Agenda kuu ya uchumi ya Rais Samia ni ipi? Royal Tour?

Agenda kuu ya uchumi ya Rais Samia ni ipi? Royal Tour?

Enzi za Kikwete mlituambia uchumi wa gesi!!

Magufuli mkatuambia wa viwanda.

Hussein Mwinyi kule Zanzibar tunaambiwa wa uchumi BULUU.

Huyu Mama yenu yeye agenda kuu ya kiuchumi ni ipi?!! Royal Tour?!!

Nchi ndogo kama Rwanda inatangaza utalii kwenye ligi kuu ya England kupitia team ya Arsenal na pia ligi kuu ya Ufaransa kupitia PSG,huyu wa filamu iiyotumia mabilioni ya hela ambae anafanya jitihada za watu kutazama documentary,ina manufa makubwa yapi?!!

Mfano wa Rwanda kutumia Arsenal na PSG, tafakari kwa mwezi inatangazwa kwa watu million ngapi hapo Ulaya tu,bado Asia na kwingineko. Achana na huku Afrika tunapotazama mpira kwa ajili ya kubeti na kubishana, Ulaya ndio yenye watalii wengi wanaokuja Afrika.

Huko America watalii wengi wanaenda kutalii South America.

Mzungu kutoka America kuja kutalii Tanzania inamuhitaji hela nyingi saana haswa kwenye usafiri tu maana inabidi apande ndege kupitia Europe then Africa, na Africa yenyewe atazungusgwa transit nchi nyingine kabla ya kutua Tanzania!

Ili aje direct Tanzania inabidi apande direct flight ambapo hakuna kwa Tanzania to USA kwani ni more than 14hrs ndege kua hewani.

Kati ya Amerika na Ulaya,Tanzania inapokea watalii wengi kutoka ukaya,kwa nini watawala wameelekeza nguvu kubwa Marekani?

Walioasisi hii bongo movie ya royal Tour walikosa njia bora zaidi ya kutangaza na kuboost utalii wetu?!

Agenda kuu haswa ya kiuchumi kwa Rais Samia ni ipi?
Hii hapa 👇

Screenshot_20220507-152519.png


Screenshot_20220503-182121.png


Screenshot_20220424-070902.png


Screenshot_20220424-075142.png


Screenshot_20220423-144851.png


Screenshot_20220423-144637.png


Screenshot_20220416-181437.png


Screenshot_20220416-065936.png
 
Mkuu, unadhani kuwa hawaoni???? Shida ni mbili

Kuna kundi moja ni haters! Wao wana chuki tu, so wanajaribu kusambaza chuki hiyo, na

Kundi la pili wao ni walalamikaji, kila siku, kila saa wananung'unika na kulalamikia kila kitu. Yaani wakipata mtu wa kulaumu wanatua baadhi ya mizigo waliyobeba kichwani.
 
Halafu mleta mada unasema ;Rwanda wanatangaza utalii kupitia Arsenal, so unataka tuwe watu wa kudesa bila ubunifu wowote? Unasema royal tour itasaidia nini? Si usubiri uone? Unataka ujauzito utunge leo na mtoto leo leo?

Unasema kutoka marekani hadi tanzania hela nyingi, sasa wamarekani wamekuambia hawana hela?

Haya unasema hakuna ndege za moja kwa moja, si juzi mmeambiwa kutakuwa na route ya moja kwa moja toka U.S.A mkawa mnapinga humu humu? Sasa mnatakaje kwa mfano?

Hata Royal Tour tumedesa yaaani copy paste paaa. Hakuna elite think tank ya to mechanize economy. Jamaa juu pale ana hoja
 
Hebu taja kipengele angalau kimoja tu cha ilani ya ccm chenye shida halafu useme shida yake ni nini!
If i did not know TZ, i would not come to TZ because of Royal Tour Documentary. The documentary lacks contents, a lot of tourism attractions have been left out. Where is Lake Victoria, Tanganyija, Nyasa in the documentary? Where is Nyerere, Ruaha National Parks? Where is KatAvi, Burigi, Rubondo national parks? I did not even see much of Serengeti in the doc , it was just like passing by. Why Manyara is left out. You left it up to Peter decide for you what to share with the world, and he surely let you down. He took your milions and you will not get tourists coming to TZ with that poorly made documentary. Find another way to share TZ with the world. Take control of what goes on the documentary, or an ad, have a say, dont let the Peters decide what is good or bad for you. Speak for your country, advertise what is less known, leave aside well known attractions of Serengeti , Ngorongoro, Kilimajaro, Tanzania is known for these three including Zanzibar. TZ is blessed with plenty, share them with the world. Give tourists a reason why they should visit TZ and do it yourself, dont leave it to Peter.
 
