- Thread starter
- #81
Mla chips hawezi toboa 80'sKwa hiyo tunaishi miaka 80 kwa agizo la Mungu au gmo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mla chips hawezi toboa 80'sKwa hiyo tunaishi miaka 80 kwa agizo la Mungu au gmo?
Viongozi wizara hiyo wanakihujumu kitengo hicho Kwa kutokukipa umuhimu.Anachokisema kuna kitengo kinachohusika nacho kilikuwepo mda, labda kama haifanyi kazi ipasavyo
Tanzania: National Plant Genetic Resources Centre - BOLD Project
Tanzania: National Plant Genetic Resources Centre- BOLD - BOLDbold.croptrust.org
So ni agizo la Mungu tusile chips au gmo? Au tunda la ujuzi wa mema na mabaya pale eden? Nini kimezuiwa ili tuishi miaka 900 iliyotajwa hapo juu? So tukila "katumaini" ndio tutaishi miaka 900?Mla chips hawezi toboa 80's
Amwaminiye Yesu amerudishiwa umilele ndani yake,So ni agizo la Mungu tusile chips au gmo? Au tunda la ujuzi wa mema na mabaya pale eden? Nini kimezuiwa ili tuishi miaka 900 iliyotajwa hapo juu?
Dah sio 900 tena, haya bana naishia hapa, ngoja nikatazame picha za warembo wakaliAmwaminiye Yesu amerudishiwa umilele ndani yake,
Mimi sitaishi miaka 900 pekee, ninaishi milele.
Si kifo Wala mauti kinachoweza kunitenga na umilele.
UONGO, hakuna huo uthibitisho wa watu kuishi miaka 900.Zamani za kale watu walikuwa wanaishi hadi kufikia miaka 900 sababu watu walikuwa wanakula vyakula vinavyotokana na mbegu asilia zilizoumbwa na Mungu.
Haya ni madini,
Sasa viongozi wenye maono na uzalendo aina ya Gwajima ndio wafaao kupewa uongozi wa juu watuongoze.
Uzi umejaa nutcases.Dah sio 900 tena, haya bana naishia hapa, ngoja nikatazame picha za warembo wakali
Zamani za kale watu walikuwa wanaishi hadi kufikia miaka 900 sababu watu walikuwa wanakula vyakula vinavyotokana na mbegu asilia zilizoumbwa na Mungu.
Sasa hivi mtu kufikia miaka 80 amejitahidi sana. Binadamu wenye kiherehere kama Bilgate na genge lake la watu wenye roho mbaya wanapanga mipango yao ya kupunguza watu duniani ndo maana wanakuja na miradi yao ya mbegu wanazozitengeneza maabara.Mbegu hizi za maabara si rafiki kwa mwili wa binadamu. Zinamfanya binadamu kuandamwa na magonjwa kama kansa na magonjwa mengine.Siku hizi hata watoto wa kike wanabalehe kabla ya muda wao.
Tusipostuka na kuchukua hatua,miaka ya baadae binadamu atakuwa akifikisha miaka 10 tayari atakuwa amezeeka.
👆Mazao ya uhandisijeni(GMOs) ni janga la dunia,pamoja na sisi tulioko JamiiForums.
Mwenzetu Dr Richard Mbunda ambaye anakerwa na GMOs pamoja na mimi, labda na wengine,
NiMbegu za asili zina ladha nzuri, ugali ni mzuri, matunda ni mazuri, mchele ni mtamu una harufu na ladha nzuri, mihogo na viazi ni mzuri. Kuna tofauti kubwa sana kati ya mbengu za
Ni mabadiliko ya dunia mkuu! Now tupo wengi mno hizo mbegu asili hazitoshi kutulisha soteMkuu hili jambo linasikitisha sana. Nilienda kijijini kwetu nikakuta kila mbegu wananunua. Ukipanda, hizo utakazovuna hazitafaa, hivyo kila msimu lazima wanunue mbegu ambapo hapo awali walikuwa na namna ya kuchagua mbegu bora kwa msimu unaofuata.
Mbegu za asili kijijini kwetu tulivuna hata bila mbolea. Sasa hivi haiwezekani.
Utashangaa mkulima ananunua mbegu za zaidi ya laki moja kwa ekari! Bado hajaweka mbolea ya kupandia na kukuzia, bado hajapalilia, kuvuna, kuhifadhi kwa dawa!
Nimeshangazwa na serikali na wizara husika kutokuliona hili jambo.
Afrika tunaweza kuilisha Dunia,Ni
Ni mabadiliko ya dunia mkuu! Now tupo wengi mno hizo mbegu asili hazitoshi kutulisha sote
Sante Kwa mchango wako murua🙏Makala ya Wazungu wenyewe wakikataa sumu hizi👇hiyo chini ni kutoka tovuti ya serikali ya Marekani
Health risks of genetically modified foods
Abstract
As genetically modified (GM) foods are starting to intrude in our diet concerns have been expressed regarding GM food safety. These concerns as well as the limitations of the procedures followed in the evaluation of their safety are presented. Animal toxicity studies with certain GM foods have shown that they may toxically affect several organs and systems. The review of these studies should not be conducted separately for each GM food, but according to the effects exerted on certain organs it may help us create a better picture of the possible health effects on human beings. The results of most studies with GM foods indicate that they may cause some common toxic effects such as hepatic, pancreatic, renal, or reproductive effects and may alter the hematological, biochemical, and immunologic parameters. However, many years of research with animals and clinical trials are required for this assessment. The use of recombinant GH or its expression in animals should be re-examined since it has been shown that it increases IGF-1 which may promote cancer.
