Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
TUtafika tuUkiufuatilia huu uzi utajifunza vitu vifuatavyo:-
1. Kwa nini Wabongo wengi hatutoboi kwenye biashara za kimataifa.
2. Ujuaji,roho mbaya, kutoaminiana na unafiki ni tatizo letu kubwa mno.
3. Watanzania hatupendi maendeleo ya mwenzetu
4. Watanzania wengi ni maskini na washamba sanaaa
5. Poor Risk taking ni sababu kubwa sana watu wengi kutofanikiwa Bongo
6. 50% ya Wabongo ni wachawi kwenye biashara za watu.
Asanteni.
Siku 3 mpak 5..Inatumia siku ngapi kufika? Wa mkoa tunalipaje huku tukihakikishiwa uaminifu, simu ina warrant miezi mingapi?
Hakuna used pure bila kuwa refurbished?Siku 3 mpak 5..
Warranty miezi 3
Kuhusu mkoani ni utaratibu wa kutumiwa tu
Ila gharama za kutuma kutoka dar kuja ulipo utachangia
Samsung note 10Zipoo mkuu
Unataka Simu gani
nybomaLAPTOP MOJA KWA MOJA KUTOKA DUBAI
🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪
View attachment 2717167View attachment 2717168View attachment 2717165
Hp Elitebook 840 g3
Core i5
6th generation
Ram 8gb
SSD 256gb(Unaweza kuongezewa ikawa 512gb)
BEI NI 430,000 TU
(Hapo hakuna gharama nyingne utakayo Lipia zaidi ya kusubiria laptop tu)
🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪
Kwa wanaohitaji kuagiza Laptop nipe model au sifa za Laptop unayohitaj nikupe bei yake.
Model za Laptop zipo nyingi sana na zina sifa tofauti tofauti
Ni ngumu kuandaa mkeka full
🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪
Mawasiliano zaidi whatsapp
+971582640133 (Dubai)
Call/sms 0654156671 (Ofisi dar)
🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪
Ya 2020 64gb = 320KMkuu MASTERCHIEF 255 iphone SE ya 2020 (Second Gen) na ya 2022 ya 5g hizi unauzaje?
Kwanini mtu asilipie akishapokea mzigo?HIZI NI BEI KUTOKA DUBAI MOJA KWA MOJA
Unaweza Agiza Hata kwa simu 1
IPHONE
iphone 6-16gb = 160,000
iphone 6-32gb = 180,000
iphone 6-64gb = 200,000
iphone 7 128gb = 280,000
iphone 7 PLUS 128gb = 380,000
iphone 8 64gb = 360,000
iphone 8 256gb = 420,000
iphone 8 PLUS 64gb = 480,000
iphone 8 PLUS 256gb = 530,000
iphone X 64gb = 530,000
iphone X 256gb = 590,000
iphone XS 256gb = 670,000
iphone XR 64gb = 580,000
iphone XR 128gb = 630,000
iphone XS MAX 256gb =790,000
iphone 11 64gb = 760,000
iphone 11 128gb = 850,000
iphone 11 PRO 256gb = 1,050,000
iphone 11 PRO MAX 256gb = 1,120,000
iphone 12 pro 128gb = 1,300,000
iphone 12 PRO 256gb = 1,500,000
iphone 12 PRO MAX 256gb = 1,700,000
iphone 13 PRO MAX 256gb = 2,450,000
iphone 13-128gb = 1,550,000
iphone 13 pro 256gb = 2,150,000
SAMSUNG
J7 PRIME ram 3 / 16gb = 150,000
J7 PRIME 2 ram 3 / 32gb = 170,000
A10E ram 3 / 32gb = 170,000
A20 ram 3 / 32gb = 190,000
A50 2sim = 240,000
A12 ram 3/32gb = 230,000
A21S ram3/32gb = 250,000
A31 ram4/128gb = 250,000
A32 ram 4/128gb = 270,000
A750 ram 4/64gb = 230,000
A51 256gb = 350,000
A51 4g 2sim = 310,000
A9 PRO ram 6/128 gb = 280,000
A90 5G ram 6/128 gb = 320,000
A82 ram 4/128 gb = 510,000
A23 5g ram 4/128 gb = 380,000
M23 ram 4/128 gb = 350,000
A22 5g ram 4/128 gb = 330,000
S7 EDGE ram 4/32 gb 2sim = 200,000
S8 ram 4/64gb = 260,000
S8 PLUS ram 4/64gb = 300,000
S9 ram 4/64gb = 280,000
S9 PLUS ram 6/64gb = 320,000
S10 ram 8/128gb = 410,000
S10E ram 6/128gb = 290,000
S10 PLUS ram 8/128gb = 490,000
S10 5G ram 8/256gb = 520,000
S20 ram 12/128gb = 440,000
S20 PLUS ram 12/128gb = 480,000
S20 ULTRA ram 12/128gb = 590,000
