Blender
JF-Expert Member
- Mar 5, 2022
- 4,870
- 8,035
Aliogopa mumewe atafungwa, SS wife kaharibika kabisa inambidi atibiwe, ndipo ishue ilipo bumbulukaAlipo muingilia kwa mala ya kwanza alichukua hatua gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aliogopa mumewe atafungwa, SS wife kaharibika kabisa inambidi atibiwe, ndipo ishue ilipo bumbulukaAlipo muingilia kwa mala ya kwanza alichukua hatua gani?
Mfiraji tu huyo shenzi kabisa. Bora apotelee gerezani.Mahakama ya wilaya ya Mufindi mkoani Iringa imemtia hatiani Dickson Mbwilo (42), mkazi wa Kitelewasi na kuhukumiwa kifungo cha miaka 30 jela kwa kosa la kumlawiti mke wake.
Kulingana na maelezo ya mwanamke huyo mwenye umri wa miaka (32), mumewe alikuwa akimfanyia kitendo hicho pale anapokuwa amekosea ili iwe ndiyo adhabu yake hali ambayo ilimsababishia sehemu zake za siri kuharibika vibaya.
Hata hivyo, mpaka kufikia hatua ya Mbwilo kutiwa hatiani na kufungwa, mlalamikaji hakuwahi kufika kortini kutoa ushahidi wake, isipokuwa Mahakama iliamua kuegemea maelezo yake aliyokuwa ameyaandika Polisi.
Hukumu hiyo ilitolewa Machi 6, 2024 na Hakimu Mfawidhi wa Mahakama ya Wilaya ya Mufindi, Benedict Nkomola na nakala yake kupatikana Machi 12, ikisema ushahidi uliotolewa umethibitisha mashtaka dhidi ya Mbwilo.
Hakimu amesema katika kesi ya jinai, maelezo ya malalamikaji yanaweza yakatumika kama sehemu ya ushahidi kwa kuwa sheria ya ushahidi inatoa utaratibu wa kushughulika na kesi ambazo mlalamikaji atakuwa hapatikani kutoa ushahidi.
Kwani nani ameshktaki?Wamemuonea , sasa kama mwenye kuliwa alikuwa anaona raha iweje watu wa nje mje mshadadie? kama angekuwa anaonewa si angeenda kushitaki mwenyewe mara moja? mauzauza haya.
Amekwambia alikuwa anaona raha?Wamemuonea , sasa kama mwenye kuliwa alikuwa anaona raha iweje watu wa nje mje mshadadie? kama angekuwa anaonewa si angeenda kushitaki mwenyewe mara moja? mauzauza haya.
Alihitaji faragha vinginevyo watu wote wangemfahamu hivyo angeshindwa kujumuika nao.Huyo mwanamke kitu gani kimemfanya ashindwe kwenda kutoa ushahidi?
Au alikuwa anafurahia huduma aliyokuwa anapewa?
Wagalatia zamu yetu maamae. Yesu anaaibishwa hivi hivi.Mahakama ya wilaya ya Mufindi mkoani Iringa imemtia hatiani Dickson Mbwilo (42), mkazi wa Kitelewasi na kuhukumiwa kifungo cha miaka 30 jela kwa kosa la kumlawiti mke wake.
Kulingana na maelezo ya mwanamke huyo mwenye umri wa miaka (32), mumewe alikuwa akimfanyia kitendo hicho pale anapokuwa amekosea ili iwe ndiyo adhabu yake hali ambayo ilimsababishia sehemu zake za siri kuharibika vibaya.
Hata hivyo, mpaka kufikia hatua ya Mbwilo kutiwa hatiani na kufungwa, mlalamikaji hakuwahi kufika kortini kutoa ushahidi wake, isipokuwa Mahakama iliamua kuegemea maelezo yake aliyokuwa ameyaandika Polisi.
Hukumu hiyo ilitolewa Machi 6, 2024 na Hakimu Mfawidhi wa Mahakama ya Wilaya ya Mufindi, Benedict Nkomola na nakala yake kupatikana Machi 12, ikisema ushahidi uliotolewa umethibitisha mashtaka dhidi ya Mbwilo.
Hakimu amesema katika kesi ya jinai, maelezo ya malalamikaji yanaweza yakatumika kama sehemu ya ushahidi kwa kuwa sheria ya ushahidi inatoa utaratibu wa kushughulika na kesi ambazo mlalamikaji atakuwa hapatikani kutoa ushahidi.
