Phone4Sale Agiza simu used Grade A (Refurblished phone) kutoka Dubai kwa bei za jumla

Hivi watanzania kwa nini tuko hivi? Wewe ushawahi kuagiza mzigo Dubai? Au umekariri?. Sometimes ni vizuri sana kukaa kimya kuliko kuwa mjuaji.
 
Hatuna Mtaji wa kuletea mzigo boss..
Bali unalipia na kuagiziwa Simu uitakayo
Mtego umeutegua....upo dubai huna mtaji ata wa laki 5,au 1Ml...ata ukiwa housegeli wa ndani huo mtaji unapata.

Au mzee upo unalelewa na bibi la kiharabu....ahahahaa
 
Anasema hana mtaji na wala yy hafanyi biashara ni msaada tu....afu yupo dubei
 
Nipo shipping company..so najua ninachokifanya
Yaani dubai ndege iwe siku 7 mkuu hapana
simu ikipekwa leo jioni..saa 8 usiku inaondoka na ndege
kesho asubuhi simu ipo dar
hapo zinakuwa siku ngapi?
Upo shipping company afu huna mtaji....ahahahaa

Unakwepa risks kwa kuwafanya watu risk taker...
 
Mnyama Google Pixel sijamuona kabisa
 
Mnyama Google Pixel sijamuona kabisa
pixel 3A 64GB - 250,000

pixel 3XL 64GB - 290,000

pixel 3XL 128GB - 320,000

pixel 4 128GB - 350,000

pixel 4A 128GB - 390,000

pixel 4A 5g 128GB - 390,000

pixel 4XL 64GB - 390,000

pixel 4XL 128GB - 440,000

pixel 5 128GB - 450,000

pixel 5A 128GB - 500,000

pixel 6 128GB - 690,000

pixel 6A 128GB - 720,000

pixel 6A PRO 128GB - 950,000
 
mimi kazi yangu ni kusafirisha sio kufanya biashara ya simu..
na sijasema namiliki shipping company.
ELEWA NENO SHIPPING
Apo sawaa nmekuelewa Hufanyi biashara ya simu...! Bali unafanya usafirishaji tu
 
Iphone 12 Mini napata kwa sh ngapi? na utaratibu wa malipo upoje pamoja na muda wa kuipata simu?
Mkuu bidhaa nyingine kama Tv na projector nazo unadeal nazo au ni simu tu?
 
Tuliwahi pigwa humu humu JF na jamaa alliikuwa anauza Vitu vya electronics toka Europe na nchi za Kiarabu alidai ana ofisi Kigamboni kumbe feck. Jamaa alikuwa na jina la Kihaya.
Pole na masahibu yaliyokukuta
Karibu ofisini
Manzese Argentina
0654156671
 
Wewe pimbi kweli. Wizi mkubwa siku hizi unafanyika kwa kupiga simu.

So simu siyo msaada wa usalama wa mali zetu. Utaongea nae, akishatupiga anatupa line, halafu unapishana nae mtaani tu.

Huenda anatumia jina la marehemu babu. Tutajuaje?

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
 
Kwanza akikuletea simu mbovu. ... hakuna namna ya kurudsha,atakwambia mimi sio muuzaji mi ni msafirishaji..
😂halafu kingine , akiulizwa baadhi ya simu anasema" hiyo sina" 😂 kwa mtu mwenye iq kubwa ataelewa.. so ina maana mzigo unao kabisa huko au ? maana maduka ni mengi huko cm haiwez kosekana used . kama unao mtumie huyo agent wako hata simu mbili mtu akitoa order, then watu ndio wafate.. elewesha vizuri , hzo cm mtu akikuagiza unaenda kuzitafuta dukani au unazo tayari ? na kama unazo basi utumie hela yako kumsafirishia ili ikifika tz mteja akalipie aichukue
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…