Agizo la Waziri kuruhusu Mabasi kutoingia stendi ni kuwanyima Halmashauri vyanzo vya mapato

Agizo la Waziri kuruhusu Mabasi kutoingia stendi ni kuwanyima Halmashauri vyanzo vya mapato

Msanii

Platinum Member
Joined
Jul 4, 2007
Posts
25,252
Reaction score
36,513
Ninaangalia hapa kitindi cha Chetu ni Chetu kupitia ITV, naona malalamiko ya wafanyabiashara wadogo ndani ya stendi ya Igunga wakilalamikia agizo la Waziri wa Uchukuzi kuruhusu mabasi yanayosafirisha abiria kutotumia stendi za Halmashauri zilizojengwa kwa fedha ya kodi zetu.

Athari zake pamoja na haya malalamiko ya wajasiriamali ambao wapo kwenye maeneo hayo maalumu ya stendi kukosa wateja, Halmashauri kukosa mapato yake halali ya ushuru wa magari yanaotumia stendi hizo.

Ikumbukwe pia kila Halmashauri ina vyanzo vyake vya ndani vya mapato ikiwemo ushuru wa stendi hizi.

Halmashauri hizi Inawajibika kisheria kutoa asilimia 10% ya mapato yake kuwapatia mikopo nafuu kwa wanawake, vijana na wenye ulemavu.

Wachuuzi ndani ya stendi hiI hulipia uahuru wa pango kwa Halmashauri. Tegemeo lao ni abiria wanaotumia vituo hivyo vikuu vya Halmashauri.

Tamko la Waziri limesababisha mkanganyiko na kupelekea hasara ya kuviendesha vituo hivyo ikiwa vitakosa mapato ya uhakika.

Inawezekana agizo ama tamko la Waziri kwamba endapo basi halina abiria wa kushuka s basi lisilazimike kupitia stendi hizo likawa na nia ya kupunguza usumbufu kwa waendeshaji wa vyombo vya usafiri. Lakini ifanyike tathmini ya kina kuhusu athari zinazoweza kujitokeza.

Nchi Yetu,
Maendeleo Yetu,
Tupate Katiba yetu.
 
Ukimaliza ujadir vile tunapoteza muda njiani kisa halmashaur

Kuweni wabunifu
Stand ya lazma iwe ya mkoa na kama ipo njiani la sivyo hapana
aisee.
Kwa hiyo zile stendi ni kichocheo cha mabasi kwenda kasi ili kulipia muda wanaotumia kusimama?
 
Gari huingia stand kuchukua abiria, kama imejaa au hakuna aliyekata ticket inaingia kufanya nini?
Mabasi hufanya biashara, bidhaa yao ni abiria, watamfuata kokote alipo bila kushurutishwa.
Na unajua kabisa mabasi yana wakala wao pale na abiria wanapelekwa highway wakapandie huko.

Tuwe wastaarabu hata kidogo basi
 
thari zake pamoja na haya malalamiko ya wajasiriamali ambao wapo kwenye maeneo hayo maalumu ya stendi kukosa wateja, Halmashauri kukosa mapato yake halali ya ushuru wa magari yanaotumia stendi hizo.

Ikumbukwe pia kila Halmashauri ina vyanzo vyake vya ndani vya mapato ikiwemo ushuru wa stendi hizi.

Halmashauri hizi Inawajibika kisheria kutoa asilimia 10% ya mapato yake kuwapatia mikopo nafuu kwa wanawake, vijana na wenye ulemavu.

Wachuuzi ndani ya stendi hiI hulipia uahuru wa pango kwa Halmashauri. Tegemeo lao ni abiria wanaotumia vituo hivyo vikuu vya Halmashauri.

Tamko la Waziri limesababisha mkanganyiko na kupelekea hasara ya kuviendesha vituo hivyo ikiwa vitakosa mapato ya uhakika.

Inawezekana agizo ama tamko la Waziri kwamba endapo basi halina abiria wa kushuka s basi lisilazimike kupitia stendi hizo likawa na nia ya kupunguza usumbufu kwa waendeshaji wa vyombo vya usafiri. Lakini ifanyike tathmini ya kina kuhusu athari zinazoweza kujjtokeza.
Ni sawa kabisa, ikiwa mtu ni mzito kufikiri atakaa anasubiri fedha ya kuvizia kama hao wa stand, unalazimisha bus liingie stand kufanya nini kama hakuna abiria wa kupanda au kushuka?

