Afrika tunashindwa na nchi za Asia tulizopata uhuru muda sawa. Shida ni nini?

Afrika tunashindwa na nchi za Asia tulizopata uhuru muda sawa. Shida ni nini?

Ndio maana waafrika wengi wanapambana kulikimbia kabisa hili bara.

West Africans na North Africans kila mara hujaribu kuvuka bahari ya mediterranean wakijaribu kuingia Ulaya. Licha ya wengi kufa maji, lakini hawa achi kujaribu bahati yao ya kuvuka bahari.

Vijana wengi wa Afrika, hupambana kwenda kusoma bachelor degrees, Masters na PhD kwenye vyuo vya Ulaya, America na Asia waki target kubakia huko huko kufanya kazi na kuishi, ila si kurudi Afrika.

Wachezaji wa mpira kutoka Afrika, wakifika ulaya hubadilisha kabisa uraia wao na kuomba uraia wa nchi za Ulaya. Mfano mzuri ni timu ya taifa ya Ufaransa.wachezaji wengi ni kutoka Afrika.

Mpaka hapa unaona kwamba kuwa Mwafrika na kuishi Afrika ni ngumu sana, kutokana na mifumo mibovu iliyopo.
Lakini Kuna wazungu pia wanakuja kuishi Africa...na ni wengi kinoma..na wanaishi vizuri tu...maisha mazuri. So ishu sio Africa issue ni watu wenyewe
 
1693247965994.png
 
Very true...so Sasa tufanyaje..tubadili mfumo wa elimu yetu. Tunafanyaje asa elimu yetu iweje
Ni kwamba katika level ya elimu tumevuruga na tunaona mtabaka mapema mno ,haswa zile elimu zinazoendana na dunia ndio hizi wanasoma watoto wa vigogo ili baadae waje kukutawala.

Nchi nyingi zilifanikiwa katika reforms za awali kabisa baada ya uhuru yaani kamq zenji wasingeungana na Tz ,leo wangekuwa mbali huku kwetu Nyerere aliharibu kwa sababu zake binafsi.
 
Africa viongozi wa sasa hawana uwezo wa akili kuongoza. Ni wazee wanaopeana madaraka ili kula mema ya nchi. Africa haina dira ya kujikomboa yenyewe. Hao wanaoitwa viongozi wanaona sifa kila siku kurudi kwa mabeberu kuomba misaada hadi ya neti za mmbu.

Kuna hawa wa kwetu hapa utakuta mtu kamteua yeye tena kesho anasimama kulialia jukwaani kusema aliyemteua hafanyi kazi. Usanii na ujinga mwingi.
🤣Eti kulia Lia jamani
 
Ni kwamba katika level ya elimu tumevuruga na tunaona mtabaka mapema mno ,haswa zile elimu zinazoendana na dunia ndio hizi wanasoma watoto wa vigogo ili baadae waje kukutawala.

Nchi nyingi zilifanikiwa katika reforms za awali kabisa baada ya uhuru yaani kamq zenji wasingeungana na Tz ,leo wangekuwa mbali huku kwetu Nyerere aliharibu kwa sababu zake binafsi.
Bana ..🤣usianze kutugawa watanzania bana...so Zanzibar ingekuwa Kama Dubai
 
katika suala la utajiri umeitaja hapo india pamoja na uchumi wake mkubwa n.k. ila wahindi wengi ni masikini wa kutupwa...., pamoja na yote Africa hatujachelewa tunaweza tukawa na mfumo inclusive bila gap in classes ya kutupwa - Pamoja na watu wao wengi, hao watu wangekuwa productive india ingekuwa mbali sana

Tunahitaji definition nyingine ya utajiri
1693248426849.png
 
Kuna mahala nilikuwa nasoma leo, India wametawaliwa na Uingereza kama zilivyo Nchi nyingi za Afrika cha ajabu India wakakataa kuiga lugha,dini,na life style za muingireza akaamua Ku adapt technology. Afrika tuka adapt lugha,dini na mifumo mingine tukaacha technology.
🤣So tumezingua hapo tu...tumekosea kubeba
 
katika suala la utajiri umeitaja hapo india pamoja na uchumi wake mkubwa n.k. ila wahindi wengi ni masikini wa kutupwa...., pamoja na yote Africa hatujachelewa tunaweza tukawa na mfumo inclusive bila gap in classes ya kutupwa - Pamoja na watu wao wengi, hao watu wangekuwa productive india ingekuwa mbali sana

Tunahitaji definition nyingine ya utajiri
View attachment 2731893
Hata marekani homeless ppo wapo bana
 
Back
Top Bottom