Isanga family
JF-Expert Member
- Feb 25, 2015
- 17,080
- 33,076
Unachokiandika hauwezi kukikuta Mtu kutoka Nigeria au Uganda akaandika kwenye kitu ambacho ndugu yake anakitangaza kama hujui kitu kaa kimya kuliko kuandika andika vitu usivyovijua Uganda wanaongoza kuchukua scraper kutoka SA na Watanzania wa Arusha wanazifata Uganda ni kutokana watu kariba yako mmejaa yaani mna roho fulani za kwa nini huyu afanikiwe na wewe ukimuona...Sipaki matope bali ndo ukweli na sijasema yeye anauza mali ya uwizi ila nimesema bidhaa nyingi za south africa ni za uwizi ni kama tahadhari tu