Labda walalamike abiria kwanini hawapewi nafasi ya kuingia stand kununua bidhaa, lakini siyo wewe wa kupata umlazimishe abiria aje anunue au dereva akuletee mteja stand., hizo ni akili za Amos Makala aliyesema mabasi yashushe abiria Mbezi ili wale na kunywa vyakula na chai za mama lishe

Fikiria bus linalotoka Da kwenda Kigoma au Karagwe linapoteza masaa mangapi kwenye vijistand kila halimashauri humo njiani na abiria wanachoka kiasi gani?

Think big, the world is changing very fast
 
Ni sawa kabisa, ikiwa mtu ni mzito kufikiri atakaa anasubiri fedha ya kuvizia kama hao wa stand, unalazimisha bus liingie stand kufanya nini kama hakuna abiria wa kupanda au kushuka?

Labda walalamike abiria kwanini hawapewi nafasi ya kuingia stand kununua bidhaa, lakini siyo wewe wa kupata umlazimishe abiria aje anunue au dereva akuletee mteja stand., hizo ni akili za Amos Makala aliyesema mabasi yashushe abiria Mbezi ili wale na kunywa vyakula na chai za mama lishe

Fikiria bus linalotoka Da kwenda Kigoma au Karagwe linapoteza masaa mangapi kwenye vijistand kila halimashauri humo njiani na abiria wanachoka kiasi gani?

Think big, the world is changing very fast
Hapo ndiyo tatizo letu waafrika lilipo.

Hizo stend zilijengwa za nini kwa fedha gani?
 
Hapo ndiyo tatizo letu waafrika lilipo.

Hizo stend zilijengwa za nini kwa fedha gani?
Zilijengwa kwaajili ya kupakilia na kushushia abiria, ila kama bus halina abiria wa kupanda au kushuka stand bus lipoteze muda wa nini kuingia hapo?

Na kama halina abiria wa kununua biscuit wala soda ...vyote vinagawiwa humohumo, bus ilkatafute nini stand? Au mnataka abiria waje kushangaa stand uchwara mlizojenga kifisadi?
 
Hawajali fedha iliyotumika.

Hela zetu zinapuuzwa na tuliowapa dhamana
Fixed mindset, ndiyo maana ya mabadiliko, fikiria baadhi ya miji stand zimejengwa mbali na miji kukomoa watu ati bajaj na pikipiki zifanye kazi?

Chukua mfano bus limetoka Arusha, Mwanza, linakwenda Mbeya au Songea unalilazimisha liingie stand ya Igumbilo Iringa 10Kms kwena na 10Kms kurudi nje ya mji kufanya nini kama halina abiria wa kushuka Iringa
 
Huyo waziri kaamua jambo jema kwa kweli..
Emu mfikirie abiria wa safari ya Mbeya- Mwanza kwa mfano, akifika Iringa,analazimika kupelekwa hadi stand ya mabasi ya Igumbilo, karibia 14 km kwenda na kurudi kwenye njia yake ya kawaida.
Akifika Dodoma nako anachepuka nje ya njia yake karibia 14km kwenda na kurudi.
Mbaya zaidi kote huko basi linaingia na kutoka stand bila kushusha wala kupakia abiria.

Halmashauri kama zinataka mapato ya kutoa hizo 10% na kulipana posho,waimarishe shughuli za kibiashara katika hayo maeneo yao,ili stand walizojenga zitumie magari yanayoanzia hapo kwao kwenda mikoa mingine na wilaya jirani za hizo Halmashauri
 
Ninaangalia hapa kitindi cha CHETU NI CHETU kupitia ITV. Ninaona malalamiko ya wafanyabiashara wadogo ndani ya stendi ya Igunga wakilalamikia agizo la waziri wa Uchukuzi kuruhusu mabasi yanayosafirisha abiria kutotumia stendi za Halmashauri zilizojengwa kwa fedha ya kodi zetu.

Athari zake pamoja na haya malalamiko ya wajasiriamali ambao wapo kwenye maeneo hayo maalumu ya stendi kukosa wateja, Halmashauri kukosa mapato yake halali ya ushuru wa magari yanaotumia stendi hizo.

Ikumbukwe pia kila Halmashauri ina vyanzo vyake vya ndani vya mapato ikiwemo ushuru wa stendi hizi.

Halmashauri hizi Inawajibika kisheria kutoa asilimia 10% ya mapato yake kuwapatia mikopo nafuu kwa wanawake, vijana na wenye ulemavu.

