Enzi za Kikwete mlituambia uchumi wa gesi!!
Magufuli mkatuambia wa viwanda.
Hussein Mwinyi kule Zanzibar tunaambiwa wa uchumi BULUU.
Huyu Mama yenu yeye agenda kuu ya kiuchumi ni ipi?!! Royal Tour?!!
Nchi ndogo kama Rwanda inatangaza utalii kwenye ligi kuu ya England kupitia team ya Arsenal na pia ligi kuu ya Ufaransa kupitia PSG,huyu wa filamu iiyotumia mabilioni ya hela ambae anafanya jitihada za watu kutazama documentary,ina manufa makubwa yapi?!!
Mfano wa Rwanda kutumia Arsenal na PSG, tafakari kwa mwezi inatangazwa kwa watu million ngapi hapo Ulaya tu,bado Asia na kwingineko. Achana na huku Afrika tunapotazama mpira kwa ajili ya kubeti na kubishana, Ulaya ndio yenye watalii wengi wanaokuja Afrika.
Huko America watalii wengi wanaenda kutalii South America.
Mzungu kutoka America kuja kutalii Tanzania inamuhitaji hela nyingi saana haswa kwenye usafiri tu maana inabidi apande ndege kupitia Europe then Africa, na Africa yenyewe atazungusgwa transit nchi nyingine kabla ya kutua Tanzania!
Ili aje direct Tanzania inabidi apande direct flight ambapo hakuna kwa Tanzania to USA kwani ni more than 14hrs ndege kua hewani.
Kati ya Amerika na Ulaya,Tanzania inapokea watalii wengi kutoka ukaya,kwa nini watawala wameelekeza nguvu kubwa Marekani?
Walioasisi hii bongo movie ya royal Tour walikosa njia bora zaidi ya kutangaza na kuboost utalii wetu?!
Agenda kuu haswa ya kiuchumi kwa Rais Samia ni ipi?
Magufuli mkatuambia wa viwanda.
Hussein Mwinyi kule Zanzibar tunaambiwa wa uchumi BULUU.
Huyu Mama yenu yeye agenda kuu ya kiuchumi ni ipi?!! Royal Tour?!!
Nchi ndogo kama Rwanda inatangaza utalii kwenye ligi kuu ya England kupitia team ya Arsenal na pia ligi kuu ya Ufaransa kupitia PSG,huyu wa filamu iiyotumia mabilioni ya hela ambae anafanya jitihada za watu kutazama documentary,ina manufa makubwa yapi?!!
Mfano wa Rwanda kutumia Arsenal na PSG, tafakari kwa mwezi inatangazwa kwa watu million ngapi hapo Ulaya tu,bado Asia na kwingineko. Achana na huku Afrika tunapotazama mpira kwa ajili ya kubeti na kubishana, Ulaya ndio yenye watalii wengi wanaokuja Afrika.
Huko America watalii wengi wanaenda kutalii South America.
Mzungu kutoka America kuja kutalii Tanzania inamuhitaji hela nyingi saana haswa kwenye usafiri tu maana inabidi apande ndege kupitia Europe then Africa, na Africa yenyewe atazungusgwa transit nchi nyingine kabla ya kutua Tanzania!
Ili aje direct Tanzania inabidi apande direct flight ambapo hakuna kwa Tanzania to USA kwani ni more than 14hrs ndege kua hewani.
Kati ya Amerika na Ulaya,Tanzania inapokea watalii wengi kutoka ukaya,kwa nini watawala wameelekeza nguvu kubwa Marekani?
Walioasisi hii bongo movie ya royal Tour walikosa njia bora zaidi ya kutangaza na kuboost utalii wetu?!
Agenda kuu haswa ya kiuchumi kwa Rais Samia ni ipi?