mdukuzi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 20,925
- 51,688
Huyu mzee wangu wa gerezani aangaliwe vizuri.
Nakubali ni msomi mzuri hapa nchini, nakubali ana busara ila anatumia akili zake kucheza na akili za watu.
Sijawahi kusikia popote duniani mtu anajiita mwana historia kwa kubobea kwenye kata moja tu.
Mohamed Said anajiita mwanahistoria lakini ukimfuatilia hana anachojua zaidi ya historia ya Kariakoo.
Maandishi yake yana udini ndani yake, mara nyingi ndiyo agenda kuu ya kila anachoandika, udini. Ngugi wa Thiong'o aliwahi kutunga kitabu akasifiwa na Mzee Kenyatta, lakini kumbe kitabu kinamsema vibaya, alitumia literature, ambayo kila mtu huwa na tafsiri yake.
Kwa tuliosoma literature na history tunamuekewa sana huyu mzee, aporwe tuzo alizowahi kupewa.
Kuna kitabu cha "The Modern World Since 1870" na L. Snelgrove kinaelezea nchi nyingi za Ulaya zilivyoingia vitani kwa sababu ya watu dizaini ya huyu mzee.
Huyu mzee sio kilaza, yupo vizuri kichwani ila agenda yake ina ukakasi, ndio maana kipindi cha nyuma alijistukia akawa anaandika kimachale machale kumuogopa bwana yule.
Nakubali ni msomi mzuri hapa nchini, nakubali ana busara ila anatumia akili zake kucheza na akili za watu.
Sijawahi kusikia popote duniani mtu anajiita mwana historia kwa kubobea kwenye kata moja tu.
Mohamed Said anajiita mwanahistoria lakini ukimfuatilia hana anachojua zaidi ya historia ya Kariakoo.
Maandishi yake yana udini ndani yake, mara nyingi ndiyo agenda kuu ya kila anachoandika, udini. Ngugi wa Thiong'o aliwahi kutunga kitabu akasifiwa na Mzee Kenyatta, lakini kumbe kitabu kinamsema vibaya, alitumia literature, ambayo kila mtu huwa na tafsiri yake.
Kwa tuliosoma literature na history tunamuekewa sana huyu mzee, aporwe tuzo alizowahi kupewa.
Kuna kitabu cha "The Modern World Since 1870" na L. Snelgrove kinaelezea nchi nyingi za Ulaya zilivyoingia vitani kwa sababu ya watu dizaini ya huyu mzee.
Huyu mzee sio kilaza, yupo vizuri kichwani ila agenda yake ina ukakasi, ndio maana kipindi cha nyuma alijistukia akawa anaandika kimachale machale kumuogopa bwana yule.