Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
Aggrey TZ kwa sasa anachukua sana mambo aliyokuwa akiyafanya huko nyuma. Ilifika kipindi nusu awehuke, hapa kati maskini ya Mungu kaumwa sana na ilifika muda ukimsogelea anakufukuza anasema hataki umf...r. e maana yeye sio shoga.
Yani kawa mtu wa mapambio 24/7 na mtu wa majuyo sana yani mpaka huruma.
Kiukweli jamaa anahitaji counseling ya hali ya juu kumuweka sawa.
Aggrey kwa sasa amefuya post zote za nyuma amebakisha zile tu za kumsifu Mungu kulingana na imani yake ya kisabato.
Bado hajachelewa kwa kuwa ameshatambua makosa yake na kwa sasa anataka kujitakasa Mungu atamsaidia.
Kila la heri kwake na tusiwe wepesi wa kuhukumu.
Yani kawa mtu wa mapambio 24/7 na mtu wa majuyo sana yani mpaka huruma.
Kiukweli jamaa anahitaji counseling ya hali ya juu kumuweka sawa.
Aggrey kwa sasa amefuya post zote za nyuma amebakisha zile tu za kumsifu Mungu kulingana na imani yake ya kisabato.
Bado hajachelewa kwa kuwa ameshatambua makosa yake na kwa sasa anataka kujitakasa Mungu atamsaidia.
Kila la heri kwake na tusiwe wepesi wa kuhukumu.