Afrika yaingia Nusu Fainali ya Kombe la Dunia 2022

Dah Chige chuki zina gender ?
 
Nini msingi wa mtu kuitwa "African American" huko USA!? Kama sio Rangi!?
 
Acha kumshambulia kinafiki.
 
Hiyo ni theory yako Sasa usiilazimishe iwe ukweli

Fifa wanachoangalia na inavyotambulika morocco ni mwanachama wa CAF yaan (Confédération Africaine de Football ) ambacho ndo chombo kinachosimamia mpira africa
Maombi yao ya kucheza ulaya yangekubaliwa, je bado tungewahesabia kuwa wawakilishi wa Africa!? Mafanikio yao bado yangehesabiwa kuwa mafanikio ya Afrika!?
 
Kuna mambo tunazunguka tu mbuyu ukweli usemwe. Uafrika si ngozi, muafrika ni mkazi anayetoka bara la Afrika. Lakini, je, hao wenzetu ambao kimsingi mataifa yao yapo ndani ya bara la Afrika wanajihisi hivyo kama ambavyo inatakiwa kuwa? Jibu: si kweli.

Inabidi ifike lakini pia wakati 'waafrika weusi' tujitathmini kwanini tunakataliwa sana hapa duniani. Upumbavu wetu ambao umetufanya tuendelee kuwa duni ndio unatuponza, hatuheshimiwi na tunaonekana duni.

Anyway, all in all nawatakia mafanikio mema timu zote kuibuka na ubingwa(ushindi).
 
Kwa mara ya kwanza tangu kombe la dunia lianze, Afrika kupitia timu ya Morocco yaingia nusu fainali.

Pongezi kwa wawakilishi wetu morocco kwa kuweka historia.
Walishatukataa sisi sio ndugu zao,japo walifuta kauli.
 
Moroko iko ulaya zaidi kuliko Afrika, ni kama Kigamboni na Kurasini kwani ukiwa upande wa Moroko ulaya inaiona na insweza kuingia kwa kuogelea tu.
Hii hoja ni ya kipuuzi. Kama ni hivyo basi na Spain ipo Africa zaidi kuliko Ulaya kwa kuwa ukiwa upande wa Hispania Africa unaiona na unaweza kuogelea kwenye bahari ya Mediterranean. Kwa hiyo Hispania ni Africa.
 
Waasis wa kuwaita (wahind ,waarab,makaburu) walozaliwa Africa kuwa ni (wahind ,Waarab ,makaburu) ni nan?

Hii continent ingekuwa inajiweza dunia ingepata tabu sana inawatu wapuuzi sana. Wee imagine mtu kasema ushindi wa Morocco ni ushindi wa Arabs na Morocco lakin kuna mtu anautaja uislam [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Maombi yao ya kucheza ulaya yangekubaliwa, je bado tungewahesabia kuwa wawakilishi wa Africa!? Mafanikio yao bado yangehesabiwa kuwa mafanikio ya Afrika!?
Mbona vit vingne hata sio vigumu kufikir.Okay wangekubaliwa mafanikio yao yangekua ya ulaya...Na mm nkuulize kwann hayo mafaniko yangekuwa ya Ulaya?
 
Tunabaguliwa kwa sabab ya uduni wa maisha.Na huu uduni wa maisha tunausababisha wenyew sababu hatuna akili
 
Akuna anaelazimisha jambo ila ukweli utabaki kuwa ukweli Morocco ni Waafrika wenye asili ya kiarabu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…