Agenda ya Josephat Gwajima kuhusu benki ya mbegu za Asili izingatiwe

Agenda ya Josephat Gwajima kuhusu benki ya mbegu za Asili izingatiwe

Mla chips hawezi toboa 80's
So ni agizo la Mungu tusile chips au gmo? Au tunda la ujuzi wa mema na mabaya pale eden? Nini kimezuiwa ili tuishi miaka 900 iliyotajwa hapo juu? So tukila "katumaini" ndio tutaishi miaka 900?
 
So ni agizo la Mungu tusile chips au gmo? Au tunda la ujuzi wa mema na mabaya pale eden? Nini kimezuiwa ili tuishi miaka 900 iliyotajwa hapo juu?
Amwaminiye Yesu amerudishiwa umilele ndani yake,

Mimi sitaishi miaka 900 pekee, ninaishi milele.

Si kifo Wala mauti kinachoweza kunitenga na umilele.
 
Amwaminiye Yesu amerudishiwa umilele ndani yake,

Mimi sitaishi miaka 900 pekee, ninaishi milele.

Si kifo Wala mauti kinachoweza kunitenga na umilele.
Dah sio 900 tena, haya bana naishia hapa, ngoja nikatazame picha za warembo wakali
 
Zamani za kale watu walikuwa wanaishi hadi kufikia miaka 900 sababu watu walikuwa wanakula vyakula vinavyotokana na mbegu asilia zilizoumbwa na Mungu.
UONGO, hakuna huo uthibitisho wa watu kuishi miaka 900.
 
Wazungu sio marafiki zetu hivo

Kwanini Hawa jamaa wanataka kuondoka na wengi.

1: FOOD INDUSTRY - Biashara ya chakula ni biashara kubwa sana duniani, Lakini biashara hii Haina usawa na uhakika wa kiafya kwa watumiaji (wateja) kwanini hawakutazami wewe na Mimi kama kipande muhimu Cha biashara Yao, Bali Mimi na wewe tunachukuliwa kama bidhaa Yao.

Vyakula vinavyolimwa Katika Ardhi ya Ulaya na maabara zao, zina mapungufu ya madini kutokana na Asili ya Ardhi Yao iliyofunikwa na barafu kwa miaka mingi, chakula chao kinawafaa wao kutoka na melanini zao, genetics zao, vyakula hivyo havifai MTU mweusi atumie maana sisi na wao sote tu binadamu sawa Lakini Kuna utofauti mkubwa wa kijenetiki, kwa jinsi hiyo ni dhahiri shahiri kwamba hata operation za miili yetu ni tofauti.

Miili yetu inahitaji chakula, Ili ndani ya chakula hicho vipatikane virutubisho vyote inahitajika afya Bora ya udogo unaozalisha chakula hicho. Lakini tumeshindwa kulinda Ardhi yetu ambayo ndiyo msingi wa UHAI wetu na vizazi vyetu.

Tumeruhusu mbegu za kisasa zitamalaki na kuwapa mbegu zetu za Asili wakaweke kwenye maghala Yao Ulaya Ili wakimaliza ku-corrupt Ardhi yetu waje na masharti magumu maana wao ndiyo watakao kuwa na control ya mbegu zote za Asili.

Tumbo lenye njaa daima haliruhusu UBONGO ufanye kazi yake ya kufikiri ipasavyo, wazungu wanajua sisi waafrika tulipendelewa na Mungu, sisi ndiyo kizazi teule, kizazi Cha kwanza na wateule wa Mungu...wanacheza na akili zetu na tumekubali kuchezewa.

Nini tufanye, kama Bado unamiliki mbegu za Asili basi zitunze sana, kama unawaza biashara basi waza kwa kina biashara ya kilimo na chakula, hatuwezi kuwa huru na kuzalisha kizazi huru kama tunaruhusu kulishwa takataka, kulishwa vitu visivyoeleweka, huu ni mtego na tumenasi, ndio maana tuna matokea hasi Katika vitu vingi.

Elimu na maarifa yanayotolewa mengi yanatokana na mifumo Yao, hatuwezi kuwa huru au salama kwa kutegemea wasomi Hawa ambao Elimu Yao ni matakwa ya mzungu huyo huyo.. tuwatumie WAZEE wetu watupe Asili ya baba zao na Babu zao vizazi vitatu nyuma hapo walifanikiwaje Katika kilimo kwa kulinda Ardhi na mbegu Asili..
Haya ni madini,

Sasa viongozi wenye maono na uzalendo aina ya Gwajima ndio wafaao kupewa uongozi wa juu watuongoze.
 
