Agenda kuu ya uchumi ya Rais Samia ni ipi? Royal Tour?

Agenda kuu ya uchumi ya Rais Samia ni ipi? Royal Tour?

Mfano taja kwa majina, tozo zipi ungezifuta kwenye mafuta? Kwa kufuta tozo husika, ungepunguza bei ya mafuta kwa sh. Ngapi kwa kila kila lita? Ni madhara gani ambayo yatajitokeza kwa kufuta tozo husika na utayakabili vipi? Au hakutakuwa na madhara yoyote?

Unasema tuchukue mafuta moja kwa moja kutoka Qatar, Kwani sasa tunachukulia wapi, na kwa nini Qatar na hiyo itasaidiaje?

Unasema serikali ikachukue mafuta moja kwa moja, so unakusudia serikali ndio iwe inafanya biashara? Unajua madhara ya serikali kufanya biashara? Unakumbuka nini kilitokea baada ya serikali kuamua kufanya biashara ya korosho?

Unasema serikali inunue meli ya mafuta, aliekuambia kinachopandisha mafuta ni meli binafsi ni nani? So ili kushusha nauli za mabasi serikali inunue mabasi ibebe abiria? Unajua air Tanzania imekuwa ikiendeshwa kwa hasara? Unafanya analyisis au unatafuta mtu wa kulaumu tu?
Great thinker[emoji109]
 
Nani aliouzuwia uchumi wa gas wa Kikwete?

Umekazana "mlituambia" "mlituambia", wewe akili zako zi[po livu? umekaaa kungoja kuambiwa tu? Kwanini hufanyi wewe yako unayoyaona ya maana? Ulikatazwa na nani kutatua matatizo yako kwa fikra zako?

Wewe ni juha, tena ni zaidi ya juha kungoja mwengine aje kutatua tatizo lako.

Kwa fikra hizo za kungoja ufanyiwe, si hasha unanoja ufanyiwe na wengine mpaka ya nyumbani kwako.

Naona Bibi kwako hoja yako ni matusi reja reja tu?!! Enzi za Magufuli ulipotea,ameibuka mwenye imani mwenzetu umeibuka?!!

Kila raia anayo haki kuhoji mambo ya husuyo uchumi na kijamii,hakuna mwenye hati mililki na nchi hii peke yake.

Kama vile ilivyo haki kwenu kusifia,pia Ni haki kwa wengine kuhoji na kukosoa.

Bibi jikite kwenye hoja ya andiko baadala ya matusi ya reja reja ambayo hakika yana ujuha mwingi Ila hayafai kwa mkongwe na mtu mzima wa karba yako!!
 
Agree to disagree, ypu missed

Agree to disagree, you missed the oppprtunity with this Royal Tour documentary, a lot to learn from it. No value for money
Peter fooled you big time.
You are simply a negative fool.

Fooled, who? Do you think you or Peter can fool those who are making billions daily, those who inevested on making the royal tour? Pathetic fool.
 
Naona Bibi kwako hoja yako ni matusi reja reja tu?!! Enzi za Magufuli ulipotea,ameibuka mwenye imani mwenzetu umeibuka?!!

Kila raia anayo haki kuhoji mambo ya husuyo uchumi na kijamii,hakuna mwenye hati mililki na nchi hii peke yake.

Kama vile ilivyo haki kwenu kusifia,pia Ni haki kwa wengine kuhoji na kukosoa.

Bibi jikite kwenye hoja ya andiko baadala ya matusi ya reja reja ambayo hakika yana ujuha mwingi Ila hayafai kwa mkongwe na mtu mzima wa karba yako!!
Kumbe wewe tatizo lako ni kitambaa cha kichwani na wala sio uchumi. Hata mimi nilishahisi hivyo toka mwanzo maana hata hoja critical za kiuchumi.
 
Kufungua uchumi
Apewe muda, kuna muda wa kusafisha shamba, kuna muda wa kuotesha, kupalilia, kupiga dawa, kuvuna halafu ndio kula. Sasa kuna watu wanataka baada ya kuotesha asubuhi mchana wanavuna usiku wanakula, dunia haiko hivyo.
 
Wont try to urgue with small mind my dear, your capacity is very low. It is a waste of my time trying to urgue with type of you.
I've given you a lesson you wont forget. Just for your infotion, My mind didn't even bother when giving you a lesson. You are not worth an iota of my mind

You are simply an uneducated fool from an uneducated school.
 
