Agenda ya Mohamed Said ina ukakasi

Mzee ni sympathiser kwa mujibu wa intelijensia ya marekani. Hata pasport yake ina kamuhuri kanako thbtsha hlo na nahis anajua kua amerca inamchukulia kama mtu aoneaye huruma magaid.
Lugoda,
Stori hiyo yangu mimi na Wamarekani umeisoma kwangu.

Ingependeza ungefanya rejea kwangu, yaani, "acknowledgement."

Wamarekani hivi sasa wameniondolea hicho kikwazo ingawa niliingia Marekani nikiwa bado ninacho.
 
Ahaaa.nitaendelea kukuita Mzee maana ni jina la heshima,wewe ni mzee wetu kiumri umetuzidi wengi humu,
Mimi nasoma sana maandiko yako na nikiri tu kuwa una kipaji cha kuandika na akili kichwani zimo sana,unajua unachokifanya,watu wengi husoma maandiko yako kama wanasoma gazeti,ila una agenda ya siri umeificha ndani yake
 
Umempa attention asiyokua nayo binafsi sioni Cha kuhatarisha amani katika maaandishi yake wala hayana nguvu yeyote ya kuathiri fahamu za watu, humu Kuna kila aina ya watu wanaosoma maandishi yake wangeona yana impact yeyote bas wangeshamnyoa kipara kitambo sana

Ile historia ni ya familia yake tu ambayo yy kaamua kuandika kutunza kumbu kumbu zake kwa faida ya vizazi vyake bas lakini kwa mawanda ya kitaifa sidhani kama ni dili sana na Wala haina tija sana
 
Massa,
Huo si uwanja wangu mimi nimesahihisha historia iliyokuwa imeandikwa sivyo.
Nilulize kuhusu hilo.
 
Ajenda ya Siri ,unamanisha udini-zation
 
Alisema ukweli ,Si atakosa nguvu ya kulalamika?Kamchezo alikokazoea!
 
Lugoda,
Stori hiyo yangu mimi na Wamarekani umeisoma kwangu.

Ingependeza ungefanya rejea kwangu, yaani, "acknowledgement."

Wamarekani hivi sasa wameniondolea hicho kikwazo ingawa niliingia Marekani nikiwa bado ninacho.
Wamarekan walikuwekea kikwazo gan na ni kidubwasha gan walichokiweka kwenye passport yako???
 
Mpaji...
Sijibu hoja ipi?
Niulize nikupe jibu labda kama jibu unalotaka si ninalokupa.
Taarifa nyingi unazotoa ww ni za kusimuliwa na either wazee wenyewe, wake zao na watoto wao sasa masimulizi kama hayo yanathibitishwaje? Una nyaraka zozote uziweke hapa mbali na picha?

Zngn tutaendelea kuulizana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…