M24 Headquarters-Kigali
JF-Expert Member
- Jul 9, 2012
- 8,199
- 8,186
Harufu ya NnyaUamuzi mzuri, atafute pesa ya matibabu kuokoa utumbo maana huwa unaoza baada ya muda
Kwa wale wasiomjua aggrey 👇
Cc: cocastic
View attachment 3175240
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Harufu ya NnyaUamuzi mzuri, atafute pesa ya matibabu kuokoa utumbo maana huwa unaoza baada ya muda
Kwa wale wasiomjua aggrey 👇
Cc: cocastic
View attachment 3175240
Inawezekana Jamaa tayari ameathirika na VVU kaamua kutulia sasa...ameliwa mpaka kachuja,walaji nao wanamwona haleti mzuka tena labda kwa wageni wa jiji ambao hata hivyo hayo sio mambo yao
basi anatafakari na kugundua kwamba huo wote ulikuwa ufala anafanya.
Amina.EE BWANA YESU KRISTO uwaokoe watu wako
AMINA
Ndio nani huyo huko dar?!Aggrey TZ kwa sasa anachukua sana mambo aliyokuwa akiyafanya huko nyuma. Ilifika kipindi nusu awehuke, hapa kati maskini ya Mungu kaumwa sana na ilifika muda ukimsogelea anakufukuza anasema hataki umf...r. e maana yeye sio shoga.
Yani kawa mtu wa mapambio 24/7 na mtu wa majuyo sana yani mpaka huruma.
Kiukweli jamaa anahitaji counseling ya hali ya juu kumuweka sawa.
Aggrey kwa sasa amefuya post zote za nyuma amebakisha zile tu za kumsifu Mungu kulingana na imani yake ya kisabato.
Bado hajachelewa kwa kuwa ameshatambua makosa yake na kwa sasa anataka kujitakasa Mungu atamsaidia.
Kila la heri kwake na tusiwe wepesi wa kuhukumu.
Hii jamii ndiyo iliyo hatarini zaidi kupata VVU,industry nzima kumpata mzima labda alieanza leo ila wakongwe wote wanatembea na virusInawezekana Jamaa tayari ameathirika na VVU kaamua kutulia sasa...
Siyo uwezekano ,huyo jamaa alishajitangaza kama ana MDUDU....Cha msingi ashiriki mazoezi ,kula vizuri na kuzingatia dawa.Inawezekana Jamaa tayari ameathirika na VVU kaamua kutulia sasa...
Hakika tumuombee tu kwa kweliAmina.
Ni mtihani mzito sana Mungu apishe mbali.
WTF?Uamuzi mzuri, atafute pesa ya matibabu kuokoa utumbo maana huwa unaoza baada ya muda
Kwa wale wasiomjua aggrey 👇
Cc: cocastic
View attachment 3175240
Ukizingatia hayo utaishi kwa matumaini.... profesa JaySiyo uwezekano ,huyo jamaa alishajitangaza kama ana MDUDU....Cha msingi ashiriki mazoezi ,kula vizuri na kuzingatia dawa.
OkSinaga huruma na wasenge Mimi!
kwahiyo anamarukanga yamepelekea hali hiyo,mareshi 90% hupata marukangaHiyo aliyejitangaza mwenyewe public tena kitambo , japo kwa watu wa karibu hilo linajulikana tangu 2006.