya wengi kufa maji, lakini hawa achi kujaribu bahati yao ya kuvuka bahari.
Vijana wengi wa Afrika, hupambana kwenda kusoma bachelor degrees, Masters na PhD kwenye vyuo vya Ulaya, America na Asia waki target kubakia huko huko kufanya kazi na kuishi, ila si kurudi Afrika.
Wachezaji wa mpira kutoka Afrika, wakifika ulaya hubadilisha kabisa uraia wao na kuomba uraia wa nchi za Ulaya. Mfano mzuri ni timu ya taifa ya Ufaransa.wachezaji wengi ni kutoka Afrika.
Mpaka hapa unaona kwamba kuwa Mwafrika na kuishi Afrika ni ngumu sana, kutokana na mifumo mibovu iliyopo.
Walioleta maendeleo kule ni weupe; Afrika kusini bila hao weupe pangekuwa sawa na haitiIla Brazil, USA, etc Kuna watu weusi pia..
So true... hapo umenenaUfisadi
Ni kwamba katika level ya elimu tumevuruga na tunaona mtabaka mapema mno ,haswa zile elimu zinazoendana na dunia ndio hizi wanasoma watoto wa vigogo ili baadae waje kukutawala.Very true...so Sasa tufanyaje..tubadili mfumo wa elimu yetu. Tunafanyaje asa elimu yetu iweje
🤣Eti kulia Lia jamaniAfrica viongozi wa sasa hawana uwezo wa akili kuongoza. Ni wazee wanaopeana madaraka ili kula mema ya nchi. Africa haina dira ya kujikomboa yenyewe. Hao wanaoitwa viongozi wanaona sifa kila siku kurudi kwa mabeberu kuomba misaada hadi ya neti za mmbu.
Kuna hawa wa kwetu hapa utakuta mtu kamteua yeye tena kesho anasimama kulialia jukwaani kusema aliyemteua hafanyi kazi. Usanii na ujinga mwingi.
🤣Jamani so shida sio uhuru ila tumboHata wa zamani yaan wapigania Uhuru walipigania maslai Yao binafsi na Sio maslai ya waafrika wote thus hadi kesho hakuna familia ya mpigania uhuru inalia njaa wote ni walamba asali.
🤣🤣🤣Sawa Ila wamemaintain..afu wamepitia mateso mengi acha waenjoyWalioleta maendeleo kule ni weupe; Afrika kusini bila hao weupe pangekuwa sawa na haiti
Sasa wakoloni wameondoka watuoneshe walichofanya wao.Hahaha Ila wazee wanasema ukoloni ulikuwa jau
Bana ..🤣usianze kutugawa watanzania bana...so Zanzibar ingekuwa Kama DubaiNi kwamba katika level ya elimu tumevuruga na tunaona mtabaka mapema mno ,haswa zile elimu zinazoendana na dunia ndio hizi wanasoma watoto wa vigogo ili baadae waje kukutawala.
Nchi nyingi zilifanikiwa katika reforms za awali kabisa baada ya uhuru yaani kamq zenji wasingeungana na Tz ,leo wangekuwa mbali huku kwetu Nyerere aliharibu kwa sababu zake binafsi.
😁Uchumi wa katiSasa wakoloni wameondoka watuoneshe walichofanya wao.
Ndio hivyo, mkitaka maendeleo acheni wawekezaji weupe waje 😀🤣🤣🤣Sawa Ila wamemaintain..afu wamepitia mateso mengi acha waenjoy
🤣So tumezingua hapo tu...tumekosea kubebaKuna mahala nilikuwa nasoma leo, India wametawaliwa na Uingereza kama zilivyo Nchi nyingi za Afrika cha ajabu India wakakataa kuiga lugha,dini,na life style za muingireza akaamua Ku adapt technology. Afrika tuka adapt lugha,dini na mifumo mingine tukaacha technology.
Usiseme rangi banaWeusi sisi hatuna ADABU
Dp world?Ndio hivyo, mkitaka maendeleo acheni wawekezaji weupe waje 😀
Hata marekani homeless ppo wapo banakatika suala la utajiri umeitaja hapo india pamoja na uchumi wake mkubwa n.k. ila wahindi wengi ni masikini wa kutupwa...., pamoja na yote Africa hatujachelewa tunaweza tukawa na mfumo inclusive bila gap in classes ya kutupwa - Pamoja na watu wao wengi, hao watu wangekuwa productive india ingekuwa mbali sana
Tunahitaji definition nyingine ya utajiri
View attachment 2731893
Wa kule wana magariHata marekani homeless ppo wapo bana