Aggrey TZ anapitia magumu sana na anajutia aliyoyafanya huko nyuma

Hance Mtanashati

JF-Expert Member
Joined
Sep 7, 2016
Posts
20,137
Reaction score
26,189
Aggrey TZ kwa sasa anachukua sana mambo aliyokuwa akiyafanya huko nyuma. Ilifika kipindi nusu awehuke, hapa kati maskini ya Mungu kaumwa sana na ilifika muda ukimsogelea anakufukuza anasema hataki umf...r. e maana yeye sio shoga.

Yani kawa mtu wa mapambio 24/7 na mtu wa majuyo sana yani mpaka huruma.

Kiukweli jamaa anahitaji counseling ya hali ya juu kumuweka sawa.

Aggrey kwa sasa amefuya post zote za nyuma amebakisha zile tu za kumsifu Mungu kulingana na imani yake ya kisabato.

Bado hajachelewa kwa kuwa ameshatambua makosa yake na kwa sasa anataka kujitakasa Mungu atamsaidia.

Kila la heri kwake na tusiwe wepesi wa kuhukumu.
 
Weka picha mkuu
 
Allah akbar ,Mungu amuongoze awe sawa na aoe kabisa,kuna shoga Anti Asu naye amekuwa fresh na ana mke na watoto ,hajachelewa.


View: https://www.youtube.com/watch?v=UvQ9JCkcA1k
 
Agombee uenyekiti CHADEMA. Watamchagua
 
Tulipomshauri alitukaripia sana na kutuita sisi wajinga. Akatuona mafala.

Mwache avune alichopanda.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…