Mkuu, unadhani kuwa hawaoni???? Shida ni mbili

Kuna kundi moja ni haters! Wao wana chuki tu, so wanajaribu kusambaza chuki hiyo, na

Kundi la pili wao ni walalamikaji, kila siku, kila saa wananung'unika na kulalamikia kila kitu. Yaani wakipata mtu wa kulaumu wanatua baadhi ya mizigo waliyobeba kichwani.
Uko sahihi,haters Wanaongozwa na sukuma gang yaani wamewazidi hadi wapinzani..

Walalikaji wao Wanaongozwa na mfumo dume 😆😆
 
Hata Royal Tour tumedesa yaaani copy paste paaa. Hakuna elite think tank ya to mechanize economy. Jamaa juu pale ana hoja
Ok, toa mawazo mbadala matano, kwamba ni nini cha ziada kifanyike ku boost utalii amma kwa ku copy au kwa kubuni kitu kipya na naamini kama utakuwa na mawazo ya maana yatafanyiwa kazi maana mawazo mengi ya maana humu yamekuwa yanafanyiwa kazi.
 
Enzi za Kikwete mlituambia uchumi wa gesi!!

Magufuli mkatuambia wa viwanda.

Hussein Mwinyi kule Zanzibar tunaambiwa wa uchumi BULUU.

Huyu Mama yenu yeye agenda kuu ya kiuchumi ni ipi?!! Royal Tour?!!

Nchi ndogo kama Rwanda inatangaza utalii kwenye ligi kuu ya England kupitia team ya Arsenal na pia ligi kuu ya Ufaransa kupitia PSG,huyu wa filamu iiyotumia mabilioni ya hela ambae anafanya jitihada za watu kutazama documentary,ina manufa makubwa yapi?!!

Mfano wa Rwanda kutumia Arsenal na PSG, tafakari kwa mwezi inatangazwa kwa watu million ngapi hapo Ulaya tu,bado Asia na kwingineko. Achana na huku Afrika tunapotazama mpira kwa ajili ya kubeti na kubishana, Ulaya ndio yenye watalii wengi wanaokuja Afrika.

Huko America watalii wengi wanaenda kutalii South America.

Mzungu kutoka America kuja kutalii Tanzania inamuhitaji hela nyingi saana haswa kwenye usafiri tu maana inabidi apande ndege kupitia Europe then Africa, na Africa yenyewe atazungusgwa transit nchi nyingine kabla ya kutua Tanzania!

Ili aje direct Tanzania inabidi apande direct flight ambapo hakuna kwa Tanzania to USA kwani ni more than 14hrs ndege kua hewani.

Kati ya Amerika na Ulaya,Tanzania inapokea watalii wengi kutoka ukaya,kwa nini watawala wameelekeza nguvu kubwa Marekani?

Walioasisi hii bongo movie ya royal Tour walikosa njia bora zaidi ya kutangaza na kuboost utalii wetu?!

Agenda kuu haswa ya kiuchumi kwa Rais Samia ni ipi?
Fikra finyu sana.

Unasahau kuwa haohao watalii ndio kati yao ni wawekezaji. Bila mwekezaji kuja kujionea kwako una nini atawekeza nini? Ushuzi wake?

Fursa za kuwekeza haziotwi au kuchomoza tu. Kuwekeza ni feelings na huwezi kumfanya mtu a feel kuwekeza bila kujionea yeye mwenyewe na kuamua yeye mwenyewe fursa zilizokuwepo, mimi nakushauri mleta badala badala ya kuongea hovyo, zitumie fursa zilizokuwepo uweze kuzifanya mafanikio. Bila kufunguliwa na kuziona fursa utawekeza hewa?
 