Wachuuzi ndani ya stendi hiI hulipia uahuru wa pango kwa Halmashauri. Tegemeo lao ni abiria wanaotumia vituo hivyo vikuu vya Halmashauri.

Tamko la Waziri limesababisha mkanganyiko na kupelekea hasara ya kuviendesha vituo hivyo ikiwa vitakosa mapato ya uhakika.

Inawezekana agizo ama tamko la Waziri kwamba endapo basi halina abiria wa kushuka s basi lisilazimike kupitia stendi hizo likawa na nia ya kupunguza usumbufu kwa waendeshaji wa vyombo vya usafiri. Lakini ifanyike tathmini ya kina kuhusu athari zinazoweza kujjtokeza.

Nchi Yetu.
Maendeleo Yetu
Tupate Katiba yetu
Bila Katiba Mpya hatufiki popote
 
Ninaangalia hapa kitindi cha CHETU NI CHETU kupitia ITV. Ninaona malalamiko ya wafanyabiashara wadogo ndani ya stendi ya Igunga wakilalamikia agizo la waziri wa Uchukuzi kuruhusu mabasi yanayosafirisha abiria kutotumia stendi za Halmashauri zilizojengwa kwa fedha ya kodi zetu.

Athari zake pamoja na haya malalamiko ya wajasiriamali ambao wapo kwenye maeneo hayo maalumu ya stendi kukosa wateja, Halmashauri kukosa mapato yake halali ya ushuru wa magari yanaotumia stendi hizo.

Ikumbukwe pia kila Halmashauri ina vyanzo vyake vya ndani vya mapato ikiwemo ushuru wa stendi hizi.

Halmashauri hizi Inawajibika kisheria kutoa asilimia 10% ya mapato yake kuwapatia mikopo nafuu kwa wanawake, vijana na wenye ulemavu.

Wachuuzi ndani ya stendi hiI hulipia uahuru wa pango kwa Halmashauri. Tegemeo lao ni abiria wanaotumia vituo hivyo vikuu vya Halmashauri.

Tamko la Waziri limesababisha mkanganyiko na kupelekea hasara ya kuviendesha vituo hivyo ikiwa vitakosa mapato ya uhakika.

Inawezekana agizo ama tamko la Waziri kwamba endapo basi halina abiria wa kushuka s basi lisilazimike kupitia stendi hizo likawa na nia ya kupunguza usumbufu kwa waendeshaji wa vyombo vya usafiri. Lakini ifanyike tathmini ya kina kuhusu athari zinazoweza kujjtokeza.

Nchi Yetu.
Maendeleo Yetu
Tupate Katiba yetu
Tamko la Waziri wa Uchukuzi Safi sana. Mimi ni miongoni mwa watu wanaochukia basi kulazimika kuingia stendi hata kama hakuna abiria anayeshukia hapo
 
Ninaangalia hapa kitindi cha CHETU NI CHETU kupitia ITV. Ninaona malalamiko ya wafanyabiashara wadogo ndani ya stendi ya Igunga wakilalamikia agizo la waziri wa Uchukuzi kuruhusu mabasi yanayosafirisha abiria kutotumia stendi za Halmashauri zilizojengwa kwa fedha ya kodi zetu.

Athari zake pamoja na haya malalamiko ya wajasiriamali ambao wapo kwenye maeneo hayo maalumu ya stendi kukosa wateja, Halmashauri kukosa mapato yake halali ya ushuru wa magari yanaotumia stendi hizo.

Ikumbukwe pia kila Halmashauri ina vyanzo vyake vya ndani vya mapato ikiwemo ushuru wa stendi hizi.

Halmashauri hizi Inawajibika kisheria kutoa asilimia 10% ya mapato yake kuwapatia mikopo nafuu kwa wanawake, vijana na wenye ulemavu.

Wachuuzi ndani ya stendi hiI hulipia uahuru wa pango kwa Halmashauri. Tegemeo lao ni abiria wanaotumia vituo hivyo vikuu vya Halmashauri.

Tamko la Waziri limesababisha mkanganyiko na kupelekea hasara ya kuviendesha vituo hivyo ikiwa vitakosa mapato ya uhakika.

Inawezekana agizo ama tamko la Waziri kwamba endapo basi halina abiria wa kushuka s basi lisilazimike kupitia stendi hizo likawa na nia ya kupunguza usumbufu kwa waendeshaji wa vyombo vya usafiri. Lakini ifanyike tathmini ya kina kuhusu athari zinazoweza kujjtokeza.

