Afungwa jela kwa kosa la kumlawiti mkewe kama adhabu anapokosea

Mbona kama vile kuna kasoro kwenye kumtia hatiani mshtakiwa?
 
Pamoja na adhabu iliyotolewa, nadhani kulikuwa na haja Mahakama ikajiridhisha zaidi Kwa kupata ripoti ya Daktari.

Lakini pia, isije kuwa hii ni mbinu inayotumika kutuumiza Wanaume.

Unaweza ukawa unapewa hayo mambo kama sehemu ya Starehe na mapenzi yenu na Mkeo alafu baadaye akaja kuitumia kukufunga jela.

Mtafanya Wanaume tuombe talaka Kwa Wake zetu sasa kuogopa hayo yasije kutokea.

Mungu atunusuru Wanandoa, naona Taasisi ya Ndoa inaendelea kupigwa Vita Kila Leo 😭
 
Hapa yaelekea mleta mada kuna kitu huafikiani nacho hebu tupe uzoefu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…