lukubuzo Samsis
JF-Expert Member
- Nov 3, 2014
- 2,920
- 3,388
Mudi kuna wakati alikuwa anafuga magaidi na kuwasafirisha kwenda kwa Aboud Rogo Kenya waende kwa Al shabab.Huyu anatakiwa kutengwa na hata msikitini anakoswali,ni wa kuogopwa kama ukoma.Mzee ni sympathiser kwa mujibu wa intelijensia ya marekani. Hata pasport yake ina kamuhuri kanako thbtsha hlo na nahis anajua kua amerca inamchukulia kama mtu aoneaye huruma magaid.
Ataeendelea kujificha ficha hawez kujitokeza asilanUmempa kidonge cha maradhi yake.Ajitokeze tumjue na tuangalia kama ana chochote cha maana alichonacho na alichochangia kwa taifa.
Ingekuwa sivyo shuleni ingekuwa inafundishwa historia ya hao wazee wanywa kahawa kkoo lakini historia inayofundishwa toka primary mpaka chuo kikuu ni historia ya msomi mkatoliki aliyewasaidia wazee wa kkoo kupata uhuru wa nchi hii.Massa,
Huo si uwanja wangu mimi nimesahihisha historia iliyokuwa imeandikwa sivyo.
Nilulize kuhusu hilo.
Luku...Ingekuwa sivyo shuleni ingekuwa inafundishwa historia ya hao wazee wanywa kahawa kkoo lakini historia inayofundishwa toka primary mpaka chuo kikuu ni historia ya msomi mkatoliki aliyewasaidia wazee wa kkoo kupata uhuru wa nchi hii.
Massa,
Wako viongozi wa Waislam na wanajishulisha na matatizo ya Waislam.
Sheikh Ponda amefanya mengi kwa Waislam.
Allah atamlipa.
Massa,Kuna waislam wengi Tanzania Tena wasomi wazuri tu na viongozi wakubwa. Unganeni muongeze nguvu na sheikh ponda kudai yaliyo sahihi kwa waislam. Umoja ni nguvu. Mambo ya kila mtu kulalamika kivyake hayatasaidia kuondoa matatizo ya waislam
Vinginevyo kubali waislam ndo chanzo cha matatizo yao wenyewe. Mbona tec ikiwa kuna tatizo upande wao wanaungana na kulitolea msimamo. Waislam wanakwama wapi?
Mene...
Huo ni mkasa wa kweli.
Kisa kilianza University of Ibadan, Nigeria mwaka wa 2006 nilipozungumza kwenye mkutano uliokuwa unajadili Ugaidi: "Islam Terrorism and African Development.''
Walioitisha mkutano huu walikuwa Marekani na Iran wakishirikiana na University of Ibadan.
Maneno hayo hapo chini ndiyo yaliponza:
''The United States is more concerned with international terrorism while Africa is obsessed with domestic terrorism. The question which the United States should reflect upon is that why is it that the United States is considered a legitimate target for attack by terrorists? In the answer probably lies the key to solving the problem. It is a pity that terrorism as a field of inquiry is yet to be taken up by actual victims of terrorism. The inquiry has been monopolised by scholars from societies which at most have suffered one or two bomb attacks. This erodes the realities of the subject as would be perceived by the actual victims of terrorism whose lives have seen nothing but sufferings. Selective sampling will always as a rule provide wrong premise. Today the world knows what took place in Auschwitz from the victims who went through the extermination camps during the Holocaust.[1] We are yet to get first hand experience of terrorism from those who had lived and experienced it in Vietnam, Afghanistan, Iraq, Nicaragua etc. documented with the same intensity as the world had documented the holocaust.
Why do Muslimsβ eyes fill with tears when they watch on TV fighter bombers of the United States Army raining bombs on Iraq and Afghanistan; or Israel American made fighter bombers raining bombs on refugee camps in Gaza. Why do some Muslims rejoice sometimes with chants of βTakbir Allahu Akbarβ when a suicide bomber strikes? Why some Muslims do not show remorse when a suicide bomber kills? Why is it that we now have βrefuseniksβ - soldiers in the Israel Defence Force (IDF) who refuse to kill for unjustified cause? This belief is also encroaching into the United States forces in Iraq. Why a suicide bomber is romanticised in certain parts of the world and is rejoiced as a hero while an American soldier is seen as a villain?''
Mkuu @Mohamed Said tufanyie translation kwa lugha yetu hii speech yako iliyowagaragaza wamarekani na wakabaki midomo wazi mpaka kuanza kufanya hila za kukuchafulia hati ya kusafiria.
