Agizo la Waziri kuruhusu Mabasi kutoingia stendi ni kuwanyima Halmashauri vyanzo vya mapato

Agizo la Waziri kuruhusu Mabasi kutoingia stendi ni kuwanyima Halmashauri vyanzo vya mapato

Ninaangalia hapa kitindi cha Chetu ni Chetu kupitia ITV, naona malalamiko ya wafanyabiashara wadogo ndani ya stendi ya Igunga wakilalamikia agizo la Waziri wa Uchukuzi kuruhusu mabasi yanayosafirisha abiria kutotumia stendi za Halmashauri zilizojengwa kwa fedha ya kodi zetu.

Athari zake pamoja na haya malalamiko ya wajasiriamali ambao wapo kwenye maeneo hayo maalumu ya stendi kukosa wateja, Halmashauri kukosa mapato yake halali ya ushuru wa magari yanaotumia stendi hizo.

Ikumbukwe pia kila Halmashauri ina vyanzo vyake vya ndani vya mapato ikiwemo ushuru wa stendi hizi.

Halmashauri hizi Inawajibika kisheria kutoa asilimia 10% ya mapato yake kuwapatia mikopo nafuu kwa wanawake, vijana na wenye ulemavu.

Wachuuzi ndani ya stendi hiI hulipia uahuru wa pango kwa Halmashauri. Tegemeo lao ni abiria wanaotumia vituo hivyo vikuu vya Halmashauri.

Tamko la Waziri limesababisha mkanganyiko na kupelekea hasara ya kuviendesha vituo hivyo ikiwa vitakosa mapato ya uhakika.

Inawezekana agizo ama tamko la Waziri kwamba endapo basi halina abiria wa kushuka s basi lisilazimike kupitia stendi hizo likawa na nia ya kupunguza usumbufu kwa waendeshaji wa vyombo vya usafiri. Lakini ifanyike tathmini ya kina kuhusu athari zinazoweza kujitokeza.

Nchi Yetu,
Maendeleo Yetu,
Tupate Katiba yetu.
Hii stori ilibidi imfikie mezani Waziri kuhusu ATCL haya mengine ya muziki tutayapata tuuuu!!!!
 
Ninaangalia hapa kitindi cha Chetu ni Chetu kupitia ITV, naona malalamiko ya wafanyabiashara wadogo ndani ya stendi ya Igunga wakilalamikia agizo la Waziri wa Uchukuzi kuruhusu mabasi yanayosafirisha abiria kutotumia stendi za Halmashauri zilizojengwa kwa fedha ya kodi zetu.

Athari zake pamoja na haya malalamiko ya wajasiriamali ambao wapo kwenye maeneo hayo maalumu ya stendi kukosa wateja, Halmashauri kukosa mapato yake halali ya ushuru wa magari yanaotumia stendi hizo.

Ikumbukwe pia kila Halmashauri ina vyanzo vyake vya ndani vya mapato ikiwemo ushuru wa stendi hizi.

Halmashauri hizi Inawajibika kisheria kutoa asilimia 10% ya mapato yake kuwapatia mikopo nafuu kwa wanawake, vijana na wenye ulemavu.

Wachuuzi ndani ya stendi hiI hulipia uahuru wa pango kwa Halmashauri. Tegemeo lao ni abiria wanaotumia vituo hivyo vikuu vya Halmashauri.

Tamko la Waziri limesababisha mkanganyiko na kupelekea hasara ya kuviendesha vituo hivyo ikiwa vitakosa mapato ya uhakika.

Inawezekana agizo ama tamko la Waziri kwamba endapo basi halina abiria wa kushuka s basi lisilazimike kupitia stendi hizo likawa na nia ya kupunguza usumbufu kwa waendeshaji wa vyombo vya usafiri. Lakini ifanyike tathmini ya kina kuhusu athari zinazoweza kujitokeza.

Nchi Yetu,
Maendeleo Yetu,
Tupate Katiba yetu.