Zamani za kale watu walikuwa wanaishi hadi kufikia miaka 900 sababu watu walikuwa wanakula vyakula vinavyotokana na mbegu asilia zilizoumbwa na Mungu.

Sasa hivi mtu kufikia miaka 80 amejitahidi sana. Binadamu wenye kiherehere kama Bilgate na genge lake la watu wenye roho mbaya wanapanga mipango yao ya kupunguza watu duniani ndo maana wanakuja na miradi yao ya mbegu wanazozitengeneza maabara.Mbegu hizi za maabara si rafiki kwa mwili wa binadamu. Zinamfanya binadamu kuandamwa na magonjwa kama kansa na magonjwa mengine.Siku hizi hata watoto wa kike wanabalehe kabla ya muda wao.

Tusipostuka na kuchukua hatua,miaka ya baadae binadamu atakuwa akifikisha miaka 10 tayari atakuwa amezeeka.

Mazao ya uhandisijeni(GMOs) ni janga la dunia,pamoja na sisi tulioko JamiiForums.
Mwenzetu Dr Richard Mbunda ambaye anakerwa na GMOs pamoja na mimi, labda na wengine,
👆
 
Mbegu za asili zina ladha nzuri, ugali ni mzuri, matunda ni mazuri, mchele ni mtamu una harufu na ladha nzuri, mihogo na viazi ni mzuri. Kuna tofauti kubwa sana kati ya mbengu za
Ni
Mkuu hili jambo linasikitisha sana. Nilienda kijijini kwetu nikakuta kila mbegu wananunua. Ukipanda, hizo utakazovuna hazitafaa, hivyo kila msimu lazima wanunue mbegu ambapo hapo awali walikuwa na namna ya kuchagua mbegu bora kwa msimu unaofuata.

Mbegu za asili kijijini kwetu tulivuna hata bila mbolea. Sasa hivi haiwezekani.

Utashangaa mkulima ananunua mbegu za zaidi ya laki moja kwa ekari! Bado hajaweka mbolea ya kupandia na kukuzia, bado hajapalilia, kuvuna, kuhifadhi kwa dawa!

Nimeshangazwa na serikali na wizara husika kutokuliona hili jambo.
Ni mabadiliko ya dunia mkuu! Now tupo wengi mno hizo mbegu asili hazitoshi kutulisha sote
 

Makala ya Wazungu wenyewe wakikataa sumu hizi👇hiyo chini ni kutoka tovuti ya serikali ya Marekani​

Health risks of genetically modified foods

Abstract​

As genetically modified (GM) foods are starting to intrude in our diet concerns have been expressed regarding GM food safety. These concerns as well as the limitations of the procedures followed in the evaluation of their safety are presented. Animal toxicity studies with certain GM foods have shown that they may toxically affect several organs and systems. The review of these studies should not be conducted separately for each GM food, but according to the effects exerted on certain organs it may help us create a better picture of the possible health effects on human beings. The results of most studies with GM foods indicate that they may cause some common toxic effects such as hepatic, pancreatic, renal, or reproductive effects and may alter the hematological, biochemical, and immunologic parameters. However, many years of research with animals and clinical trials are required for this assessment. The use of recombinant GH or its expression in animals should be re-examined since it has been shown that it increases IGF-1 which may promote cancer.

Kwa maelezo zaidi bofya kiunganishi chini👇
 

Makala ya Wazungu wenyewe wakikataa sumu hizi👇hiyo chini ni kutoka tovuti ya serikali ya Marekani​

Health risks of genetically modified foods

Abstract​

As genetically modified (GM) foods are starting to intrude in our diet concerns have been expressed regarding GM food safety. These concerns as well as the limitations of the procedures followed in the evaluation of their safety are presented. Animal toxicity studies with certain GM foods have shown that they may toxically affect several organs and systems. The review of these studies should not be conducted separately for each GM food, but according to the effects exerted on certain organs it may help us create a better picture of the possible health effects on human beings. The results of most studies with GM foods indicate that they may cause some common toxic effects such as hepatic, pancreatic, renal, or reproductive effects and may alter the hematological, biochemical, and immunologic parameters. However, many years of research with animals and clinical trials are required for this assessment. The use of recombinant GH or its expression in animals should be re-examined since it has been shown that it increases IGF-1 which may promote cancer.

