Unakumbuka hit single ya starehe? Ni nyimbo ya feruz aliomshirikisha proj jay , ni nyimbo iliyoelezea mafunzo mengi kwa vijana kuhusu starehe na maambukizi ya ukimwi
Ukimwona Daz Baba je?
Schadenfreude is the lowest end of empathy.Too bad......ila inaleta raha kumuangalia
Ukimwona Daz Baba je?
Afadhali ingekuwa sigara ya TCC mkuu ni ile kubwa kitu cha Arusha.Midomo imeungua kwa kunywa konyagi na kuvuta sigara