Matamko haya bila kuwapo kisheria yanabaki kuwa maneno matupu. Mwakyembe akiwa waziri wa usafirishaji aliwahi kuja na tamko kama hilo ambalo lilikufa kifo cha mende alipobadilishwa wizara.

Kwanini mabasi ya mikoani 'yalazimishwe' kuingia kila stendi?

Haya mengine yamekuwapo miaka nenda rudi.

Bila katiba mpya mwendo wa serikali kutowajibika kwa watu kutaendelea sana.
 
Pambana ndugu yangu utafute njia nyingine ya kuingiza kipato kuliko ya kuishi kwa kutegemea basi liingie stand
 
Sasa kama basi halina abiria anaepanda au anaeshuka hapo liingie kufanya nini. Kama ni ushuru wao wanapewa juu KWA juu. Kuna vistendi vingine eti unakuta ni lazima basi liingie tu lizunguke KISHA litoke pasipo faida mfano stand ya kibaha nani anaelipia ile dizeli,oil,kulika kwa tairi na spea,na mda unaopotea bus linatoka highway linazunguka kilometa kuitafuta stand iliyopo uchochoroni halishushi halipakii linaingia kulipa ushuru tu KISHA linarudi highway nani analipa hio cost. Stand inatakiwa iwe hatua chache toka highway.
 
Hili ni jambo zuri sana, muda mwingi sana unapotezwa kupita kwenye stendi za Halmashauri na wakati mwingine hakuna abiria wanaopanda au kushuka.
 
Zilijengwa kishamba, matokeo yake nyingi zake zimegeuka kuwa mateso badala ya msaada kwa wasafiri.
Hapo ndiyo tatizo letu waafrika lilipo.

Hizo stend zilijengwa za nini kwa fedha gani?
 
Ukimaliza ujadiri vile tunapoteza muda njiani kisa halmashauri

Kuweni wabunifu
Stand ya lazma iwe ya mkoa na kama ipo njiani la sivyo hapana
Hivi kusafiri ni adhabu?
Ndio maana mnapata maajali yasioeleweka.
Panga Muda wako vizuri, mwezi naondoka nyumbani siku 4 njiani.
2 kwenda 2 kurudi.
Unaenda Mbeya piga nusu route mpk Iringa pumzika.
Kesho mchana huyoo Mbeya ushafika jioni.
Yote ni njaa tu unakuta familia nzima mnapanda kapajero kamoja baba anaendesha mawenge pombe za jana na mchepuko mara kubuum njiani huko hatoki mtu.
Peaneni muda.
Mama tangulia na hawa wawili,mke nenda na wawili, kesho we huyo taratibu na wawili mnakutana kijijini.
 
Tamko la Waziri wa Uchukuzi Safi sana. Mimi ni miongoni mwa watu wanaochukia basi kulazimika kuingia stendi hata kama hakuna abiria anayeshukia hapo
Ni usumbufu sana na upotevu wa muda tu.
 
MABADILIKO NI MUHIMU ILI KUENDANA NA NYAKATI.

Tujadili kwa ku-balance Pande Zote!

Ni kweli,halmashauri za wilaya zinapaswa kuwa na vyanzo vyao vya Mapato.
Stendi kuu za mabasi kwa kila wilaya,zinakuwa kichocheo cha mzunguko wa pesa,Ikiwemo mapato ya halmashauri na pia wafanyabiashara na wachuuzi wa bidhaa husika kwenye hizo stendi.

Lakini ingewekwa sheria ya miji mikuu ya kila wilaya pekee.
Na sio huu utaratibu wa kila mji unaokuwa jirani na barabara kuu,kulazimisha Magari kuingia stendi,hata pale yanapokuwa yamejaza abiria wa moja kwa moja.