Kwa maelezo zaidi bofya kiunganishi chini👇
Sante Kwa mchango wako murua🙏

Mada inazidi kuchangamka.

Wenye maono, wapewe uongozi kuongoza Nchi na bara la Afrika katika kuhakikisha Dunia inakula vyakula salama.

Nia tunayo,

Uwezo tunao💪
 
UONGO, hakuna huo uthibitisho wa watu kuishi miaka 900.
Endelea kumshabikia Bilgate. Bilgate ana roho mbaya sana. Kipindi corona imeanza kusambaa Africa,mke wa Bilgate alichekelea akasema eti waaafrica tutakufa sana kwa corona kuliko wazungu mpaka maiti zetu waaafrica zita zagaa viwanjani na mabarabarani.
Lakini sisi tulimwamini Mungu.Mimi kipindi cha corona kuna wakati hadi nilikuwa natumia Telepathy superpower kumlinda mama yangu maana alikuwa na kisukari.Na watu wenye comorbid-condition ndio walikuwa wanakufa sana kwa corona.Na pia nilitumia telepathy superpower ku-communicate na mind ya Magufuli kipindi hicho cha corona kumpa mbinu za namna ya kupambana na corona maana mimi nilikuwa sikubaliani na lockdown.

Kipindi hicho cha corona nilikuwa kwenye medical school mwaka wa tano,nilikuwa naona namna madaktari bingwa wa internal-medicine na madaktari bingwa wengine ambavyo walikuwa hawaujui ugonjwa wa corona;walikuwa wanasema ni ugonjwa mpya kwao lakini nilikuwa sikubaliani na lockdown maana wazazi wangu ni wafanyabiashara.

Pamoja na kwamba mama yangu kazi yake naturally ilikuwa inamfanya akutane na kuchangamana na kundi kubwa la watu wengi lakini mama yangu alipita salama mpaka leo yupo hai. Maajabu ya Mungu;na kisukari amepona baada ya kukutana na mtu akamuelekeza dawa ya asili inayotibu kisukari kabisa akatumia.

Kwa hiyo hata ukimshabikia Bilgate, sisi tunaotaka kuishi milele tutakuja na mbinu mbadala ku-counterattack mbinu za mwovu Bilgate.Mpaka sasa Bilgate ameshapigwa K.O huko marekani na Donald Trump.
 
Endelea kumshabikia Bilgate. Bilgate ana roho mbaya sana. Kipindi corona imeanza kusambaa Africa,mke wa Bilgate alichekelea akasema eti waaafrica tutakufa sana kwa corona kuliko wazungu mpaka maiti zetu waaafrica zita zagaa viwanjani na mabarabarani.
Lakini sisi tulimwamini Mungu.Mimi kipindi cha corona kuna wakati hadi nilikuwa natumia Telepathy superpower kumlinda mama yangu maana alikuwa na kisukari.Na watu wenye comorbid-condition ndio walikuwa wanakufa sana kwa corona.Na pia nilitumia telepathy superpower ku-communicate na mind ya Magufuli kipindi hicho cha corona kumpa mbinu za namna ya kupambana na corona maana mimi nilikuwa sikubaliani na lockdown.

Kipindi hicho cha corona nilikuwa kwenye medical school mwaka wa tano,nilikuwa naona namna madaktari bingwa wa internal-medicine na madaktari bingwa wengine ambavyo walikuwa hawaujui ugonjwa wa corona;walikuwa wanasema ni ugonjwa mpya kwao lakini nilikuwa sikubaliani na lockdown maana wazazi wangu ni wafanyabiashara.

Pamoja na kwamba mama yangu kazi yake naturally ilikuwa inamfanya akutane na kuchangamana na kundi kubwa la watu wengi lakini mama yangu alipita salama mpaka leo yupo hai. Maajabu ya Mungu;na kisukari amepona baada ya kukutana na mtu akamuelekeza dawa ya asili inayotibu kisukari kabisa akatumia.

Kwa hiyo hata ukimshabikia Bilgate, sisi tunaotaka kuishi milele tutakuja na mbinu mbadala ku-counterattack mbinu za mwovu Bilgate.Mpaka sasa Bilgate ameshapigwa K.O huko marekani na Donald Trump.
Magufuli kaibukia USA.
 