Kwa maelezo zaidi bofya kiunganishi chini👇
Endelea kumshabikia Bilgate. Bilgate ana roho mbaya sana. Kipindi corona imeanza kusambaa Africa,mke wa Bilgate alichekelea akasema eti waaafrica tutakufa sana kwa corona kuliko wazungu mpaka maiti zetu waaafrica zita zagaa viwanjani na mabarabarani.UONGO, hakuna huo uthibitisho wa watu kuishi miaka 900.
Magufuli kaibukia USA.Endelea kumshabikia Bilgate. Bilgate ana roho mbaya sana. Kipindi corona imeanza kusambaa Africa,mke wa Bilgate alichekelea akasema eti waaafrica tutakufa sana kwa corona kuliko wazungu mpaka maiti zetu waaafrica zita zagaa viwanjani na mabarabarani.
Lakini sisi tulimwamini Mungu.Mimi kipindi cha corona kuna wakati hadi nilikuwa natumia Telepathy superpower kumlinda mama yangu maana alikuwa na kisukari.Na watu wenye comorbid-condition ndio walikuwa wanakufa sana kwa corona.Na pia nilitumia telepathy superpower ku-communicate na mind ya Magufuli kipindi hicho cha corona kumpa mbinu za namna ya kupambana na corona maana mimi nilikuwa sikubaliani na lockdown.
Kipindi hicho cha corona nilikuwa kwenye medical school mwaka wa tano,nilikuwa naona namna madaktari bingwa wa internal-medicine na madaktari bingwa wengine ambavyo walikuwa hawaujui ugonjwa wa corona;walikuwa wanasema ni ugonjwa mpya kwao lakini nilikuwa sikubaliani na lockdown maana wazazi wangu ni wafanyabiashara.
Pamoja na kwamba mama yangu kazi yake naturally ilikuwa inamfanya akutane na kuchangamana na kundi kubwa la watu wengi lakini mama yangu alipita salama mpaka leo yupo hai. Maajabu ya Mungu;na kisukari amepona baada ya kukutana na mtu akamuelekeza dawa ya asili inayotibu kisukari kabisa akatumia.
Kwa hiyo hata ukimshabikia Bilgate, sisi tunaotaka kuishi milele tutakuja na mbinu mbadala ku-counterattack mbinu za mwovu Bilgate.Mpaka sasa Bilgate ameshapigwa K.O huko marekani na Donald Trump.
Acha kuandika ujinga unamuongelea Bill Gates halafu unasema mke wake alisema mtakufa, Mke wake Bill Gates ndiye Bill Gates?!Endelea kumshabikia Bilgate. Bilgate ana roho mbaya sana. Kipindi corona imeanza kusambaa Africa,mke wa Bilgate alichekelea akasema eti waaafrica tutakufa sana kwa corona kuliko wazungu mpaka maiti zetu waaafrica zita zagaa viwanjani na mabarabarani.
Lakini sisi tulimwamini Mungu.Mimi kipindi cha corona kuna wakati hadi nilikuwa natumia Telepathy superpower kumlinda mama yangu maana alikuwa na kisukari.Na watu wenye comorbid-condition ndio walikuwa wanakufa sana kwa corona.Na pia nilitumia telepathy superpower ku-communicate na mind ya Magufuli kipindi hicho cha corona kumpa mbinu za namna ya kupambana na corona maana mimi nilikuwa sikubaliani na lockdown.
Kipindi hicho cha corona nilikuwa kwenye medical school mwaka wa tano,nilikuwa naona namna madaktari bingwa wa internal-medicine na madaktari bingwa wengine ambavyo walikuwa hawaujui ugonjwa wa corona;walikuwa wanasema ni ugonjwa mpya kwao lakini nilikuwa sikubaliani na lockdown maana wazazi wangu ni wafanyabiashara.
Pamoja na kwamba mama yangu kazi yake naturally ilikuwa inamfanya akutane na kuchangamana na kundi kubwa la watu wengi lakini mama yangu alipita salama mpaka leo yupo hai. Maajabu ya Mungu;na kisukari amepona baada ya kukutana na mtu akamuelekeza dawa ya asili inayotibu kisukari kabisa akatumia.
Kwa hiyo hata ukimshabikia Bilgate, sisi tunaotaka kuishi milele tutakuja na mbinu mbadala ku-counterattack mbinu za mwovu Bilgate.Mpaka sasa Bilgate ameshapigwa K.O huko marekani na Donald Trump.
Hajui pombe kali, sigara, uchimbaji madini na plastics ni vichocheo vya saratani pia?? Kwa nini asikemee kuongezeka unywaji visungura, uchimbaji madini, sigara na matumizi ya plastics??Mbunge Pauline Gekul: Huenda Watu Wanakula Mboga Zenye Sumu, Magonjwa Kama Saratani Yameongezeka
👆💯%GMO