Huo ni upotezaji wa muda na hasara kwa abiria na pia waendeshaji wa hivyo vyombo vya usafiri.
Kwa sababu,vinapoteza muda wa abiria,pamoja na raslimali mafuta.
Bila kusahau ule ushuru wa Tozo,ambazo wanalazimishwa kulipa eti kusa tu,kaingia stendi.ebu fikiria kuanzia Dar-Mza kwa mfano.
Kwa kuingia,kusimama na baadae kurudi njia kuuu.
Wanalazimika kutenga shilingi ngapi kwa safari nzima?

Pia ni Jambo linalowasababishia usumbufu abiria,kutokana na kuchelewa kufika,na kulazimika kuingia gharama za ziada,kutokana na kufika usiku.

Hivyo kulipishwa gharama ambazo ni za nje ya muda rasmi wa kazi....mathalani Taxi na Bodaboda.
Na hata wengine kulazimika kulala Guest Houses,sababu hawawezi ku-risk usiku huo.

Pia linawahatarishia usalama wao,sababu ya kufika usiku sehemu ambazo wengi wanakuwa wageni pia.

Halmashauri,bado zinao uwezo wa kukusanya mapato kupitia stendi zake,kwa kutumia yale mabasi ambayo yatalazimika kuingia na kuchukua au kushusha abiria..
Kwa sababu sio wote watapitiliza,na pia ikumbukwe kwamba,bado kuna mabasi mengi ambayo yanatoka miji ya makao makuu ya .mikoa na kurudi wilayani kila siku.

Na tusisahau kwamba,mara nyingi hizo tozo za stendi,zimekuwa hazifiki kwenye mifuko husika,imekuwa chaka la ubadhilifu kwa watumishi wa halmashauri,wasiokuwa waaminifu.

Mabadiliko ni Muhimu ila yaendane na wakati.
... kila halmashauri ina magari ya mizunguko ndani ya halmashauri husika. Hivyo vistendi vya halmashauri vihudumie magari ndani ya halmashauri; isiwe lazima kwa long safari's unless wameona kuna wateja waingie wenyewe na sio kulazimishana.
 
Ninaangalia hapa kitindi cha Chetu ni Chetu kupitia ITV, naona malalamiko ya wafanyabiashara wadogo ndani ya stendi ya Igunga wakilalamikia agizo la Waziri wa Uchukuzi kuruhusu mabasi yanayosafirisha abiria kutotumia stendi za Halmashauri zilizojengwa kwa fedha ya kodi zetu.

Athari zake pamoja na haya malalamiko ya wajasiriamali ambao wapo kwenye maeneo hayo maalumu ya stendi kukosa wateja, Halmashauri kukosa mapato yake halali ya ushuru wa magari yanaotumia stendi hizo.

Ikumbukwe pia kila Halmashauri ina vyanzo vyake vya ndani vya mapato ikiwemo ushuru wa stendi hizi.

Halmashauri hizi Inawajibika kisheria kutoa asilimia 10% ya mapato yake kuwapatia mikopo nafuu kwa wanawake, vijana na wenye ulemavu.

Wachuuzi ndani ya stendi hiI hulipia uahuru wa pango kwa Halmashauri. Tegemeo lao ni abiria wanaotumia vituo hivyo vikuu vya Halmashauri.

Tamko la Waziri limesababisha mkanganyiko na kupelekea hasara ya kuviendesha vituo hivyo ikiwa vitakosa mapato ya uhakika.

Inawezekana agizo ama tamko la Waziri kwamba endapo basi halina abiria wa kushuka s basi lisilazimike kupitia stendi hizo likawa na nia ya kupunguza usumbufu kwa waendeshaji wa vyombo vya usafiri. Lakini ifanyike tathmini ya kina kuhusu athari zinazoweza kujitokeza.