S21 ram ram 8/128gb = 640,000
S21 PLUS ram 8/128gb = 670,000
S21 ULTRA ram 12/128gb = 950,000
S21 ULTRA ram 12/256gb = 1,150,000
S22 ULTRA 256gb = 1,650,000
S22 ultra 128gb = 1,550,000
SAMSUNG NOTE
NOTE 8 ram 6/64gb = 330,000
Note8 2sim = 350,000
NOTE 9 ram 6/128gb = 380,000
N9 1sim = 380,000
NOTE 10 256gb = 480,000
NOTE 10 PLUS 12/256gb = 610,000
NOTE 20 ram 12/128gb = 540,000
NOTE 20 ULTRA ram 12/256gb = 1,150,000
NOTE 20 ULTRA ram 12/128gb = 900,000
DOT PHONES
(SAMSUNG ZENYE VIDOT VIDOGO VYEUSI KWENYE KIOO ILA ZINAFANYA KAZI VIZURI TU )
S8 = 170,000
S8 PLUS = 210,000
S9 = 240,000
S9 PLUS = 270,000
S10 5G = 410,000
S10E = 280,000
S10 = 300,000
S10 PLUS = 320,000
S20 = 380,000
S20 PLUS = 440,000
S20 ULTRA = 480,000
S21 ULTRA = 680,000
NOTE 8 = 280,000
NOTE 9 = 330,000
NOTE 10 = 380,000
NOTE 10 PLUS = 480,000
NOTE 20 ULTRA = 650,000
GOOGLE PIXEL
pixel 3A 64GB - 250,000
pixel 3XL 64GB - 290,000
pixel 3XL 128GB - 320,000
pixel 4 128GB - 350,000
pixel 4A 128GB - 390,000
pixel 4A 5g 128GB - 390,000
pixel 4XL 64GB - 390,000
pixel 4XL 128GB - 440,000
pixel 5 128GB - 450,000
pixel 5A 128GB - 500,000
pixel 6 128GB - 690,000
pixel 6A 128GB - 720,000
pixel 6A PRO 128GB - 950,000
VIVO
VIVO Y17 ram 6/128gb = 200,000
VIVO Y19 ram 6/256gb = 250,000
VIVO Y20S ram 6/128gb = 280,000
VIVO Y21S ram 6/128gb = 280,000
VIVO Y67 ram 4/128gb = 120,000
VIVO Y85 ram 4/128gb = 120,000
VIVO Y93 ram 6/128gb = 140,000
HUWAEI
HUAWEI Y8s ram 4/128gb = 240,000
HUAWEI Y7 PRO ram 4/64gb = 190,000
HUAWEI P30 LITE ram 4/128gb = 280,000
HUAWEI P20 LITE ram 4/128gb = 2200,000
HUAWEI P10 LITE ram 4/64gb = 160,000
HUAWEI NOVA 3i ram 6/128gb = 230,000
HUAWEI NOVA 2 PLUS ram 4/128gb = 200,000
OPPO
OPPO A57 = 100,000
OPPO F1S = 100,000
OPPO F11 ram 4/128gb = 230,000
F9 PRO ram 6/128gb = 190,000
Oppo A83 ram 6/128gb = 120,000
SONY
XZ1 COMPACT ram 4/32gb = 110,000
XZS ram 4/32gb = 130,000
XZ ram 3/32 gb = 120,000
XPERIA 8 ram 4/64gb = 190,000
Z1 COMPACT ram 4/32gb = 120,000
X PERFORMANCE ram 3/32gb = 110,000
XZ2 ram 4/64gb = 180,000
XZ PREMIUM ram 4/64gb = 170,000
XZ3 ram 4/64gb = 210,000
KWA MAWASILIANO ZAIDI YA JUU YA NAMNA YA KULIPIA NA KUPOKEA MZIGO WAKO
WHATSAPP +971 58 2640133
CALL/SMS 0654 156671 (Agent aliyepo Dar es Salaam)
Ofisi kwa watu wa KILIMANJARO, Arusha na Manyara
0678984009
SIMU TUNASAFIRISHA KWA NJIA YA NDEGE NDANI YA SIKU 3-5 TU USHAPATA SIMU YAKO
NITAKUAGIZIA KWA UAMINIFU MKUBWA
Kwa wanaohitaji laptop na ipad..nitaleta mkeka wa bei zake soon...
Ila unaweza kuulizia bei ya kifaa chochote nikakupatia.. (ELECTRONIC DEVICE TU)
Bei za Laptop Moja kwa Moja kutoka Dubai tembea uzi wangu huu hapa
Phone4Sale - Agiza simu used Grade A (Refurblished phone) kutoka Dubai kwa bei za jumla
Come to Dubaiwww.jamiiforums.com
Hatufanyi biashara sisi tunafanya usafirishaji tuKwanini mtu asilipie akishapokea mzigo?
Kwani ni nyanya kwamba itaoza? Mi ntaaminije kama sio utapeli?Hatufanyi biashara sisi tunafanya usafirishaji tu
Tunachomsaidia mtu ni kupata bidhaa aitakayo kutoka dubai hata kama yupo nyumbani kwake
Utaratibu wa kuoda bidhaa sijawahi ona mtu analetewa ndio analipia
Hasa kwa bidhaa zitokazo nje ya nchii..
Tushapata hasara ya watu kutaka waletewe halaf walipie
Kumbe mtu alikuwa anatest
Mengine oohh ile pesa nilikaa nayo nimetumia
Imepungua kwa sasaa
Atataka alipie kidogo hllaf uanze kumdai..
Mengi yametukuta katika njia hii uliyopendekeza...