Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 21,967
- 32,074
Lugoda,Mzee ni sympathiser kwa mujibu wa intelijensia ya marekani. Hata pasport yake ina kamuhuri kanako thbtsha hlo na nahis anajua kua amerca inamchukulia kama mtu aoneaye huruma magaid.
Stori hiyo yangu mimi na Wamarekani umeisoma kwangu.
Ingependeza ungefanya rejea kwangu, yaani, "acknowledgement."
Wamarekani hivi sasa wameniondolea hicho kikwazo ingawa niliingia Marekani nikiwa bado ninacho.