Uzi umetoka kwenye kujadili hoja ya msingi na kwenda kwenye kashfa za maneno ya hovyo na lugha zisizo na staha mwisho mtaingiza udini

"Akili kubwa hujadili hoja akili ya wastani hujadili matukio na akili ndogo kabisa hujadili watu"Socrates
 
Wewe ungekuwa rais, ungefanya nini kuzuia mfumuko wa bei? Mfano ungefanyaje ili mafuta yasipande?

Wapigwe tu, tuneshachoka! Kama mtu anaambiwa kitu hasikii lazima atapigwa tu!
Zuia ufisadi, punguza mbwembwe, tulia dodoma, teua wenye akili, bana matumizi, toa ruzuku, punguza kodi,
 
Zuia ufisadi
Ufisadi ni suala complicated haliwezi kukomeshwa na mtu mmoja. Inatakiwa uwajibikaji binafsi, wa kijamii na kitaasisi. Kwa bahati mbaya tanzania tu na tatizo kubwa la kijamii la ukosefu wa uaminifu, na hilo ndio husababisha kazi ya kupambana na ufisadi kuwa ngumu sana.
 
Ufisadi ni suala complicated haliwezi kukomeshwa na mtu mmoja. Inatakiwa uwajibikaji binafsi, wa kijamii na kitaasisi. Kwa bahati mbaya tanzania tu na tatizo kubwa la kijamii la ukosefu wa uaminifu, na hilo ndio husababisha kazi ya kupambana na ufisadi kuwa ngumu sana.
Waachie wanaoweza
 
Waachie wanaoweza
Ambao ni kina nani? Umejuaje kuwa wao wanaweza? Watatumia njia gani kumaliza tatizo la kijamii nililoeleza hapo juu? Au ndio majibu cheap kwa maswali magumu? Au umeshadangwanywa mahali ukadanganyika?
 
Enzi za Kikwete mlituambia uchumi wa gesi!!

Magufuli mkatuambia wa viwanda.

Hussein Mwinyi kule Zanzibar tunaambiwa wa uchumi BULUU.

Huyu Mama yenu yeye agenda kuu ya kiuchumi ni ipi?!! Royal Tour?!!

Nchi ndogo kama Rwanda inatangaza utalii kwenye ligi kuu ya England kupitia team ya Arsenal na pia ligi kuu ya Ufaransa kupitia PSG,huyu wa filamu iiyotumia mabilioni ya hela ambae anafanya jitihada za watu kutazama documentary,ina manufa makubwa yapi?!!

Mfano wa Rwanda kutumia Arsenal na PSG, tafakari kwa mwezi inatangazwa kwa watu million ngapi hapo Ulaya tu,bado Asia na kwingineko. Achana na huku Afrika tunapotazama mpira kwa ajili ya kubeti na kubishana, Ulaya ndio yenye watalii wengi wanaokuja Afrika.

Huko America watalii wengi wanaenda kutalii South America.

Mzungu kutoka America kuja kutalii Tanzania inamuhitaji hela nyingi saana haswa kwenye usafiri tu maana inabidi apande ndege kupitia Europe then Africa, na Africa yenyewe atazungusgwa transit nchi nyingine kabla ya kutua Tanzania!

Ili aje direct Tanzania inabidi apande direct flight ambapo hakuna kwa Tanzania to USA kwani ni more than 14hrs ndege kua hewani.

Kati ya Amerika na Ulaya,Tanzania inapokea watalii wengi kutoka ukaya,kwa nini watawala wameelekeza nguvu kubwa Marekani?

Walioasisi hii bongo movie ya royal Tour walikosa njia bora zaidi ya kutangaza na kuboost utalii wetu?!

Agenda kuu haswa ya kiuchumi kwa Rais Samia ni ipi?
Kujenga madarasa na nabkuaparua mabarabara.
Utaongeza na tozo.
 
Mama yeye ameamua asidanganye watu awe mkweli tu. Pale anapoona ukweli anasema ukweli bila muhali.

Hivyo kwenye uchumi yeye anakuza sekta zote kwa kadiri ya uwezo wake kwa kushirikiana na watanzania wote.

Pia anaamini "success is attracted not forced and we get what we deserve not what we say' yaani mafanikio huvutiwa sio kulazimishia ndio maana anaenda na royal tour kwa mfano. So mama anatransform utopian economic approaches tu scientific methods.

Tupo pamoja?
Nguvu nyingi zinatumika kwenye mambo yasiyokuwa na tija hiyo ndio hoja ya mleta mada ambayo inaeleweka kabisa.
 
Walitakiwa wakafanye Promo Italy, France, Germany mana ndio nchi zinazoleta watalii wengi kwetu na bado kuna potential ya ku grow zaidi.
 
Back
Top Bottom