Yawezakuwa na kutaja ametaja...Wameona wamtangulize maana angetaja mabosi wake wanaomtumiaga kwenye kusafirisha ngada. Ni kama yule aliyesema Lowasa ni baba yake, alipotaja tu na kuomba msamaha mabosi wamemgeuka, sasa anacheza segere la Polisi peke yake.
All in all, RIP.
U met with a real comment ......Kuna kauli nyingine mtu akiongea zimekaa kuudhalilisha utu wa mwanamke.
Hivi uliwaza nn kuandika hili neno "kutolewa bikra ya kizazi?".
Huoni kwamba limekaa kuutusi utu wa mwanamke?
We mama yako hakukuzaa? Unaona sifa kutusi hata waliokuleta dunian kwa maneno kama haya?
Mama sab acha basiJamani sasa wanakuwa wachache walitakiwa wawe wengi,halaf hapa muda mfupi tu alikuwa kimyaaa na makalio yote yale mtu anapungukiwaje damu,hizi hospitali zetu hizi
Sana tu mkuu na ofisi ni jirani tu hapo lakini miaka kesde ni mdau hapo wa maji ya njano na mduduYup....naye katangulia mbele ya haki. Mwaka jana.
Utakuwa mdau wewe hahahahaaa.
Hahaaa!pole sana humjui Masogange kaah!Picha tafadhali wengine hatumfaham
Wanakuwa wachache tatizo,,agness mshepu wake mtamu weweeee ,Bora lakini Sanchoka yupo
Ulikuwa unachukua nini mkuuDaaah, R.I.P aisee, namkumbuka sana back in days before the fameView attachment 751198
Na msambwanda wote ule.... Kweli malipo ni hapa hapa... ⚰ Rip Agie hukuacha hata wa kusingiziwa.... Utakutana nao huko akhera wale uliowatanguliza
Yaani jamani looh!kama masikharaRIP Agnes jamaniii
Uzembe tu ukuteeMama sab acha basi
Kafa na umbo lake?
Kwani ilisemwa kuwa hatokufa kwa kuumbika vile?