Nchi Yetu,
Maendeleo Yetu,
Tupate Katiba yetu.
Watanzania mbona mnakuwa mazuzu kiasi hicho? Shida ni nini inayowafanya kushindwa kuelewa hata mantiki ya jambo husika, ni udumavu wa lishe?. Kila kitu wafanyabiashara wadogo, hizo biashara zenu za kulazimishana? Ulipoamua kufanya biashara yako eneo flani hukufanya upembuzi yanikifu? Basi halina abiria wa kushusha na limejaa haitafuti abiria liingie stand kupoteza muda kwa sababu ya kuja kuwachangia wafanyabiashara wadogo? Tumieni akili. Hizo ni stand za Halmashauri km ulivyosema ni kwa ajili ya magari yenu ya wilyani hapo Igunga na ya kwenda mikoa ya jirani ukiwemo mkoa wenu wa Tabora siyo kwa ajili ya mabasi ya masafa yanayopita?
 
Hapo ndiyo tatizo letu waafrika lilipo.

Hizo stend zilijengwa za nini kwa fedha gani?
Hizo stand zilijengwa kwa ajili ya magari yenu huko kwenu. Kwani wilaya ambako hazipiti highway stand zao ni kwa ajili ya nini. Mfani Stand za wilaya za Meatu, Kishapu, Bariadi kutaja chache ambako hakuna highway zinapita zimejengwa kwa ajili ya nini. Nyie Igunga kwasababu mnapitiwa na highway mkafikiri ni kwa ajili ya hayo mabasi? Ujinga changanya na ushamba ni mzigo mzito kuubeba
 
Ninaangalia hapa kitindi cha Chetu ni Chetu kupitia ITV, naona malalamiko ya wafanyabiashara wadogo ndani ya stendi ya Igunga wakilalamikia agizo la Waziri wa Uchukuzi kuruhusu mabasi yanayosafirisha abiria kutotumia stendi za Halmashauri zilizojengwa kwa fedha ya kodi zetu.

Athari zake pamoja na haya malalamiko ya wajasiriamali ambao wapo kwenye maeneo hayo maalumu ya stendi kukosa wateja, Halmashauri kukosa mapato yake halali ya ushuru wa magari yanaotumia stendi hizo.

Ikumbukwe pia kila Halmashauri ina vyanzo vyake vya ndani vya mapato ikiwemo ushuru wa stendi hizi.

Halmashauri hizi Inawajibika kisheria kutoa asilimia 10% ya mapato yake kuwapatia mikopo nafuu kwa wanawake, vijana na wenye ulemavu.

Wachuuzi ndani ya stendi hiI hulipia uahuru wa pango kwa Halmashauri. Tegemeo lao ni abiria wanaotumia vituo hivyo vikuu vya Halmashauri.

Tamko la Waziri limesababisha mkanganyiko na kupelekea hasara ya kuviendesha vituo hivyo ikiwa vitakosa mapato ya uhakika.

Inawezekana agizo ama tamko la Waziri kwamba endapo basi halina abiria wa kushuka s basi lisilazimike kupitia stendi hizo likawa na nia ya kupunguza usumbufu kwa waendeshaji wa vyombo vya usafiri. Lakini ifanyike tathmini ya kina kuhusu athari zinazoweza kujitokeza.

Nchi Yetu,
Maendeleo Yetu,
Tupate Katiba yetu.
Ndio madhara ya kujenga stand Kwa kukurupuka.

Hata hivyo hizo stand binafsi zinalipia ushuru Halmashauri
 
Fixed mindset, ndiyo maana ya mabadiliko, fikiria baadhi ya miji stand zimejengwa mbali na miji kukomoa watu ati bajaj na pikipiki zifanye kazi?

Chukua mfano bus limetoka Arusha, Mwanza, linakwenda Mbeya au Songea unalilazimisha liingie stand ya Igumbilo Iringa 10Kms kwena na 10Kms kurudi nje ya mji kufanya nini kama halina abiria wa kushuka Iringa
sawa kabisa na ilele na nane nane Dodoma unaingia kwenye foleni ya magari ya Dar saa nzima ndugu. Kama kweli waziri ametoa huo uamuzi Mungu ambariki sana. Hvi watu wengine wanawaonaje wenzao? Kwa hiyo utesek ili kwenda kumpelekea biashara mwenzio? Mtu unatoka Arusha kwenda Songea, unafika Dodoma saa 7 mchana utatoka saa 8 unusu kisa kwenda kwanza nane nane ambako unakutana na foleni ya mabasi, malori na magari mengine ambayo ni mengi ktk barabara ile.
 
