Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HaijalishiAsije kua kaokoka baada ya kupata shida
🤣🤣🤣🤣🤣Wacha mkuu!Unauzoefu?
Ficha ujinga wakoHicho ki*yeo kishaota sugu na unasema hajachelewa? Maneno ya kutiana moyo tu.
PTSD is real..!
Hiyo aliyejitangaza mwenyewe public tena kitambo , japo kwa watu wa karibu hilo linajulikana tangu 2006.Aseme ukweli amekutwa na HIV.
Mungu humuokoa yule amtakaye.Ameokoka na jana kabatizwa upya.. Ameen..
Nipo bro😊Countrywide I see you brother..
Rafiki mwingine wa Agrey ni huyu GENTAMYCINEUkiwa kama rafiki mkubwa wa Aggrey,hebu tueleze ni kitu gani kimemsibu rafiki yako!
Tuwekee picha yake tumuone siye tusiyemjuwa.Aggrey TZ kwa sasa anachukua sana mambo aliyokuwa akiyafanya huko nyuma. Ilifika kipindi nusu awehuke, hapa kati maskini ya Mungu kaumwa sana na ilifika muda ukimsogelea anakufukuza anasema hataki umf...r. e maana yeye sio shoga.
Yani kawa mtu wa mapambio 24/7 na mtu wa majuyo sana yani mpaka huruma.
Kiukweli jamaa anahitaji counseling ya hali ya juu kumuweka sawa.
Aggrey kwa sasa amefuya post zote za nyuma amebakisha zile tu za kumsifu Mungu kulingana na imani yake ya kisabato.
Bado hajachelewa kwa kuwa ameshatambua makosa yake na kwa sasa anataka kujitakasa Mungu atamsaidia.
Kila la heri kwake na tusiwe wepesi wa kuhukumu.
AiseeNilishasema wanaume mkiacha ungese wenu wa kuwanunua na kuwa entertain hiki kitu hakitakuwepo ila kwa sbb mna tamaa za kishenzi dunia inakua mbaya sana kwa ajili yenu...
Yani mnakua kama matahira...unatoka kabisa unaenda eti kwa jitu kama hilo unaacha mkeo nyumbani au gf wako...
Pumbavu zenu...
Kumbe lilikuwa ni choko la Kisabato? Aiseee, shetani ana nguvu sana. Halafu unaweza ukakuta jamaa ni MkuryaAggrey TZ kwa sasa anachukua sana mambo aliyokuwa akiyafanya huko nyuma. Ilifika kipindi nusu awehuke, hapa kati maskini ya Mungu kaumwa sana na ilifika muda ukimsogelea anakufukuza anasema hataki umf...r. e maana yeye sio shoga.
Yani kawa mtu wa mapambio 24/7 na mtu wa majuyo sana yani mpaka huruma.
Kiukweli jamaa anahitaji counseling ya hali ya juu kumuweka sawa.
Aggrey kwa sasa amefuya post zote za nyuma amebakisha zile tu za kumsifu Mungu kulingana na imani yake ya kisabato.
Bado hajachelewa kwa kuwa ameshatambua makosa yake na kwa sasa anataka kujitakasa Mungu atamsaidia.
Kila la heri kwake na tusiwe wepesi wa kuhukumu.
Chama Cha MashogaAgombee uenyekiti CHADEMA. Watamchagua