If i did not know TZ, i would not come to TZ because of Royal Tour Documentary. The documentary lacks contents, a lot of tourism attractions have been left out. Where is Lake Victoria, Tanganyija, Nyasa in the documentary? Where is Nyerere, Ruaha National Parks? Where is KatAvi, Burigi, Rubondo national parks? I did not even see much of Serengeti in the doc , it was just like passing by. Why Manyara is left out. You left it up to Peter decide for you what to share with the world, and he surely let you down. He took your milions and you will not get tourists coming to TZ with that poorly made documentary. Find another way to share TZ with the world. Take control of what goes on the documentary, or an ad, have a say, dont let the Peters decide what is good or bad for you. Speak for your country, advertise what is less known, leave aside well known attractions of Serengeti , Ngorongoro, Kilimajaro, Tanzania is known for these three including Zanzibar. TZ is blessed with plenty, share them with the world. Give tourists a reason why they should visit TZ and do it yourself, dont leave it to Peter.
Kwani haujui kwamba kila kitu duniani kila strenghs na weaknesses au advantages na disadvantages? Yaani kila kitu kila two extremes so suala unaangalia kipi kinazidi.

Au nitajie kitu kimoja tu ambacho ni perfect duniani. Hata hivyo vyote vingeoneshwa, ungesema sasa mbona filamu ndefu sana, muda wa kuangalia vyote hivyo utatoka wapi? Si wangechagua vichache vya muhimu zaidi? Hiyo ndio mwanadamu alivyo
 
Ulitaka atudanganye kuwa tutaingia uchumi wa kati na sisi ni dona kantri wakati anajua sio?

Kwani nani asiyejua kuwa technically mafuta yakipanda hupelekea na vitu vingine kupanda bei? Watu mmezoea kudanganywa mpaka mkiambiwa ukweli mnaona kama vile mnaonewa.

Mama ni kiongozi muadilifu anayejaribu ku practice to her level best.

"Ulitaka atudanganye kuwa tutaingia uchumi wa kati na sisi ni dona kantri wakati anajua sio?".
 
Wewe ungekuwa rais, ungefanya nini kuzuia mfumuko wa bei? Mfano ungefanyaje ili mafuta yasipande?

Wapigwe tu, tuneshachoka! Kama mtu anaambiwa kitu hasikii lazima atapigwa tu!

Kwa hiyo wewe kwa akili yako unadhani nchi kama nchi hazina endogenous measures kudhibiti inflation!!!?

Azizi Mussa
 
Fikra finyu sana.

Unasahau kuwa haohao watalii ndio kati yao ni wawekezaji. Bila mwekezaji kuja kujionea kwako una nini atawekeza nini? Ushuzi wake?

Fursa za kuwekeza haziotwi au kuchomoza tu. Kuwekeza ni feelings na huwezi kumfanya mtu a feel kuwekeza bila kujionea yeye mwenyewe na kuamua yeye mwenyewe fursa zilizokuwepo, mimi nakushauri mleta badala badala ya kuongea hovyo, zitumie fursa zilizokuwepo uweze kuzifanya mafanikio. Bila kufunguliwa na kuziona fursa utawekeza hewa?
Swadakta! Mama anachofanya anafuata utaratibu wa kisayansi wa kukuza uchumi na kuvutia wawekezaji tofauti na kilichokuwa kinafanyika hapo awali "forced economic growth" yaani unalazimishia watu kuwekeza, unapora watu vitu, halafu unadanganya hukopi wakati unakopa, unadanganya sukari imeshuka bei wakati imepanda, unadanganya umekuwa donor wakati ni recepient na.k. Mama ni mtu muadilifu na anayeamini kwenye scientific management. Yaani kutumia akili nyingi na msuli kidogo.
 
Enzi za Kikwete mlituambia uchumi wa gesi!!

Magufuli mkatuambia wa viwanda.

Hussein Mwinyi kule Zanzibar tunaambiwa wa uchumi BULUU.

Huyu Mama yenu yeye agenda kuu ya kiuchumi ni ipi?!! Royal Tour?!!

Nchi ndogo kama Rwanda inatangaza utalii kwenye ligi kuu ya England kupitia team ya Arsenal na pia ligi kuu ya Ufaransa kupitia PSG,huyu wa filamu iiyotumia mabilioni ya hela ambae anafanya jitihada za watu kutazama documentary,ina manufa makubwa yapi?!!

Mfano wa Rwanda kutumia Arsenal na PSG, tafakari kwa mwezi inatangazwa kwa watu million ngapi hapo Ulaya tu,bado Asia na kwingineko. Achana na huku Afrika tunapotazama mpira kwa ajili ya kubeti na kubishana, Ulaya ndio yenye watalii wengi wanaokuja Afrika.

Huko America watalii wengi wanaenda kutalii South America.