Hapo ndiyo tatizo letu waafrika lilipo.

Hizo stend zilijengwa za nini kwa fedha gani?

Ziliejengwa KUSHUSHA na kupandisha abiria.

Kila Gari linaajent Kwa kila Stend.
Mabasi Kabla hayajaingia Stendi tayari yana taarifa ya idadi ya abiria waliopo kwenye Stendi fulani, au hakuna abiria
Zingatia pia kuwa Kila ajent hufanya juu Chini Kupata abiria ili naye apate Pesa.
Hivyo abiria akifika Stendi hawezi kukosa Gari Kwa sababu maajenti wapo
 
MABADILIKO NI MUHIMU ILI KUENDANA NA NYAKATI.

Tujadili kwa ku-balance Pande Zote!

Ni kweli,halmashauri za wilaya zinapaswa kuwa na vyanzo vyao vya Mapato.
Stendi kuu za mabasi kwa kila wilaya,zinakuwa kichocheo cha mzunguko wa pesa,Ikiwemo mapato ya halmashauri na pia wafanyabiashara na wachuuzi wa bidhaa husika kwenye hizo stendi.

Lakini ingewekwa sheria ya miji mikuu ya kila wilaya pekee.
Na sio huu utaratibu wa kila mji unaokuwa jirani na barabara kuu,kulazimisha Magari kuingia stendi,hata pale yanapokuwa yamejaza abiria wa moja kwa moja.

Huo ni upotezaji wa muda na hasara kwa abiria na pia waendeshaji wa hivyo vyombo vya usafiri.
Kwa sababu,vinapoteza muda wa abiria,pamoja na raslimali mafuta.
Bila kusahau ule ushuru wa Tozo,ambazo wanalazimishwa kulipa eti kusa tu,kaingia stendi.ebu fikiria kuanzia Dar-Mza kwa mfano.
Kwa kuingia,kusimama na baadae kurudi njia kuuu.
Wanalazimika kutenga shilingi ngapi kwa safari nzima?

Pia ni Jambo linalowasababishia usumbufu abiria,kutokana na kuchelewa kufika,na kulazimika kuingia gharama za ziada,kutokana na kufika usiku.

Hivyo kulipishwa gharama ambazo ni za nje ya muda rasmi wa kazi....mathalani Taxi na Bodaboda.
Na hata wengine kulazimika kulala Guest Houses,sababu hawawezi ku-risk usiku huo.

Pia linawahatarishia usalama wao,sababu ya kufika usiku sehemu ambazo wengi wanakuwa wageni pia.

Halmashauri,bado zinao uwezo wa kukusanya mapato kupitia stendi zake,kwa kutumia yale mabasi ambayo yatalazimika kuingia na kuchukua au kushusha abiria..
Kwa sababu sio wote watapitiliza,na pia ikumbukwe kwamba,bado kuna mabasi mengi ambayo yanatoka miji ya makao makuu ya .mikoa na kurudi wilayani kila siku.

Na tusisahau kwamba,mara nyingi hizo tozo za stendi,zimekuwa hazifiki kwenye mifuko husika,imekuwa chaka la ubadhilifu kwa watumishi wa halmashauri,wasiokuwa waaminifu.

Mabadiliko ni Muhimu ila yaendane na wakati.
we usipoteze muda wako ujue siyo halmashauri zote nchini zimepitiwa na highways ni chache na je hizo ambazo hazijapitiwa na highways zinapataje mapato ya halmashauri? Wasiwalazimishie binadamu wenzao biashara zao kwa gharama ya kuwapotezea muda wao, huo ni ubinafsi
 
Back
Top Bottom