Agizo: Wasafiri watakaoingia nchini watakaa karantini siku 14 kwa gharama zao

Wizara ya afya Tanzania imesema kuanzia kesho wasafiri wote kutoka nchi zenye maambukizi ya Corona watakaa karantini ya siku14.

Watanzania wanaorudi nyumbani watakaa karantini majumbani mwao.

Source BBC Dira ya Dunia
Mmhh?? Kwm kuna nchi ambayo haina CORONA kwa sasa?? Na tulivyojisahau watz Mungu atuepushe na balaa, watu hawana habari ya tahadhari kabisa.. hakuna kunawa mikono kwa maji tiririka, hakuna kuvaa barakoa, hakuna kutakasa mikono "sanitizer"... yote ya yote, TUSIFIKE KWENYE LOCK DOWN!!!
 
Tatizo wateule wengi kwenye nchi hii ni maprofesa na madokta....!!
 

Tuko kama tumerogwa hivi. Yale yale ya Jobo na mabeberu na vita vyao vya kiuchumi dhidi ya Tanzania.

Nyambafu!
 
Yaani ungeweza kuandika bila kuongeza hiyo paragraph yako ya mwisho ya pizza ungekuwa juu sana..
 
Yule mama na naibu wake wapo kimyaaa,ile bonge la combinenga la majununi.
 
Huu UGONJWA wa promo.
kadri unavyoupa air time ndivyo unavyozidi kukua..dawa NI kuupotezea na kumuomba MUNGU
 
Kwanini 14 au ni kuiga kila kitu
Mnaowaiga wamefanya 10 haya sasa
 
Well said..
 
Hatujachelewa, wasiwasi wangu ni kwa namna gani hili litasimamiwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…