Agizo la Waziri kuruhusu Mabasi kutoingia stendi ni kuwanyima Halmashauri vyanzo vya mapato

Ni hatari sana kufikiri unaweza ukampendezesha kila mtu kwa maamuzi yako.
 
Na maajenfi wakishakatisha tiketi abiria anapelekwa kupandia basi mjini au highway....
 
Na maajenfi wakishakatisha tiketi abiria anapelekwa kupandia basi mjini au highway....

Hiyo ni kazi sasa ya halmashauri kusimamia hao maajenti katika hizo Stendi.
Pili, Madereva wa mabasi wapigwe marufuku kubeba abiria highway hasa ikiwa Stendi Ipo karibu/mjini.

Ila mabasi kuingia Stend alafu hakuna abiria WA kupanda wala kushuka, hizo ni Akili Matope
 
Kama hakun wa kushuka je ? Tuchelewe kisa wewe uuze sokapo
 
sawa kabisa na ilele na nane nane Dodoma unaingia kwenye foleni ya magari ya Dar saa nzima ndugu. Kama kweli waziri ametoa huo uamuzi Mungu ambariki sana.
Kwanza stand zenyewe zimekosa wasimamizi wenye akili, mfano hiyo stand kuu Dodoma ni hovyo kabisa, design ni excellent ila management no 0, kulikuwa na restaurent pzuri sana pale wameweka masharti magumu ya uendeshaji ili zife kupromote mamalishe

Stand yenyewe tangu kunakucha mpaka usiku wa manane kelele za tangazo la mkurugenzi wa jiji as if hakuna entertainment
 
Nakazia ni upuuzi uliopitiliza
 
Wekezeni vzr Kwenye stendi zenu, baadhi ya stendi hata Maji vyooni hakuna
 
Sasa mtu hana abiria anaingia stendi akalipetu ushuru,hiyo nayo ni dhuluma.

Jambo lingine ni mikopo kwa vijana wanawake na walemavu. Sasa mbona hii habari inasifiwatu lakini hakuna uhalisia kwa baadhi ya halmashauri?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…