BRN
JF-Expert Member
- Nov 18, 2013
- 5,188
- 6,633
Itapendeza... ukiweka kabisa bei ya jumla.Bahati mbaya calculator ya Tra haipo hewani,,nikipata data nitazileta hapa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Itapendeza... ukiweka kabisa bei ya jumla.Bahati mbaya calculator ya Tra haipo hewani,,nikipata data nitazileta hapa.
Acha uongo,kama huna fedha za kununua nenda pale daraja la Mwl. Nyerere na jirusheMagari mengi yanaibiwa south afrika yanakuja uzwa Tanzania
Mkuu msome vema mtoa uzi,kama upo interested mfuate inboxKuna kitu hujaweka sawa.
Kodi/ Ushuru
🤣😅😅😅 Mtu akitaka kununua gari hapa lazima twende traffic register tukajiridhishe kwamba muuzaji ndiye mmlikia wa chombo. Kama ni dealerships pia kuna taratibu zake.Acha uongo,kama huna fedha za kununua nenda pale daraja la Mwl. Nyerere na jirushe
....police interpol clearance certificate ni documents muhimu mno,pia angalia isiwe ni bank financed car..otherwise gari za kwa Madiba ni top class one,binafsi nazipenda na kuziamini sana🤣😅😅😅 Mtu akitaka kununua gari hapa lazima twende traffic register tukajiridhishe kwamba muuzaji ndiye mmlikia wa chombo. Kama ni dealerships pia kuna taratibu zake.
Ila hunijui alafu unaniambia huna hela stress zako za maisha tafuta sehemu za kupelekaAcha uongo,kama huna fedha za kununua nenda pale daraja la Mwl. Nyerere na jirushe
Hio sio sababu watu wana-forge documents huwezi kubali ila vita vingi vya south afrika vinanuka damu za watu🤣😅😅😅 Mtu akitaka kununua gari hapa lazima twende traffic register tukajiridhishe kwamba muuzaji ndiye mmlikia wa chombo. Kama ni dealerships pia kuna taratibu zake.
Huu ni uongo,kunuka damu ?,sio kweli na unaposema watu wana forge documents ni ngumu maana SA wana systems nzuri zaidi kuliko tuliyokua nayo hapa nchini,kule ID yao inaongea kwenye systems zote za nchiHio sio sababu watu wana-forge documents huwezi kubali ila vita vingi vya south afrika vinanuka damu za watu
Anavyonijibu hapa inasaidia kwake uzi wake kuwa na taarifa za ziada kwa manufaa ya wengine pia.Mkuu msome vema mtoa uzi,kama upo interested mfuate inbox
Fair enough ila usiandike uongo hapa,ukweli utamalaki na huwezi ukaniambia kuwa eti magari mengi ya SA ni ya wizi wakati Dar imejaa magari mengi ya SA yaliyo safiIla hunijui alafu unaniambia huna hela stress zako za maisha tafuta sehemu za kupeleka
Yes kuna ukweli fulani lakini nipo hapa na maisha tunayoishi ni tofauti na mtu anavyosikia kwenye vyombo vya habari. Kuna mengi sana mazuri kuliko mabaya,pia ni cycle za watu tunaojihusisha nao zinaweza kukuweka mtu matatani. Kama umenyooka basi utaishi vizuri tu.Hio sio sababu watu wana-forge documents huwezi kubali ila vita vingi vya south afrika vinanuka damu za watu
Karibu sana chief,bank financed cars huuzwa kwa minada au insurance companies kama zimepata ajali au majanga ya aina yoyote. Suvs na pickup cars za kisasa hapa na nafuu kuliko kuagiza UK au Japan.....police interpol clearance certificate ni documents muhimu mno,pia angalia isiwe ni bank financed car..otherwise gari za kwa Madiba ni top class one,binafsi nazipenda na kuziamini sana
Umetoa tahadhari ya kweli Kabisa.Ndo ukweli unaponunua bidhaa ya mtumba kutoka south afrika kuwa makini
Nyingine watu wameuliwa ndo zimepatika kwa njia ya kuporwa
Usipake matope biashara za watu. Kinachotakiwa ni mnunuzi kuzingatia procedure sahihi. Kama Mali za wizi hata nchini kwetu zipo kwa wingi.Ndo ukweli unaponunua bidhaa ya mtumba kutoka south afrika kuwa makini
Nyingine watu wameuliwa ndo zimepatika kwa njia ya kuporwa
Sipaki matope bali ndo ukweli na sijasema yeye anauza mali ya uwizi ila nimesema bidhaa nyingi za south africa ni za uwizi ni kama tahadhari tuUsipake matope biashara za watu. Kinachotakiwa ni mnunuzi kuzingatia procedure sahihi. Kama Mali za wizi hata nchini kwetu zipo kwa wingi.
Bado sijapata uelewa vizuri kuhusu import duty. Kwa sababu ya kuwa members wa SADC hatupaswi kulipa import duty kwa magari yanayozalishwa ndani ya SADC.Jamaa yangu aliingiza Toyota Hilux ya 2017,ile ni 2.8 GD6 alilipa ushuru 23 milion kwa maelezo yake. Lakini pia ukichek kwenye calculator ya tra utaona double cabins zina ushuru rafiki kuliko Suv,mfano Hilux/Fortuner au Ranger/Everest.
Pia hapa South Africa Kuna options za kununua gari zilizopata ajali na kuzitengeneza kisha kuleta Tz. Wengi wanafanya biashara hiyo,gari zinakua cheap kununua,garage wanafix chuma inakua kama mpya kuanzia replacement parts mpaka rangi.