Afumwa akifanya mapenzi ofisini

Afumwa akifanya mapenzi ofisini

Hivi ungekuwa wewe ungeweza mpiga picha boss wako? Hata hivyo ni sawa kurusha picha za staff wenzio za fumanizi?
Kama huamini hakuna shida mim nilipost kushare nawenza kilichotokea si kutaka kila mtu aamini.
Kwa hiyo ww ni mbeya tu ndiyo ilikuwa shida yako
 
Baada ya kuwafyatulia unadhani nin kingefuata kwako? Yann kujipa shida ilihali wanawake wapo wengi?
unamfyatua kiuno..hafi wala nini ,,anakua kiguru nyembe apa apa..well kwangu mimi ntasota kidogo segerea miez mitatu tu na kutoka kwa kijidhamana..then kesi itafutwa in 3 yrs time tops kibongo bongo.
 
Baada ya kuwafyatulia unadhani nin kingefuata kwako? Yann kujipa shida ilihali wanawake wapo wengi?
unamfyatua kiuno..hafi wala nini ,,anakua kiguru nyembe apa apa..well kwangu mimi ntasota kidogo segerea miez mitatu tu na kutoka kwa kijidhamana..then kesi itafutwa in 3 yrs time tops kibongo bongo.
 
sidhanii kama wangeweza kuendelea,,, kwa kawaida tafrani yeyote yenye kustusha mkiwa faraghani husitisha mihemko yote, na ukuni husinyaaa asilani....hebu edit kdg dada....
 
Bosi wenu mpuuzi kwa nini hakufunga mlango,asingekamatwa. Halafu kafanya asubuhi asubuhi,kuna uwezekano jamaa aliona sms wakiahidiana kufanya hivo kesho yake asubuhi akawavizia.
Mwambie bosi wenu next time afunge mlango
 
Hata kuhama kwenyewe haimsaidii cha msingi avumilie yatazoeleka tu mme akimwacha apange sehemu maisha yaendelee nakazi asiache watamsema weeeh yatapita kuliko kujiua.
hajiuwe kwa ajili gani, ? kwani kutiaana si kitu cha kawaida, what so special about that ?
 
Hahahahaha! Hili neno sijalisikia kitambo! CHAKUBIMBI...Ila sifa zake ndo sizikumbuki..waweza nikumbusha kidogo.
Ni mtu ambaeye akisikia jambo lazima alitangaze na ndivyo ulivyo ww kibaya zaid ni mtu anayejifanya unajua wakati hujui [emoji15]
 
Ni mtu ambaeye akisikia jambo lazima alitangaze na ndivyo ulivyo ww kibaya zaid ni mtu anayejifanya unajua wakati hujui [emoji15]
Ahaa kumbe..nini kunakufanya useme najifanya najua wakati sijui? Au wew ndiyo mfumaniwa nini?
 
Ahaa kumbe..nini kunakufanya useme najifanya najua wakati sijui? Au wew ndiyo mfumaniwa nini?
Wewe una tatizo na wala mm siyo niliyefumaniwa ila nifatilia hii thread toka mwanzo na kugundua tabia yako ilivyo kutokana na namna unavyojibu narudia tena itakugharimu
 
Wewe una tatizo na wala mm siyo niliyefumaniwa ila nifatilia hii thread toka mwanzo na kugundua tabia yako ilivyo kutokana na namna unavyojibu narudia tena itakugharimu
Hahahahaha! Unajifanya chui kumbe kapaka tu wewe mlala jikoni..nikaghalimi wewe yanakuhusu...? Mji...nga.weee
 
Wewe una tatizo na wala mm siyo niliyefumaniwa ila nifatilia hii thread toka mwanzo na kugundua tabia yako ilivyo kutokana na namna unavyojibu narudia tena itakugharimu
Au umemind mzigo? Pole sana.
 
Back
Top Bottom