Wamarekani huwa hawataki kuonekana wao ndio chanzo cha tatizo bali wao waonekane ni watutuzi kwenye tatizo lililosabishwa na wao kwa mgongo wa wengine ππ
Yote tisa, Kumi ni kwamba Mzee wetu kwa haraka haraka tu ni kwamba huna hulka ya kukengeuka kwa tamaa za masilahi fulani kwa jinsi nilivyokusoma kwa haraka haraka tu. Unapenda useme Ukweli haijalishi utamkasirisha nani of which nakupongeza sana juu ya hilo na ni watu wachache sana wenye hulka na haiba kama hii uliyonayo mkuu. Mungu akujaalie kheri juu ya hilo.
Pamoja na Exposure, Elimu pamoja na Nafasi mbali mbali ulizonazo umechagua kuusema ukweli kitu ambacho ni kizuri tofauti na wengi wanaojua dhahiri historia kama hizi lakini wamechagua kuwa Cowards ili kushibisha Matumboπ€£... Wasomi wetu wa Tanzania wana aibisha sana kwakweli.
Niliwahi kusikia pia history ya karume na kifo chake ilipindishwa. Huwa najiuliza ni kwanini nchi yetu imejijenga katika hali hii ya kupindisha pindisha mambo?.... No wonder why Wazungu hawatuamini kwakua tuna nature ya kuwa waongo waongo tu toka tukiwa wadogo πΆπΆπΆ.
*****"" "" "" ******
Mwakilishi wa Balozi wa Tanzania alikuwapo katika mkutano huu halikadhalika Balozi wa Marekani, Nigeria.
Hadhira ilifurahishwa na hii paper yangu.
Nasikia Marekani wakaandika barua Tanzania.
Mwaka wa 2007 nikitokea Iran kwenye mkutano nikakamatwa Uwanja wa Ndege wa Julius Nyerere na vyombo vya usalama nikinituhumiwa kusafirisha mihadarati.
Niliachiwa kwa kuwa upekuzi wa mizigo yangu walikuta vitabu vingi kuliko nguo na hakukuwa na chochote.
Asubuhi nikaachiwa na wakanitaka radhi.
Lakini tayari pasi yangu ilikuwa ishawekewa alama ambayo huwezi kuiona kwa macho hadi inapotiwa katika computer za Immigration wakati nasafiri ndiyo inanionyesha kama mtu ninaetakiwa kufanyiwa upekuzi wa ziada.
Aisee Pole sana kwa hii kadhia Mkuuππππ
Hili sikulijua hadi baadae sana.
Mzigo wangu ulizuiwa Berlin lakini kabla sijaondoka uwanjani nikaambiwa mzigo umepatikana.
Amsterdam nimetolewa kwenye foleni ya kuingia kwenye ndege kuelekea Detroit.
Nikahojiwa pembeni na watu wa usalama.
New York Master Card ilikataa kusoma kwenye ATM.
Ajabu hawa hawa Wamarekani wakanialika kuzungumza kwenye chuo chao maarufu ulimwengu mzima katika African History - Northwestern University, Chicago.
Hawa hawa Wamarekani wakanisafisha tena si hapa nyumbani nje nilipoombewa visa ya kuingia nchi moja na walionialika.
πππ Hujuma zao hazikufanikiwa Kiongozi na hapo kwa Aibu ikabidi wasubmitπππ
Allahu Akbar.
Yako mengi.
Luku....Ingekuwa sivyo shuleni ingekuwa inafundishwa historia ya hao wazee wanywa kahawa kkoo lakini historia inayofundishwa toka primary mpaka chuo kikuu ni historia ya msomi mkatoliki aliyewasaidia wazee wa kkoo kupata uhuru wa nchi hii.
Safi Sana Mzee wetu kwa hizi Struggle zako ambazo zimezaa Matunda πππLuku....
Historia ya uhuru wa Tanganyika imebadilika baada ya kuandika kitabu cha Abdul Sykes.
Halikadhalika historia ya Julius Nyerere imebadilika.
Inawezekana hulijui hili kitabu cha maisha ya Julius Nyerere waandishi wamefanya rejea nyingi kutoka kwangu kwa kunihoji na pia kutoka kitabuni.
Yawezekana ikawa mtaala ni ule ule uliozoeleka hapa nchini lakini vyuo vikuu nje ya mipaka yetu wanaposomesha historia ya "nationalist politics" Tanzania rejea kuu ni kitabu cha Abdul Sykes.