Wagalatia mnapenda sana hiyo michezo.Wagalatia zamu yetu maamae. Yesu anaaibishwa hivi hivi.
adriz Mufti kuku The Infinity hydroxo Accumen Mo Mlolongo Jagina
dah! Mungu atusaidie sisi watanzania.Mahakama ya wilaya ya Mufindi mkoani Iringa imemtia hatiani Dickson Mbwilo (42), mkazi wa Kitelewasi na kuhukumiwa kifungo cha miaka 30 jela kwa kosa la kumlawiti mke wake.
Kulingana na maelezo ya mwanamke huyo mwenye umri wa miaka (32), mumewe alikuwa akimfanyia kitendo hicho pale anapokuwa amekosea ili iwe ndiyo adhabu yake hali ambayo ilimsababishia sehemu zake za siri kuharibika vibaya.
Hata hivyo, mpaka kufikia hatua ya Mbwilo kutiwa hatiani na kufungwa, mlalamikaji hakuwahi kufika kortini kutoa ushahidi wake, isipokuwa Mahakama iliamua kuegemea maelezo yake aliyokuwa ameyaandika Polisi.
Hukumu hiyo ilitolewa Machi 6, 2024 na Hakimu Mfawidhi wa Mahakama ya Wilaya ya Mufindi, Benedict Nkomola na nakala yake kupatikana Machi 12, ikisema ushahidi uliotolewa umethibitisha mashtaka dhidi ya Mbwilo.
Hakimu amesema katika kesi ya jinai, maelezo ya malalamikaji yanaweza yakatumika kama sehemu ya ushahidi kwa kuwa sheria ya ushahidi inatoa utaratibu wa kushughulika na kesi ambazo mlalamikaji atakuwa hapatikani kutoa ushahidi.
Ni tendo la aibu na sikawaida ya desturi zetu hivyo yuko sawa kutoonekana mahakamani vinginevyo shauri lingesikilizwa kwa faragha kumstili aliyeumizwa.Huyo mwanamke kitu gani kimemfanya ashindwe kwenda kutoa ushahidi?
Au alikuwa anafurahia huduma aliyokuwa anapewa?
bado wako site wana plot tukioGeita mko wapi
hahahaNikikuta umechelewa kupika kifiro
Nikikuta unachat na wanaume wengine kifiro
Nikiacha hela ya nyama nikakuta maharagwe kifiro.
Ukichelewa kujib txt kifiro
Daaaaah!!! Kwa hawa dada zetu wa mjini, atajitahidi kila siku akoseee
sidhani wafiraji wamekuwa wengi mno wanandoa wengi wakipeleka hizi kesi mahakamani itakuwa aibu kupita unavyoweza fikiria.Polisi wajinga sana wametengeneza hii kesi.
Usimhukumu moja kwa moja namna hii, ndoa hizi zina mambo mengi sana, huwezi kujua yaliyopo nyuma ya pazia.Mfiraji tu huyo shenzi kabisa. Bora apotelee gerezani.
Tanzania ukiwa na kesi mahakamani Bila kuwa na Wakili wanakupoteza.Mahakama ya wilaya ya Mufindi mkoani Iringa imemtia hatiani Dickson Mbwilo (42), mkazi wa Kitelewasi na kuhukumiwa kifungo cha miaka 30 jela kwa kosa la kumlawiti mke wake.
Kulingana na maelezo ya mwanamke huyo mwenye umri wa miaka (32), mumewe alikuwa akimfanyia kitendo hicho pale anapokuwa amekosea ili iwe ndiyo adhabu yake hali ambayo ilimsababishia sehemu zake za siri kuharibika vibaya.
Hata hivyo, mpaka kufikia hatua ya Mbwilo kutiwa hatiani na kufungwa, mlalamikaji hakuwahi kufika kortini kutoa ushahidi wake, isipokuwa Mahakama iliamua kuegemea maelezo yake aliyokuwa ameyaandika Polisi.
Hukumu hiyo ilitolewa Machi 6, 2024 na Hakimu Mfawidhi wa Mahakama ya Wilaya ya Mufindi, Benedict Nkomola na nakala yake kupatikana Machi 12, ikisema ushahidi uliotolewa umethibitisha mashtaka dhidi ya Mbwilo.
Hakimu amesema katika kesi ya jinai, maelezo ya malalamikaji yanaweza yakatumika kama sehemu ya ushahidi kwa kuwa sheria ya ushahidi inatoa utaratibu wa kushughulika na kesi ambazo mlalamikaji atakuwa hapatikani kutoa ushahidi.