Afumwa akifanya mapenzi ofisini

hayo majibu tu uliyatoa hapo hayaonyeshi.kama kitu hicho kilitokea! kwanza hata ww huna kazi zaidi ya jf kushinda humu.
Non of your business as long as I don't depend on you.
 
very true but don't mislead jf sons&daughters with such fake/cooked/fiction story.which you failed to prove beyond reasonable doubt.
Whether is fake or cooked all these are non of your business you man like woman.
 
Ushoga ni shiida...ulivyoandika kishabiki...na ndio shoga...ungekuwa mtu baki si ungefanya na sherehe...shogako kanywa sumu wewe badala ya kukimbia hospital kumjulia hali ...unaleta feedback za kusikia...ushoga kazi...ndio maana sinaga muda na kitu kinaitwa 'rafiki'
 
Utupe mrejesho wa hali ya afya ya mfumaniwa please!
 
Watu wana hatari jamani!! ivi unavuaje nguo ukafanya mambo mabaya kazini na una mume nyumbani...?
Kwan ww hujawahi? Sio ofisin tu, hujawahi kuvuliwa uwanjan, kwenye gari, choon, bafuni, acha kujifanya hujawahi wakat ndio mabingwa
 
Mbona umelivalia njuga sana hili jambo? njoo na mrejesho tena wa vile madoctor wamesema
 
Kwan ww hujawahi? Sio ofisin tu, hujawahi kuvuliwa uwanjan, kwenye gari, choon, bafuni, acha kujifanya hujawahi wakat ndio mabingwa
Mungu annusuru Inshallah,na akusamehe na weye unaesema kama vile ulikua shahidi...
 
Mungu annusuru Inshallah,na akusamehe na weye unaesema kama vile ulikua shahidi...
Ukijaribu hutaacha hivi vyakuiba halafu mazingira hatarishi ni vitamu mno, hapo ilikuwa full mizuka,
 
Ningeshangaa sana kama wasingukuwepo wasio amini maana hata kufufuka kwa Yesu walikuwepo pia kama Tomaso na wengne. Japo kutokuamini kwao hakukuondoa ukweli.
Sio kushangaa bali ushahidi ulioleta hapa ni wa uwongo, hata mm nafsi inanisuta kuamini hapa
 
Kwahyo kuteswa ndio kukufanye ugalagazwe oyoo? Hapo nani amedhalilika?
 
Usimuonee huruma kwa ndoa kuvunjika bali muonee huruma kwa pepo la ngono alilonalo, anaweza akapata mume mwingine akarudia tena kugegedwa@
Kwa wanawake kitu muhimu wanacholinda ni ndoa isivunjike, ila kwa wanaume wanachoogopa ni aibu ya kufumaniwa tena na mke wa mtu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…