Tash...Bado kofia utavikwa wew kutokana na chuki yako kwa wakristo
UKo sahihi,mzee yuko vizuri ila smeshindwa kuficha hisia za chuki ndani ya nafsi yake juu ya dini fulaniMzee Said hana baya japo nachelea kusema machapisho yake mengi yameelekea kuonesha kuwa watu fulani wananyanyaswa na wengine katika mrengo wa kidini
Kitu ambacho sio sawa sababu udini ni mbaya sana
Kuhusu historia ya Kariakoo, naafikiana nae sababu kila mwanahistoria anabeneo lake la ubobezi, yeye kabobea hapo hivyo tumwache ajimwayemwaye katika sehemu yake
Man...Religious fanatics katika history.
Wanapo Claim their roles
Wewe ni fanatic sema unajua kucheza na maneno,wachache sana wanaelewa agenda yako,ila siku wakikugundua watakupora heshims yote,utawekwa kundu moja na sheikh Ponda au wale mashehe watuhumiwa wa ugaidiMan...
Nani "fanatic?"
Cambridge Journal of African History?
Harvard na Oxford University Press waliowatia Sykes katika Dictionary of African Biography?
Prof. Issa Shivji, Prof. Saida Yahya Othman na Ngwazi Kamatha walionihoji wakati wanaandika Nyerere Biography na katika kitabu kusifia Maktaba yangu kuwa katika maktaba tatu bora zenye taarifa za Nyerere: Maktaba ya Salim, Mohamed Said na Hashim Mbita?
Nani fanatic Northwestern University, Chicago kwa kunialika kuzungumza chuoni kwao?
Nani fanatic?
TBC, AZAM, Hamza Kassongo on Sunday, BBC Dira yΓ Dunia, SABC nk.
Nani fanatic?
JF kwa kunichagua mwandishi bora wa historia Jukwaa la Historia 2021 na 2022?
Nani khasa fanatic?
Mdukuzi,Wewe ni fanatic sema unajua kucheza na maneno,wachache sana wanaelewa agenda yako,ila siku wakikugundua watakupora heshims yote,utawekwa kundu moja na sheikh Ponda au wale mashehe watuhumiwa wa ugaidi
Tofauti yenu ni kwamba yeye yuko staight hatumii fasihi kufikisha ujumbe,ndio maana amejikuta yuko matatani,mimi binafsi namuona sheikh ponda ni mpambanaji na sio mnafiki,ni shujaa na hana uoga,Mdukuzi,
Mdomo haumkatai bwana wake.
Unaweza kusema lolote dhidi yangu.
Najua akili yako inakataa kuamini hiki ukionacho ndicho hicho hicho.
Mimi ni kundi moja na Sheikh Ponda kwa miaka mingi.
Mimi si wa kuambiwa nitawekwa kundi moja na Sheikh Ponda.
Sheikh Ponda ni ndugu yangu.
Picha ya kwanza hapo chini nilimpiga Sheikh Ponda Mahakamani Morogoro nilipokwenda kusikiliza kesi yake.
View attachment 2780230
Sheikh Ponda Mahakamani Morogoro
View attachment 2780232
View attachment 2780233
View attachment 2780241
Sheikh Mselem na mimi nje ya madrasa yake Zanzibar 2012
Hivi ndivyo Waislam tunavyomuona Sheikh Ponda.
Unaweza kumpa yeye na mimi majina yoyote uyapendayo.
Kumuunga mkono ni jitihada binafsi. Mitano tena ili umuunge mpaka mguu π π π π πHuwa tuna muunga mkono Mohamed Said kila anapoleta chapisho lake hapa #Jf na hatuto acha mpaka siku ya mwisho tunaicha Dunia inshallah.
Lakini upo kwenye uzi wake> Majanga.Duh,
Yaani unaamini kila mtu anakujua?!!
Inawezekana una mashabiki na wafuasi wengi, lakini wanaweza kuwa wa mrengo fulani tu hasa wa kidini, siyo watu wate.
Tupo tusiokujua kabisa
Si amekushauri "Msome John Sivalon (1992), Bergen (1981) na Njozi (2002)".Mkuu mimi nimeomba maoni yako Kama mdau na mtanganyika muislam. Nini kifanyike kuondoa matatizo ya waislam Tanzania usikwepeshe tafadhari. Mwisho wa siku vizazi vitawalaumu kwa kushindwa kupata suluhu ya matatizo ya waislam wa Tanzania