Mbunge Pauline Gekul: Huenda Watu Wanakula Mboga Zenye Sumu, Magonjwa Kama Saratani Yameongezeka​


👆💯%GMO
 
Endelea kumshabikia Bilgate. Bilgate ana roho mbaya sana. Kipindi corona imeanza kusambaa Africa,mke wa Bilgate alichekelea akasema eti waaafrica tutakufa sana kwa corona kuliko wazungu mpaka maiti zetu waaafrica zita zagaa viwanjani na mabarabarani.
Lakini sisi tulimwamini Mungu.Mimi kipindi cha corona kuna wakati hadi nilikuwa natumia Telepathy superpower kumlinda mama yangu maana alikuwa na kisukari.Na watu wenye comorbid-condition ndio walikuwa wanakufa sana kwa corona.Na pia nilitumia telepathy superpower ku-communicate na mind ya Magufuli kipindi hicho cha corona kumpa mbinu za namna ya kupambana na corona maana mimi nilikuwa sikubaliani na lockdown.

Kipindi hicho cha corona nilikuwa kwenye medical school mwaka wa tano,nilikuwa naona namna madaktari bingwa wa internal-medicine na madaktari bingwa wengine ambavyo walikuwa hawaujui ugonjwa wa corona;walikuwa wanasema ni ugonjwa mpya kwao lakini nilikuwa sikubaliani na lockdown maana wazazi wangu ni wafanyabiashara.

Pamoja na kwamba mama yangu kazi yake naturally ilikuwa inamfanya akutane na kuchangamana na kundi kubwa la watu wengi lakini mama yangu alipita salama mpaka leo yupo hai. Maajabu ya Mungu;na kisukari amepona baada ya kukutana na mtu akamuelekeza dawa ya asili inayotibu kisukari kabisa akatumia.

Kwa hiyo hata ukimshabikia Bilgate, sisi tunaotaka kuishi milele tutakuja na mbinu mbadala ku-counterattack mbinu za mwovu Bilgate.Mpaka sasa Bilgate ameshapigwa K.O huko marekani na Donald Trump.
Acha kuandika ujinga unamuongelea Bill Gates halafu unasema mke wake alisema mtakufa, Mke wake Bill Gates ndiye Bill Gates?!

Bill Gates anahusiana vipi na kisukari cha mama yako au lockdowns?

Bill Gates anahusianaje na madaktari wenu kutokojua ugonjwa wa Corona?

Bill Gates amepigwa K.O gani na Trump?
 

Mbunge Pauline Gekul: Huenda Watu Wanakula Mboga Zenye Sumu, Magonjwa Kama Saratani Yameongezeka​


👆💯%GMO
Hajui pombe kali, sigara, uchimbaji madini na plastics ni vichocheo vya saratani pia?? Kwa nini asikemee kuongezeka unywaji visungura, uchimbaji madini, sigara na matumizi ya plastics??
 

GMO Corn Linked To Cancer Tumors​


Eating genetically modified corn (GMO corn) has caused rats to develop horrifying tumors, widespread organ damage, and premature death. That's the conclusion of a shocking new study that looked at the long-term effects of consuming Monsanto's genetically modified corn. The study was published in The Food & Chemical Toxicology Journal and was just presented at a news conference in London.

The study has been deemed "the most thorough research ever published into the health effects of GMO food crops and the herbicide Roundup on rats." News of the horrifying findings is spreading fast, with even the mainstream media in shock over the photos of rats with multiple grotesque tumors; tumors so large the rats even had difficulty breathing in some cases. GMOs may be the new thalidomide.

"Monsanto Roundup weedkiller and GMO maize implicated in 'shocking' new cancer study" wrote The Grocery, a popular UK publication.
It reported, "Scientists found that rats exposed to even the smallest amounts, developed mammary tumors and severe liver and kidney damage as early as four months in males, and seven months for females."

The Daily Mail reported, "Fresh row over GMO foods as French study claims rats fed the controversial crops suffered tumors."

It goes on to say: "The animals on the GMO diet suffered mammary tumors, as well as severe liver and kidney damage. The researchers said 50 percent of males and 70 percent of females died prematurely, compared with only 30 percent and 20 percent in the control group"

Findings From The Study​


Here are some of the shocking findings from the study:
https://www.foodmatters.com/article/gm-corn-linked-to-cancer-tumors
==============

👆💯

Watu wanakufa
 
Back
Top Bottom