Mzungu kutoka America kuja kutalii Tanzania inamuhitaji hela nyingi saana haswa kwenye usafiri tu maana inabidi apande ndege kupitia Europe then Africa, na Africa yenyewe atazungusgwa transit nchi nyingine kabla ya kutua Tanzania!

Ili aje direct Tanzania inabidi apande direct flight ambapo hakuna kwa Tanzania to USA kwani ni more than 14hrs ndege kua hewani.

Kati ya Amerika na Ulaya,Tanzania inapokea watalii wengi kutoka ukaya,kwa nini watawala wameelekeza nguvu kubwa Marekani?

Walioasisi hii bongo movie ya royal Tour walikosa njia bora zaidi ya kutangaza na kuboost utalii wetu?!

Agenda kuu haswa ya kiuchumi kwa Rais Samia ni ipi?
Nani aliouzuwia uchumi wa gas wa Kikwete?

Umekazana "mlituambia" "mlituambia", wewe akili zako zi[po livu? umekaaa kungoja kuambiwa tu? Kwanini hufanyi wewe yako unayoyaona ya maana? Ulikatazwa na nani kutatua matatizo yako kwa fikra zako?

Wewe ni juha, tena ni zaidi ya juha kungoja mwengine aje kutatua tatizo lako.

Kwa fikra hizo za kungoja ufanyiwe, si hasha unanoja ufanyiwe na wengine mpaka ya nyumbani kwako.
 
Swadakta! Mama anachofanya anafuata utaratibu wa kisayansi wa kukuza uchumi na kuvutia wawekezaji tofauti na kilichokuwa kinafanyika hapo awali "forced economic growth" yaani unalazimishia watu kuwekeza, unapora watu vitu, halafu unadanganya hukopi wakati unakopa, unadanganya sukari imeshuka bei wakati imepanda, unadanganya umekuwa donor wakati ni recepient na.k. Mama ni mtu muadilifu na anayeamini kwenye scientific management. Yaani kutumia akili nyingi na msuli kidogo.
Hilo ni wazi kabisa na kalisema kidiplomasia kabisa alipopofanya mahojiano na Tido Mhando.
 
Kwani haujui kwamba kila kitu duniani kila strenghs na weaknesses au advantages na disadvantages? Yaani kila kitu kila two extremes so suala unaangalia kipi kinazidi.

Au nitajie kitu kimoja tu ambacho ni perfect duniani. Hata hivyo vyote vingeoneshwa, ungesema sasa mbona filamu ndefu sana, muda wa kuangalia vyote hivyo utatoka wapi? Si wangechagua vichache vya muhimu zaidi? Hiyo ndio mwanadamu alivyo
Agree to disagree, ypu missed
Kwani haujui kwamba kila kitu duniani kila strenghs na weaknesses au advantages na disadvantages? Yaani kila kitu kila two extremes so suala unaangalia kipi kinazidi.

Au nitajie kitu kimoja tu ambacho ni perfect duniani. Hata hivyo vyote vingeoneshwa, ungesema sasa mbona filamu ndefu sana, muda wa kuangalia vyote hivyo utatoka wapi? Si wangechagua vichache vya muhimu zaidi? Hiyo ndio mwanadamu alivyo
Agree to disagree, you missed the oppprtunity with this Royal Tour documentary, a lot to learn from it. No value for money
Peter fooled you big time.
 
If i did not know TZ, i would not come to TZ because of Royal Tour Documentary. The documentary lacks contents, a lot of tourism attractions have been left out. Where is Lake Victoria, Tanganyija, Nyasa in the documentary? Where is Nyerere, Ruaha National Parks? Where is KatAvi, Burigi, Rubondo national parks? I did not even see much of Serengeti in the doc , it was just like passing by. Why Manyara is left out. You left it up to Peter decide for you what to share with the world, and he surely let you down. He took your milions and you will not get tourists coming to TZ with that poorly made documentary. Find another way to share TZ with the world. Take control of what goes on the documentary, or an ad, have a say, dont let the Peters decide what is good or bad for you. Speak for your country, advertise what is less known, leave aside well known attractions of Serengeti , Ngorongoro, Kilimajaro, Tanzania is known for these three including Zanzibar. TZ is blessed with plenty, share them with the world. Give tourists a reason why they should visit TZ and do it yourself, dont leave it to Peter.
If everything that attracts tourists should be included in the movie then it would be a very long one. They summarized it and hopefully world viewers know the intention of it being somehow shorter. Main contents are in the movie and that is important.
 
Back
Top Bottom