The last don
JF-Expert Member
- Aug 3, 2011
- 1,053
- 1,232
Boss nipe bei ya A73 5GNitafurah sana siku hiyo (jumatano) utakayo pokea Simu yako
Uje kutoa ushuhuda hapa
Kuwaondolea wengine wasiwasi walionao
Nikalipie pesa Manzese hapo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Boss nipe bei ya A73 5GNitafurah sana siku hiyo (jumatano) utakayo pokea Simu yako
Uje kutoa ushuhuda hapa
Kuwaondolea wengine wasiwasi walionao
Kelvin Isaya jina la kihaya?Tuliwahi pigwa humu humu JF na jamaa alliikuwa anauza Vitu vya electronics toka Europe na nchi za Kiarabu alidai ana ofisi Kigamboni kumbe feck. Jamaa alikuwa na jina la Kihaya.
We ni tapeli tuMtoa mada achana na negative comments watu wanakuonea wivu tu kuna mtu humu alianzisha thread ya kuwaagizia watu electronics kwa hela yake ili walipie mzigo ukifika ile thread imekufa unajua kwanini?
We ni tapeli tuMtoa mada achana na negative comments watu wanakuonea wivu tu kuna mtu humu alianzisha thread ya kuwaagizia watu electronics kwa hela yake ili walipie mzigo ukifika ile thread imekufa unajua kwanini?
Acha wivu...mimi nafanya kazi ya kuwaremba kucha akina dada/mama ndio kazi pekee ninayofanya na inanilipia bills zangu zote..nimewahi kumtapeli nani?We ni tapeli tu
Wewe ni tapeli...PERIOD!Acha wivu...mimi nafanya kazi ya kuwaremba kucha akina dada/mama ndio kazi pekee ninayofanya na inanilipia bills zangu zote..nimewahi kumtapeli nani?
Njoo nikurembe ili uolewe sio kwa wivu huo mzee mtu hata humfahamuWewe ni tapeli...PERIOD!
Mrembe babako we tapeliNjoo nikurembe ili uolewe sio kwa wivu huo mzee mtu hata humfahamu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] pole mzeeMrembe babako we tapeli
Tapeli[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] pole mzee
Poa mimi tapeli..usiache kuja nikubandike kope kazi ikikamilika ndio utanilipa si ndivyo unavyotaka?Tapeli