Nchi Yetu.
Maendeleo Yetu
Tupate Katiba yetu

MABADILIKO NI MUHIMU ILI KUENDANA NA NYAKATI.

Tujadili kwa ku-balance Pande Zote!

Ni kweli,halmashauri za wilaya zinapaswa kuwa na vyanzo vyao vya Mapato.
Stendi kuu za mabasi kwa kila wilaya,zinakuwa kichocheo cha mzunguko wa pesa,Ikiwemo mapato ya halmashauri na pia wafanyabiashara na wachuuzi wa bidhaa husika kwenye hizo stendi.

Lakini ingewekwa sheria ya miji mikuu ya kila wilaya pekee.
Na sio huu utaratibu wa kila mji unaokuwa jirani na barabara kuu,kulazimisha Magari kuingia stendi,hata pale yanapokuwa yamejaza abiria wa moja kwa moja.

Huo ni upotezaji wa muda na hasara kwa abiria na pia waendeshaji wa hivyo vyombo vya usafiri.
Kwa sababu,vinapoteza muda wa abiria,pamoja na raslimali mafuta.
Bila kusahau ule ushuru wa Tozo,ambazo wanalazimishwa kulipa eti kusa tu,kaingia stendi.ebu fikiria kuanzia Dar-Mza kwa mfano.
Kwa kuingia,kusimama na baadae kurudi njia kuuu.
Wanalazimika kutenga shilingi ngapi kwa safari nzima?

Pia ni Jambo linalowasababishia usumbufu abiria,kutokana na kuchelewa kufika,na kulazimika kuingia gharama za ziada,kutokana na kufika usiku.

Hivyo kulipishwa gharama ambazo ni za nje ya muda rasmi wa kazi....mathalani Taxi na Bodaboda.
Na hata wengine kulazimika kulala Guest Houses,sababu hawawezi ku-risk usiku huo.

Pia linawahatarishia usalama wao,sababu ya kufika usiku sehemu ambazo wengi wanakuwa wageni pia.

Halmashauri,bado zinao uwezo wa kukusanya mapato kupitia stendi zake,kwa kutumia yale mabasi ambayo yatalazimika kuingia na kuchukua au kushusha abiria..
Kwa sababu sio wote watapitiliza,na pia ikumbukwe kwamba,bado kuna mabasi mengi ambayo yanatoka miji ya makao makuu ya .mikoa na kurudi wilayani kila siku.

Na tusisahau kwamba,mara nyingi hizo tozo za stendi,zimekuwa hazifiki kwenye mifuko husika,imekuwa chaka la ubadhilifu kwa watumishi wa halmashauri,wasiokuwa waaminifu.

Mabadiliko ni Muhimu ila yaendane na wakati.
 
Ni sawa kabisa, ikiwa mtu ni mzito kufikiri atakaa anasubiri fedha ya kuvizia kama hao wa stand, unalazimisha bus liingie stand kufanya nini kama hakuna abiria wa kupanda au kushuka?

Labda walalamike abiria kwanini hawapewi nafasi ya kuingia stand kununua bidhaa, lakini siyo wewe wa kupata umlazimishe abiria aje anunue au dereva akuletee mteja stand., hizo ni akili za Amos Makala aliyesema mabasi yashushe abiria Mbezi ili wale na kunywa vyakula na chai za mama lishe

Fikiria bus linalotoka Da kwenda Kigoma au Karagwe linapoteza masaa mangapi kwenye vijistand kila halimashauri humo njiani na abiria wanachoka kiasi gani?

Think big, the world is changing very fast

Piga jaramba kwa uteuzi, nyie ndo waleta mabadiliko.
 
MABADILIKO NI MUHIMU ILI KUENDANA NA NYAKATI.

Tujadili kwa ku-balance Pande Zote!

Ni kweli,halmashauri za wilaya zinapaswa kuwa na vyanzo vyao vya Mapato.
Stendi kuu za mabasi kwa kila wilaya,zinakuwa kichocheo cha mzunguko wa pesa,Ikiwemo mapato ya halmashauri na pia wafanyabiashara na wachuuzi wa bidhaa husika kwenye hizo stendi.

Lakini ingewekwa sheria ya miji mikuu ya kila wilaya pekee.
Na sio huu utaratibu wa kila mji unaokuwa jirani na barabara kuu,kulazimisha Magari kuingia stendi,hata pale yanapokuwa yamejaza abiria wa moja kwa moja.

