Afungwa Kifungo cha Maisha Baada ya Kulipiwa Umeme (Luku) kwa Simu ya Magaidi

Lol! Nimecheka sana mkuu, hasa hiyo code ya Namibia.

Ova
 
Muamala wa umeme ulikuwa mmoja, labda alitaka kuwapoteza wachunguzi kwa kuipeleka simu kwenye njia nyingine, ila muamala ukairudisha simu kwenye mfumo.

Maana kuna watu waliiba TV kubwa yenye kifaa cha kuitambua iliko, kisha wezi wakafanikiwa kujua kilipo wakaking'oa kisha wakakiweka kwenye daladala.

Wachunguzi wakaanza kuhangaika na safari za daladala, huku TV yao inazidi kwenda. Hapo uchunguzi ulifanikiwa kupotezwa maboya.

Ova
 
Shambulio la mwaka 1998 Yuesi Embassy, wazee wakaingia mtaani kutafuta wahalifu wanaohusika, wakakamata watu sehemu tofauti jijini wanaosadikika kuhusika.

CIA walipofika kujiridhisha ile kuwatizama tu wale raia waliokamatwa, jamaa wakasema hatuoni gaidi hata mmoja hapa😂.
Ni wale walevi, wezi na wanywa gongo.😂.
Bongo sio poa.
 
Ilitokea Vodacom kipindi kile Vodacom inaanza Anza. Kulikua na mzungu mnoko, Sasa washahili wakajisemea tununue laini mpya Kisha tumtumie mzungu meseji za matusi. Kosa walilofanya waliweka Ile laini mpya kwenye moja ya simu zao.
Walinaswa asubuhi kweupe Tena mapema Sana.
 
Omar, Njoroge and Mbuthia were linked by telephone records to a mobile phone that was attached to a third suicide bomb vest, which failed to explode. Kenyan media reports have claimed Omar was a leading figure in the bomb plot.
 
Nilikuwa najikumbusha thread inayohusu hilo tukio.
Eti polisi wa bongo waliwakamata watu kibao wakawasweka central. FBI walivyofika wakaambiwa kuna watuhumiwa wa ugaidi wapo ndani, jamaa wakasema tunaomba tuwaone.
Jamaa kuwaona wakasema hakuna gaidi hata mmoja hapa labda vibaka.

Jamaa walivyoingia kazini sasa ndio wakawanasa wahusika wote na jinsi mpango mzima ulivyosukwa na kuna jamaa wa kimara huyo alishirikishwa bila kujua.
 
Gereji alifungwa na alikaa miaka kuja kutoka hakukaa sana akafa. Ninamjua
 
Tanzania huwezi kuendesha gari likiwa na bomu bila kunaswa na rada za jeshi. Ndiyo maana huwa nawaambia watu kiulinzi tuko vzr sana. Mnakumbuka wale jamaa wa rufiji walivyonaswa na kupotezwa walipohama na kukimbilia huko mapori ya morogoro?
 
Yule muuza maziwa wa bongo alipona kwakuwa ana jina la kigalatia
 


Ninaamini kuna maelezo mengi zaidi yaliyomfanya afungwe na sio ulichoeleza peke yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…