Aggrey TZ anapitia magumu sana na anajutia aliyoyafanya huko nyuma

Aggrey TZ anapitia magumu sana na anajutia aliyoyafanya huko nyuma

Nilishasema wanaume mkiacha ungese wenu wa kuwanunua na kuwa entertain hiki kitu hakitakuwepo ila kwa sbb mna tamaa za kishenzi dunia inakua mbaya sana kwa ajili yenu...
Yani mnakua kama matahira...unatoka kabisa unaenda eti kwa jitu kama hilo unaacha mkeo nyumbani au gf wako...
Pumbavu zenu...
 
Aggrey TZ kwa sasa anachukua sana mambo aliyokuwa akiyafanya huko nyuma. Ilifika kipindi nusu awehuke, hapa kati maskini ya Mungu kaumwa sana na ilifika muda ukimsogelea anakufukuza anasema hataki umf...r. e maana yeye sio shoga.

Yani kawa mtu wa mapambio 24/7 na mtu wa majuyo sana yani mpaka huruma.

Kiukweli jamaa anahitaji counseling ya hali ya juu kumuweka sawa.

Aggrey kwa sasa amefuya post zote za nyuma amebakisha zile tu za kumsifu Mungu kulingana na imani yake ya kisabato.

Bado hajachelewa kwa kuwa ameshatambua makosa yake na kwa sasa anataka kujitakasa Mungu atamsaidia.

Kila la heri kwake na tusiwe wepesi wa kuhukumu.
Tuwekee picha yake tumuone siye tusiyemjuwa.
 
Nilishasema wanaume mkiacha ungese wenu wa kuwanunua na kuwa entertain hiki kitu hakitakuwepo ila kwa sbb mna tamaa za kishenzi dunia inakua mbaya sana kwa ajili yenu...
Yani mnakua kama matahira...unatoka kabisa unaenda eti kwa jitu kama hilo unaacha mkeo nyumbani au gf wako...
Pumbavu zenu...
Aisee
 
Aggrey TZ kwa sasa anachukua sana mambo aliyokuwa akiyafanya huko nyuma. Ilifika kipindi nusu awehuke, hapa kati maskini ya Mungu kaumwa sana na ilifika muda ukimsogelea anakufukuza anasema hataki umf...r. e maana yeye sio shoga.

Yani kawa mtu wa mapambio 24/7 na mtu wa majuyo sana yani mpaka huruma.

Kiukweli jamaa anahitaji counseling ya hali ya juu kumuweka sawa.

Aggrey kwa sasa amefuya post zote za nyuma amebakisha zile tu za kumsifu Mungu kulingana na imani yake ya kisabato.

Bado hajachelewa kwa kuwa ameshatambua makosa yake na kwa sasa anataka kujitakasa Mungu atamsaidia.

Kila la heri kwake na tusiwe wepesi wa kuhukumu.
Kumbe lilikuwa ni choko la Kisabato? Aiseee, shetani ana nguvu sana. Halafu unaweza ukakuta jamaa ni Mkurya
 
Back
Top Bottom