Huo ni upotezaji wa muda na hasara kwa abiria na pia waendeshaji wa hivyo vyombo vya usafiri.
Kwa sababu,vinapoteza muda wa abiria,pamoja na raslimali mafuta.
Bila kusahau ule ushuru wa Tozo,ambazo wanalazimishwa kulipa eti kusa tu,kaingia stendi.ebu fikiria kuanzia Dar-Mza kwa mfano.
Kwa kuingia,kusimama na baadae kurudi njia kuuu.
Wanalazimika kutenga shilingi ngapi kwa safari nzima?

Pia ni Jambo linalowasababishia usumbufu abiria,kutokana na kuchelewa kufika,na kulazimika kuingia gharama za ziada,kutokana na kufika usiku.

Hivyo kulipishwa gharama ambazo ni za nje ya muda rasmi wa kazi....mathalani Taxi na Bodaboda.
Na hata wengine kulazimika kulala Guest Houses,sababu hawawezi ku-risk usiku huo.

Pia linawahatarishia usalama wao,sababu ya kufika usiku sehemu ambazo wengi wanakuwa wageni pia.

Halmashauri,bado zinao uwezo wa kukusanya mapato kupitia stendi zake,kwa kutumia yale mabasi ambayo yatalazimika kuingia na kuchukua au kushusha abiria..
Kwa sababu sio wote watapitiliza,na pia ikumbukwe kwamba,bado kuna mabasi mengi ambayo yanatoka miji ya makao makuu ya .mikoa na kurudi wilayani kila siku.

Na tusisahau kwamba,mara nyingi hizo tozo za stendi,zimekuwa hazifiki kwenye mifuko husika,imekuwa chaka la ubadhilifu kwa watumishi wa halmashauri,wasiokuwa waaminifu.

Mabadiliko ni Muhimu ila yaendane na wakati.
Umeandika points ambazo kila mwenye akili anaweza kuzitqfakari na kusaidia maamuzi
 
Ninaangalia hapa kitindi cha CHETU NI CHETU kupitia ITV. Ninaona malalamiko ya wafanyabiashara wadogo ndani ya stendi ya Igunga wakilalamikia agizo la waziri wa Uchukuzi kuruhusu mabasi yanayosafirisha abiria kutotumia stendi za Halmashauri zilizojengwa kwa fedha ya kodi zetu.

Athari zake pamoja na haya malalamiko ya wajasiriamali ambao wapo kwenye maeneo hayo maalumu ya stendi kukosa wateja, Halmashauri kukosa mapato yake halali ya ushuru wa magari yanaotumia stendi hizo.

Ikumbukwe pia kila Halmashauri ina vyanzo vyake vya ndani vya mapato ikiwemo ushuru wa stendi hizi.

Halmashauri hizi Inawajibika kisheria kutoa asilimia 10% ya mapato yake kuwapatia mikopo nafuu kwa wanawake, vijana na wenye ulemavu.

Wachuuzi ndani ya stendi hiI hulipia uahuru wa pango kwa Halmashauri. Tegemeo lao ni abiria wanaotumia vituo hivyo vikuu vya Halmashauri.

Tamko la Waziri limesababisha mkanganyiko na kupelekea hasara ya kuviendesha vituo hivyo ikiwa vitakosa mapato ya uhakika.

Inawezekana agizo ama tamko la Waziri kwamba endapo basi halina abiria wa kushuka s basi lisilazimike kupitia stendi hizo likawa na nia ya kupunguza usumbufu kwa waendeshaji wa vyombo vya usafiri. Lakini ifanyike tathmini ya kina kuhusu athari zinazoweza kujjtokeza.

Nchi Yetu.
Maendeleo Yetu
Tupate Katiba yetu
Huu mjadala tulishaufunga kitambo tu,pkwa ufupi huwezi kushuka mbezi pale na kiroba cha ufuta kutoka Dodoma halafu uanze kukimbizana na daladala wakati basi lilikuwa na uwezo wa kukufikisha Kimara Baruti bila shida yoyote kwakuwa linaenda Shekilango
 
Huu mjadala tulishaufunga kitambo tu,pkwa ufupi huwezi kushuka mbezi pale na kiroba cha ufuta kutoka Dodoma halafu uanze kukimbizana na daladala wakati basi lilikuwa na uwezo wa kukufikisha Kimara Baruti bila shida yoyote kwakuwa linaenda Shekilango
Basi kupitia Mbezi kisha kuendelea na final destination likiwa na abiria siyo usumbufu
 
Back
Top Bottom